Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Huwezi kuwa kiongozi Simba, Yanga au TFF kama hujawahi kupiga piga winga maeneo ya salamander, samora, posta yoote ile na kariakoo...
Salamander lazima utie timu
Ujue nn kimejiri

Ova
 
Kizaizai pesa ilikuwa inakosea njia tu kuja kwake...

Ova
 
dah hatari sana, dallaz alitusumbua sana leaders na hela yake ya bond umangani.....hahahaha.
Akili 0 yule

Hakuna kitu muhimu kwa binadam

Kama akili na maarifa

Hivi wanangu wa texts wakina Mike na Charles mziray wapo kweli

Ova
 
Ha ha ha ha ha watu mna full info aiseee! Balhabou alikua mhuni sana yule jamaa!
 
Jackpemba usani hajaanza leo
Alishawaliza watoto wa donbosco upanga akidai anawafanyia mpango
Wa kwenda nje si unajua wakat ule safari michongo ilikuwa upande wa scout na mambo ya summer camp
Jamaa alichikichia na hela za watu
Akasafiri yeye

Ova
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bongo ukiwa na mkono wa mnene serikalini,hawakufanyi kitu
 
Mzee mapesa nilishakutana nae Maisha club Dom akiwa amevaa heleni sikioni na pisi mbili kashikilia huku na huku.

Last time nimemuona kwny msiba wa mtoto wa Mabeyo akiwa kwny Ile Hummer yake lkn afya naona haijakaa poa sana.
Mzee Cheyo au Isack?? Lakini hawa wazee wahuni sana!
 
huyu merey balhabou kuna MISS TANZANIA wa miaka iliyopita mdogo wake wa damu kabisa alikutwa kafia kwenye SWIMMING POOL ya nyumba yake
sema ile kipindi kile jamaa alikuwa yupo VIZURI ishu ikahisha kimya kimya
 
Ha ha ha ha ha watu mna full info aiseee! Balhabou alikua mhuni sana yule jamaa!
Nawajua vzr..kuna ndg yao alikuwa anaitwa awadh balhaboue huyo ndy
Alikuwa na ukwasi
Kwanza kwa mate do ya merey familia yao ilikuwa hawapendi maana alikuwa kma anawapakaza,baada ya kuanguka kibiashara kutokana na sababu 1,2,3 ndg kma walimpunguzia
Connection ya hela ndomana unaona sahv katulia

Ova
 
Alijulikana almaarufu kwa jina la askofu,jina lake lilikua Ni Thomas Mollel na Alifariki akiwa Dom alipoenda kwny kuapishwa kwa mbunge wa Meru Mashariki mwaka 2019.
Duh! RIP kwake aiseeee! Hawa wazee walikua na pesa,lakini wakachezea
 
Umenikumbusha mbali sana.maisha yanaenda kasi sana.Zile zama zilikua katika ubora wa kiwango kikubwa sana kwenye tasnia ya burudani na maisha kwa ujumla.
 
Magu alipoingia aliwashughulikia sana,ingawa baadhi yao walimshinda! Enzi za Jakaya watu walikua wanapiga sana pesa,Mtaa wa Samora ndiyo kulikua na kila aina ya mihuri! Kuna msela mmoja alipewa pesa za kampuni x,akaweke kwenye account,bwana wewe jamaa akaenda kutengeneza fake slip ya bank,akapiga mpunga akawapelekea slip fake,ilikua jumamosi,jumatatu wanaenda kucheki mpunga,haupo,na jamaa kesharuka zake mbele! Wahindi walilia kama watoto! Zilikua 40M za Mauzo! Watu wahuni sana jamani
 
kaharibikiwa akili uzeeni...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…