Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Ni kweli mkuu
Kuna wazee wana hati mkononi kwa ajili ya bond ya mahakama
Ni wewe na pesa yako tuu
Mahakama kama kisutu ndio kilikuwa kilinge chao
 
Ahsante kwa masa
👏👍
 
Hapa umechapia: Dotnata ni mapacha, anayefanya cataring ni mwingine na aliyekuwa msanii ni mwingine
 
Na kuondoa malipo ya cash serikalini kumesaidia sana, halafu siku hizi nyaraka za kawaida zinapatikana mpaka mtandaoni. Mambo ya mihuri nk hayana dili siku hizi.
 
uzi nimeufurahia umenikukusha mbali
1.chalz mtawali nilikutana nae ofisini kwake yard ingine ilikuakama unatoka kinondoni unaenda morroco ile yard ingine ya kule morroco haikua ofisi yake tulifanya kazi poa sana jamaa mtu poa sana
2.judy moshi ni mshkaji wangu sana sa hv anakaa goba na ana mishe zake nyingi
 
Huyo Baraka kapuya full boss sasa hivi yuko Urambo kaliua tabora huko kuna lodge ana simamia
 
Kulikuwa na daladala zinaitwa Madinda Trans je zilikuwa zake? Halafu jamaa nadhani alishadanja. Aliwahi kuishi na Aisha Mbegu (Aisha Madinda) ila walikuja kuachana
 
Huyu gwiji (RIP) ni pedejee pekee kutokea pande za TMK alikuwa na gereji Temeke kisha akawa na daladala zinaitwa Kitendawili. Baadae alihamia Sinza Morina kumuoa Amina Chifupa wa Mpakanjia
Aisha alikuwa pisi kweli
Sema ngada tu ilimuaribu

Ova
 
Kuna mwamba wankuitwa Bosco mitaa ya akina Ntimizi, ukitaka pass ya kusafiria ni ndani ya siku tatu tuu, ukitaka kwenda ulaya ni pesa yako tu,akatangaza kwenye daily news kuwa Kuna scholarship kusoma marekani foarm 20k, kakusanya izo 20k then akakimbia, nasikia alikuwa mganda jamaaa.
Wapi Ras D mtoto wa Sinza, Wapi fransisi moshua Mzee wa madini Arusha?
 
Msofe ni zulumati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…