Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Magu alipoingia aliwashughulikia sana,ingawa baadhi yao walimshinda! Enzi za Jakaya watu walikua wanapiga sana pesa,Mtaa wa Samora ndiyo kulikua na kila aina ya mihuri! Kuna msela mmoja alipewa pesa za kampuni x,akaweke kwenye account,bwana wewe jamaa akaenda kutengeneza fake slip ya bank,akapiga mpunga akawapelekea slip fake,ilikua jumamosi,jumatatu wanaenda kucheki mpunga,haupo,na jamaa kesharuka zake mbele! Wahindi walilia kama watoto! Zilikua 40M za Mauzo! Watu wahuni sana jamani
Michongo yote ilikuwa inaletwa na wahusika wenyewe kama ni bandari,tra,ttcl nk
Sasa watoto wa mjini kazi kwao
Ni kama wanatumika tu

Mjini kuna mambo mengi
Unaweza ukawa sehem au ukapatwa
Na shida fulani hujuwi wapi uanzie

Nakumbuka kulikuwa na watu wao kazi yao ni mambo ya dhamana ya kesi yyt ila syo ya kuua au bunduki
Mjini mipango

Ova
 
Mitaa hiyo hatari mpka Nkurumah, enzi hizo nikitumwa nyaraka flani naenda mitaa hiyo kuna Watu wananifahamu. Kuna rafiki yangu wa zamani yeye dili zake ilikuwa kuwa mdhamini kwa raia wa kigeni waliokuwa wanapewa dhamana na mahakama. Anajua ishu za kisheria utafikiri mwanasheria na ni darasa la saba tu.

Kulikuwa na kijiwe kingine hapo extelecom, kulikuwa na vibanda vya stationery, humo ni dili za TRA tu.
last week nilipita ile mitaa, aisee mitaa imepooza sana. zile mishemishe za miaka ile hakuna tena.zile vurugu za mission town hazipo tena.

nadhani imetokana na mji kutanuka na kusambaa kwa huduma za kiserikali mpaka huku chini kwenye kata.

siku hizi baadhi ya huduma sio lazima uzifate mjini posta kama zamani. hususan huduma za kupata vibali, leseni za biashara, passport, huduma za kibank nk. kila kitu kinapatikana kwenye ngazi za wilaya.
 
last week nilipita ile mitaa, aisee mitaa imepooza sana. zile mishemishe za miaka ile hakuna tena.zile vurugu za mission town hazipo tena.

nadhani imetokana na mji kutanuka na kusambaa kwa kuduma za kiserikali mpaka huku chini kwenye kata.

siku hizi baadhi ya huduma sio lazima uzifate mjini posta kama zamani. hususan huduma za kupata vibali, leseni za biashara nk. kila kitu kinapatikana kwenye ngazi za wilaya.
Mchawi control number.
 
Kuna Advocate Nyombi
Rpc iringa kama sijakosea
Kaimbwa sana na bushoke
 
hahahahaha.....dunia ili iwe dunia lazima iwe na watu wa namna hii......kizazi hiki kinawauza nyago wengi sana, wengi sio watu wa pilikapilika.....

Naona mnamkanyagia swahiba wangu Kizaizai.....

Mmemsahau big bosi, Mzee wa SA, Alex.
Madenge sijamuona humu, wengine sio mapapa ila wazee wa mipango mjini at low key, wakiwa behind....
Alex Massawe mkuu
 
Back
Top Bottom