anaitwa tchatcho mbala kashogi.
ni mfanyabiashara tajiri wa congo aliyejikita katika biashara ya vito vya dhahabu na almas.
anamiliki maduka makubwa ya kuuza vito jijini kinshasa, luanda angola, paris ufaransa na brussels ubeligiji.
kwa mda mrefu amekuwa ni rafiki wa wanamuziki na mfadhili wa project zao mbalimbali. ndio maana jina lake linatajwa sana na wanamuziki hao.
limesikika likitajwa kwenye nyimbo za madilu system, werrason, jb mpiana,koffi olomide, fally ipupa and the likes.
vyanzo vinadai utajiri wake ulikuja baada ya kujenga urafiki wa ukaribu na kiongozi wa UNITA marehemu jonas savimbi.
naam, huyo ndio tchatcho mbala kwa ufupi.
View attachment 2274394View attachment 2274395View attachment 2274396