Moreen alishatoka,alibaki bwana wakeMkuu wangu,sijasikia kabisa story za Liyumba na mtoto wake Mose pale Magomeni plus mwanae aliyeshikwa na poda kule Lindi yule Linda
Mapesa mwenyewe mkuu,watu wanaoenda viwanja sana mbona wanamjua mzee Ni mla Bata kichizi.Mzee Cheyo au Isack?? Lakini hawa wazee wahuni sana!
Michongo yote ilikuwa inaletwa na wahusika wenyewe kama ni bandari,tra,ttcl nkMagu alipoingia aliwashughulikia sana,ingawa baadhi yao walimshinda! Enzi za Jakaya watu walikua wanapiga sana pesa,Mtaa wa Samora ndiyo kulikua na kila aina ya mihuri! Kuna msela mmoja alipewa pesa za kampuni x,akaweke kwenye account,bwana wewe jamaa akaenda kutengeneza fake slip ya bank,akapiga mpunga akawapelekea slip fake,ilikua jumamosi,jumatatu wanaenda kucheki mpunga,haupo,na jamaa kesharuka zake mbele! Wahindi walilia kama watoto! Zilikua 40M za Mauzo! Watu wahuni sana jamani
Mambo ya kutaka kusafiriHa ha ha ha! Kibonde marehemu wa Clouds yule na usela wake,kumbe alikarishwa na Pemba?? Hebe nipe hii story ilikuaje mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pedeshee Samia, mama ya kodi.
Kumbe alitoka Moreen,kuna mtoto wake na Liyumba jina lake Mose,kala sana tender za BOT na kala sana bataMoreen alishatoka,alibaki bwana wake
Lyumba jinga tu yeye aliiinvest
Sana chini....
Ova
Ha ha ha ha ha hii dunia noma sana aiseeeMapesa mwenyewe mkuu,watu wanaoenda viwanja sana mbona wanamjua mzee Ni mla Bata kichizi.
Duh! Mjini shule kweliMambo ya kutaka kusafiri
Aliwachukulia watu hela,akidai
Atawapeleka ulaya,marekani
Ova
Nasma Khamis KidogoReila Rashid nadhani, taarabu ilikuwa juu hata sisi wabara wagumu wa kanda ya ziwa tukaijua taarabu.
last week nilipita ile mitaa, aisee mitaa imepooza sana. zile mishemishe za miaka ile hakuna tena.zile vurugu za mission town hazipo tena.Mitaa hiyo hatari mpka Nkurumah, enzi hizo nikitumwa nyaraka flani naenda mitaa hiyo kuna Watu wananifahamu. Kuna rafiki yangu wa zamani yeye dili zake ilikuwa kuwa mdhamini kwa raia wa kigeni waliokuwa wanapewa dhamana na mahakama. Anajua ishu za kisheria utafikiri mwanasheria na ni darasa la saba tu.
Kulikuwa na kijiwe kingine hapo extelecom, kulikuwa na vibanda vya stationery, humo ni dili za TRA tu.
Mchawi control number.last week nilipita ile mitaa, aisee mitaa imepooza sana. zile mishemishe za miaka ile hakuna tena.zile vurugu za mission town hazipo tena.
nadhani imetokana na mji kutanuka na kusambaa kwa kuduma za kiserikali mpaka huku chini kwenye kata.
siku hizi baadhi ya huduma sio lazima uzifate mjini posta kama zamani. hususan huduma za kupata vibali, leseni za biashara nk. kila kitu kinapatikana kwenye ngazi za wilaya.
Mara ya mwisho nilimuona Villa park Mwanza anaburudisha vitiHivi Ali Choki yuko wapi now days? Mwinjuma mumini je?
Anajiita raisi wa ununioYuko ununio kwao
Kawa ustaz [emoji1]
Ova
Alex Massawe mkuuhahahahaha.....dunia ili iwe dunia lazima iwe na watu wa namna hii......kizazi hiki kinawauza nyago wengi sana, wengi sio watu wa pilikapilika.....
Naona mnamkanyagia swahiba wangu Kizaizai.....
Mmemsahau big bosi, Mzee wa SA, Alex.
Madenge sijamuona humu, wengine sio mapapa ila wazee wa mipango mjini at low key, wakiwa behind....