Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

1.Fikiri Madinda
2.Pedeshee Mudi Nondo
3.Moris Mariaga
Hapa pedeshee kidogo ni #3,hao 1&2 walikua ni janja janja tu,tuliowahi kuishi nao Sinza_Madukani tunawajua vizuri
Huyo Mudi Nondo BSS aliyoshinda Jumanne Iddi,nafikiri ilikua ndio BSS ya kwanza,siku ya Fainali aligawa pesa hatari,cha kushangaza nyumba aliyopanga ilikatiwa umeme kwa kushinda kulipa bili kwa wakati(enzi hizo hakuna LUKU) [emoji38][emoji38][emoji38]
Fikiri Madinda aliishi kwenye upangaji na nyumba ya kawaida mno tofauti na jina alilokuwa nalo mjini.
 
Mapedeshe wengi wanaongezaga sifuri...akiwa na 100,000 atafanya watu waone Ana mln 100

Ova
 
Kizaizai alikuwa na yard ya magari ya uzushi mitaa ya shopper's...
Mwenye eneo alikuwa na mpango wa kuliuza,kila akimwambia Anunue eneo ni blhblh tu
Mwisho wa siku wakaja watu wenye pesa wakamtoa hapo kabakia kungaamacho tu

Ova
 
Da west nayo ilikua ya moto,huku chili kile muumini,pale ngwasuma hatari sana.
Kuna mademu walikua wanaomba niwasogeze hadi hapo Dar West,kuingia ndani, vinywaji na kurudi kitaa watajitegemea,ilikua mtu tatu,Ijumaa live band lazima watimbe
 
Kizaizai alikuwa na yard ya magari ya uzushi mitaa ya shopper's...
Mwenye eneo alikuwa na mpango wa kuliuza,kila akimwambia Anunue eneo ni blhblh tu
Mwisho wa siku wakaja watu wenye pesa wakamtoa hapo kabakia kungaamacho tu

Ova
kaka inaonekana huyu kizaizai unamfahamu deep sana. [emoji3]
 
mrangi funguka kidogo kuhusu muzamil katunzi. najua huwezi kukosa machache kumuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…