Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Umenikumbusha mbali, mbali, Mandela baada ya kupata Urais ilikuwa Telkom ukiomba huduma ya simu ndani ya wiki moja unaunganishiwa.

Kulikuwa na jamaa yupo Kuwait Wahindi wanapanga foleni kuanzia asubuhi mpaka usiku non stop mnawaunganisha kuongea na familia zao India kisha yeye anawatumia pesa kupitia western union na wala hamjuwani wala hata hujui anafananaje.
 
Ha ha ha ha baada ya Mungu ni wewe! Wale jamaa kweli wehu
 
Nashukuru sana mkuu, Mimi ndiye niliyeuliza swali ingawa juu hapo kuna watu wameleta ujuaji ila nashukuru kwa majibu yako,
 
Maisha yako mbio sana, Nyoshi anaimba bado kwenye bar kadhaa Dar, ni kumfika bei tu, mara ya mwisho nilimuona alikuwa na Patcho Mwamba mitaa ya Goba pale sema wanaamsha bhana sio mchezo
 
haaa,,,wacongo wanapaisha mbaya mbovu.
"Papaa Matola mutu ya watu,*mutu iko na pesa mingi sana"[emoji23].
hapo umetunza teni tu unapaishwa kama mwewe[emoji23][emoji23]
 
Manka Mushi kati ya Moshi sijui picha yake wala mishe zake.
 
Huyo Baraka kapuya full boss sasa hivi yuko Urambo kaliua tabora huko kuna lodge ana simamia
Inasemwa Akudo ni kifupi Cha ATHUMANI...KULWA NA DOTTO (AKUDO)
Pamoja na kua profesa....kapuya Hana mtoto mwenye akili wala mtoto msomi....(Brainy)

Inasemekana malezi ya kuwalea watoto kama mayai zimechangia kuwaharibu

Ni wababe sana watoto wake nasikiaga baraka alikua anatembezea Rungu wake za watu hapo kaliua........

Wajuvi wataongezea....
 
Daah! Mkuu umenikumbusha mbali sana aisee. Sijajua umetumia muda gani kuandaa huu uzi ila hongera sana..

Hawa jamaa zamani walikuwa na majina sana na nilikuwa nawa admire sana. Sema baadhi yao wamekuja kupatwa na vipengele sana

Big up sana[emoji122][emoji122][emoji122]
 
[emoji1431][emoji1431][emoji1431]
 
mirayesa alikuwa muimbaji pekee wa kike kutoka fm academia
 
Dunia uwanja w fujo
 
Mzee malay nlifanya kazi kwake
Za kutumwa hapa na pale upande wa dokomaa....enzi hzo nlikuwa dogo nasoma natafuta pesa
Umenikumbusha aise,alikuwa smart sana ila kuna wakat fulani nlimuona
Alikuwa tofauti nlijisikia vibaya sana

Ova
 
Lyatonga si ndy alituchomesha akawaribia wabongo viza UK
Entry
Bandika bandua watu walizipiga sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…