Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Shabiby akiwa miongoni mwa wakurugenzi na mfaidika mkubwa kwenye hiyo kampuni.
 
Mzee mapesa nilishakutana nae Maisha club Dom akiwa amevaa heleni sikioni na pisi mbili kashikilia huku na huku.

Last time nimemuona kwny msiba wa mtoto wa Mabeyo akiwa kwny Ile Hummer yake lkn afya naona haijakaa poa sana.
 
Mitaa hiyo hatari mpka Nkurumah, enzi hizo nikitumwa nyaraka flani naenda mitaa hiyo kuna Watu wananifahamu. Kuna rafiki yangu wa zamani yeye dili zake ilikuwa kuwa mdhamini kwa raia wa kigeni waliokuwa wanapewa dhamana na mahakama. Anajua ishu za kisheria utafikiri mwanasheria na ni darasa la saba tu.

Kulikuwa na kijiwe kingine hapo extelecom, kulikuwa na vibanda vya stationery, humo ni dili za TRA tu.
 
Ustadhi Juma Namusoma, huyu Hadi alikuwa meneja wa wasanii, Kuna mama Sakina Trans alimiliki bendi ya mashujaa na midaladala mingi hapa Ukraine town pia yupo jamaa anaitwa Respect Chief Kiumbe, huyu ata huko Kanda ya ziwa wanamfahamu vizuri
Huyo Ustaadhi Juma Namusoma mara ya mwisho nilimuona Dubai ila sikuwa na time na Wabongo.
 
Hyu ndy alikuwa nguzo kubwa tanga
Rip baba Diana

Ova
Yeye ndio alikuwa katibu wa bendi.

Ila uzi bila kumtaja dada yetu Asha Baraka basi uzi utakuwa una mapungufu makubwa.

Asha Baraka Sugu, huyu ndio alimpeleka marehemu Kanumba Uingereza kwa mara ya kwanza Kanumba akiwa mpole kabisa, mwana mmoja wa Kinondoni wakuitwa Mtambo yupo USA kwa sasa ndio ananitambulisha kwa Kanumba.

Tulikutana kwenye viofisi vyetu vya mazabe wote tunajaza fomu za kuingia ubalozini na kupiga passport size quality.
 
Yupo mlevi tu analewa sana Juliana pub na bar nyingine za Mbezi kule Target, Amsterdam, Jangwani Sea breeze etc..
Yule Dada pisi kali mwenye Amsterdam yupo? Au yupo mbele na mzungu wake?
 
chacho ombala
anaitwa tchatcho mbala kashogi.
ni mfanyabiashara tajiri wa congo aliyejikita katika biashara ya vito vya dhahabu na almas.

anamiliki maduka makubwa ya kuuza vito jijini kinshasa, luanda angola, paris ufaransa na brussels ubeligiji.

kwa mda mrefu amekuwa ni rafiki wa wanamuziki na mfadhili wa project zao mbalimbali. ndio maana jina lake linatajwa sana na wanamuziki hao.

jina lake limesikika kwenye nyimbo za madilu system, werrason, jb mpiana,koffi olomide, fally ipupa and the likes.

vyanzo vinadai utajiri wake ulikuja baada ya kujenga urafiki wa ukaribu na kiongozi wa UNITA marehemu jonas savimbi.

naam, kwa ufupi huyo ndio le bilionea, le patro, tajiri papaa tchatcho mbala mutu ya pakee.[emoji16]
 
Huyu ndiyo pedeshe sasa

Ova
 
Asha kweli alipambana sana kuhusu twanga,wakati wa show kuna wakati alikuwa anakomaa mlangoni,vingilio
Mimi mwenyewe twanga nlikuwa mdau kwelikweli
Bendi ina raha yake bana

Ova
 
Alijulikana almaarufu kwa jina la askofu,jina lake lilikua Ni Thomas Mollel na Alifariki akiwa Dom alipoenda kwny kuapishwa kwa mbunge wa Meru Mashariki mwaka 2019.
 
hahahahaha.....dunia ili iwe dunia lazima iwe na watu wa namna hii......kizazi hiki kinawauza nyago wengi sana, wengi sio watu wa pilikapilika.....

Naona mnamkanyagia swahiba wangu Kizaizai.....

Mmemsahau big bosi, Mzee wa SA, Alex.
Madenge sijamuona humu, wengine sio mapapa ila wazee wa mipango mjini at low key, wakiwa behind....
 
Dah enzi zike za Twanga na Msondo Jmosi jukwaa moja leaders, usiku tunahamia Mango....

Hivi Dallaz Dala yuko wapi siku hizi, dah enzi zile Wolper bado wamoto mjini hahaha...
 
sahihi kabisa Asha Baraka ni mwanamke wa shoka bila kumsahau aliyekua mumewe pedeshee Hamis Bwela.
kwakweli siku hazigandi ndugu zangu.
 
huyu pedeshee ni waukweli kitambo sana.
nilianza kumsikia kwenye nyimbo za Kofii miaka ya tisini huko,Nyimbo kama Mico,,Kofi alikua akiimba anaanza na jina la Chaaaachoooo.
 

mrangi kamsagia sana kunguni kizaizai [emoji1787][emoji1787]

huyo madenge unayemzungumzia wewe ni yupi, ni yule jamaa mfupi mwenye kichwa kikubwa?,mjanja mjanja anaongea sana.

dress code yake anapenda kuvaa kaunda suti, cheni kubwa shingoni na mapete vidoleni. halafu ally choki alikuwa anamtaja sana kwa kibwagizo cha "papaa madenge".

kuna wakati nilikuwa nakutananae mitaa ya temeke wailes na mitaa ya mkwepu street, posta mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…