mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Wizara ya kilimo miaka ya nyumaNi dereva Wizara flan hapa tz
Si alikuwaga anauza nguo kkoHata Bobis Makono alikuwa wa Temeke
Ubalozi wa marekani alikuwepo mama mmja anaitwa nafisa,alishawahi kuninyima visaMambo yameenda kwa kasi sana,siku hizi unalipa bili /ankara kwa control number ule udalali wa viwanja hewa pale City hall ulisha siku nyingi, teknolojia imeharibu sana dili za watu kwani enzi za makaratasi ndio watu walikuwa wanapiga pesa kweli,ukiwa na kesi unahonga tu masjala faili linachomolewa na kesi kwisha, pia ujio wa mwamba Jiwe ambaye alisema hadharani kwamba kama huna kazi mjini inabidi urudi tu kijijini ukalime, mitaa ya posta na viunga vyake imedorora ,mitaa ya pale Billicanas ya Mbowe ndio palikuwa kilinge kikuu cha nyaraka magumashi, ukitaka paspoti, kitabu cha ubaharia,hati ya kuzaliwa, digrii na bank statement (hizi zilikuwa almasi hasa ukitaka kuingia ubalozini kwa ajili ya viza) na zamani ubalozi wa Uingereza ulikuwa pale karibu kabisa na mzunguko wa sanamu la Bismini, he kustuka Jiwe kaingia kila mianya ikaanza kufungwa mara eh tunahamia Idodomya mara eh sasa mambo yote Mlimani city mara eh pasiport za kielektoniki basi kama alivyosema mwamba Jiwe ikabidi watu warudishe majeshi ingawa sasa kuna dalili za kurudi tena zama za kulamba asali. Mliowahi kuomba viza ubalozi wa Uingereza miaka ile mnamkumbuka mama wa kihindi ambaye yeye alikuwa anatoa tu viza kwa wahindi wenzake, pia pale ubalozi wa bwana mkubwa kuna jamaa mmoja alikuwa poa sana watu walikuwa wanamfuata kwenye kinywaji kule Masaki anakwambia njoo kesho uchukue viza yako, mambo yalikuwa moto sana miaka ile kabla ya Osama hajaharibu dunia.
Kaimbwa sana na mabaga fresh kwenye nyimbo yao iliyo watoa mkuuSi alikuwaga anauza nguo kko
Kama sikosei alikuwa na duka mitaa
Ya msimbaz
Na pia alikuwa designer wa mavaz ya wakongo
Ova
EXTRA BONGO choki aliyewezeshwa na mdada fulani hivi alikuwa demu wakeNdie alikua mmiliki wa Extra bongo au?
Yah twanga tulikuwa tunaingia bureAsha mwanamke wa shoka alisimamia bendi za kaka yaka Baraka Msilwa,kuanzia MK Ssound ,bendi aliyoanzisha baada ya Boziana kuja na wakongo akina Elyston Angai, Dodoo la Buche na kama sikose Nyoshi, baadae wakawa na MK Beats wana Tukunyema chini ya Shem Karenga ila bendi yao ya kwanza ni hii African Stars ilianza na akina Mafumu,Andy swebe halafu wakaja akina Mponda ,Banza stone Masanja(Mzee wa ''Uro'')
Ukiachana na ASHA BARAKA mwenyewe kuna yule dada anaitwa LUIZA NYONI huyu dada alitoka nayo TWANGA MBALI sanaYeye ndio alikuwa katibu wa bendi.
Ila uzi bila kumtaja dada yetu Asha Baraka basi uzi utakuwa una mapungufu makubwa.
Asha Baraka Sugu, huyu ndio alimpeleka marehemu Kanumba Uingereza kwa mara ya kwanza Kanumba akiwa mpole kabisa, mwana mmoja wa Kinondoni wakuitwa Mtambo yupo USA kwa sasa ndio ananitambulisha kwa Kanumba.
Tulikutana kwenye viofisi vyetu vya mazabe wote tunajaza fomu za kuingia ubalozini na kupiga passport size quality.
BANZA alivyoondoka TWANGA wadu tukajua TWANGA itakufa aisee kumbe Ndio kwanza kunakucha BAADA mtu badi CHOKI kuchukua USUKANIAsha kweli alipambana sana kuhusu twanga,wakati wa show kuna wakati alikuwa anakomaa mlangoni,vingilio
Mimi mwenyewe twanga nlikuwa mdau kwelikweli
Bendi ina raha yake bana
Ova
Zamani nliuza sana sim za mkononi mitaa ya azam na salamanderMambo yameenda kwa kasi sana,siku hizi unalipa bili /ankara kwa control number ule udalali wa viwanja hewa pale City hall ulisha siku nyingi, teknolojia imeharibu sana dili za watu kwani enzi za makaratasi ndio watu walikuwa wanapiga pesa kweli,ukiwa na kesi unahonga tu masjala faili linachomolewa na kesi kwisha, pia ujio wa mwamba Jiwe ambaye alisema hadharani kwamba kama huna kazi mjini inabidi urudi tu kijijini ukalime, mitaa ya posta na viunga vyake imedorora ,mitaa ya pale Billicanas ya Mbowe ndio palikuwa kilinge kikuu cha nyaraka magumashi, ukitaka paspoti, kitabu cha ubaharia,hati ya kuzaliwa, digrii na bank statement (hizi zilikuwa almasi hasa ukitaka kuingia ubalozini kwa ajili ya viza) na zamani ubalozi wa Uingereza ulikuwa pale karibu kabisa na mzunguko wa sanamu la Bismini, he kustuka Jiwe kaingia kila mianya ikaanza kufungwa mara eh tunahamia Idodomya mara eh sasa mambo yote Mlimani city mara eh pasiport za kielektoniki basi kama alivyosema mwamba Jiwe ikabidi watu warudishe majeshi ingawa sasa kuna dalili za kurudi tena zama za kulamba asali. Mliowahi kuomba viza ubalozi wa Uingereza miaka ile mnamkumbuka mama wa kihindi ambaye yeye alikuwa anatoa tu viza kwa wahindi wenzake, pia pale ubalozi wa bwana mkubwa kuna jamaa mmoja alikuwa poa sana watu walikuwa wanamfuata kwenye kinywaji kule Masaki anakwambia njoo kesho uchukue viza yako, mambo yalikuwa moto sana miaka ile kabla ya Osama hajaharibu dunia.
Alikuwepo yule jescaUkiachana na ASHA BARAKA mwenyewe kuna yule dada anaitwa LUIZA NYONI huyu dada alitoka nayo TWANGA MBALI sana
licha ya kuwa mnenguaji pia likuwa kama mpishi
anakwambia some time hata pesa ya kula kambi tabu inabidi atoke na vitu kama mafuta mchele nk NYUMBANI ili wakifika kambini wapike wale
EDHI HIZO ASHA anafanya kazi serikalini akitoka job jioni ndio anapitia KAMBI kama kapata CHOCHOTE kitu anawaachia wanamuziki
edhi hizo ndio kachukua jukumu la hiyo band mana ndugu zake waliona miyeyusho yeye akakomaa nayo hvyohvyo
Luiza alikuwa machineUkiachana na ASHA BARAKA mwenyewe kuna yule dada anaitwa LUIZA NYONI huyu dada alitoka nayo TWANGA MBALI sana
licha ya kuwa mnenguaji pia likuwa kama mpishi
anakwambia some time hata pesa ya kula kambi tabu inabidi atoke na vitu kama mafuta mchele nk NYUMBANI ili wakifika kambini wapike wale
EDHI HIZO ASHA anafanya kazi serikalini akitoka job jioni ndio anapitia KAMBI kama kapata CHOCHOTE kitu anawaachia wanamuziki
edhi hizo ndio kachukua jukumu la hiyo band mana ndugu zake waliona miyeyusho yeye akakomaa nayo hvyohvyo
James hakufa Kwa hajari ya gari pale mbezi beach?Bila kumsahau James Mwakamele pedeshee Mwakamele R.I.P
Ukimwi upo na unauwa, tutumie kondomu.
Baba Diana alikuwa mpiga drums wa twanga pepeta,alifariki Kwa ajari ya gari pale tangi bovu,karibu na njia ya panda ya kawe, alikuwa anaendesha piki piki yake akitokea kwenye show ya twanga mbezi beach.jamaa alimgonga kwa nyumaBaba Diana alikua akitajwa sana na Twanga Pepeta.
ndio maana nimemtega kwa kumuuliza kuhusu mmiliki wa dotnata decoration.naona kakaa kimya kutoa jibu.Yeye ndio kachapia, hao mapacha wote walifanya kazi hiyo kwa pamoja wakiwa pale ofisi za trafiki kwa nyuma kipindi hicho RTO ni Mkwama. Dotinata akachangamka zaidi na kuinyanyua biashara yao.
Aisha alipoachana na fikiriKulikuwa na daladala zinaitwa Madinda Trans je zilikuwa zake? Halafu jamaa nadhani alishadanja. Aliwahi kuishi na Aisha Mbegu (Aisha Madinda) ila walikuja kuachana
Sasa michongo,idea yote ya mjini watu waliyopo kwenye taasisi za serikali wao ndy wanawapa watuhahaha kama nawaona vile vijana wa kaunda suti black eagle wakiperuzi hizi nyuzi ku unlock code wapate historia ya namna hela ilikua inatafutwa na kutumiwa.
2015 kama membe angemrithi mzee wa msoga basi hali ya mishen town, muziki, starehe trend ingekuwa juu sana..sababu hivyo vyote vinahusiana.
magu alifanya mapedeshee wakimbilie kununua mapori mabwepande wakajenge kujistiri plus mixer ufugaji..
walioshindwa kusoma alama za nyakati either kukubali life linachange ndo hao mara kakamatwa na kete, mara kakamatwa kampiga mzungu jiwe, duh.
Umewasahau wezi wa kutumia funguo....wezi hao wanatia Tim mpkhahaha kama nawaona vile vijana wa kaunda suti black eagle wakiperuzi hizi nyuzi ku unlock code wapate historia ya namna hela ilikua inatafutwa na kutumiwa.
2015 kama membe angemrithi mzee wa msoga basi hali ya mishen town, muziki, starehe trend ingekuwa juu sana..sababu hivyo vyote vinahusiana.
magu alifanya mapedeshee wakimbilie kununua mapori mabwepande wakajenge kujistiri plus mixer ufugaji..
walioshindwa kusoma alama za nyakati either kukubali life linachange ndo hao mara kakamatwa na kete, mara kakamatwa kampiga mzungu jiwe, duh.
yeah uncle wangu rip ndo zilikua mishe zake, yeye mtu wa nje lakini ndo anadirect mtu wa wizarani kama fungu liliwe au la moto limetegeshwa hahaha.. kipindi hicho hamna control number kaka..risiti za njanoo..Sasa michongo,idea yote ya mjini watu waliyopo kwenye taasisi za serikali wao ndy wanawapa watu
Ova