Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Kajala nmeanza kmjua tokea kanasoma kumbukumbu primary school...
Enzi hzo beach alikuwa na team yake wanasasambua tu,club asset pale wasasasambua sana...
Sema ndy hivyo Ana zali la watu kumzimikia...
Na maisha hya anayapenda ya spotlight .....bata
Kabla ya konde kumbuka aliolewa na smbdy faraji yule jamaa aliyekuwa na issue ya benki...na kilichomkuta nafikiri unakikumbuka...

Ova
na ndugu yake rose ,watoto wa oystebay police
 
Uzi huu sijaona watu wawili..
Rwegalulira ... nafikiri na mkewe Kama sikosei na kampuni Yao ya Heineken..

Halafu mishe town Rahim Zamunda ...jamaa alikuja nunua timu ya Mo dewji ya African Lyon
ila zamunda mtu mmoja mjanja-mjanja halafu smart sana.

ukimuona vile anavyojiweka rafu, nywele hachani na kile kiswahili chake cha kihaya, unaweza sema mshamba fulani hivi.

ukikaanae ukaanza kusikia story zake, ndio unajua jamaa ana mipango mingi mizuri, shida utekelezaji.

ile timu yake ya mpira african lyon sijui imefia wapi siku hizi. msimu wa 2021-2022, alipambana sana kuirudisha ligi kuu, ikakwamia ligi daraja la kwanza(first division).

yeye na alex kajumulo ni marafiki sana, nadhani tangu ujana wao wakiwa wote huko kwao bukoba na baadae wote wakaenda zao US, zamunda akarudi zake nchini. halafu nasikia jamaa ana uraia wa US, bongo anazuga tu.
 
rose aisee cjui yuko wapi?

Kajala na rose walifanya balaa msasani beach pale ktk summer jam,sisahau mbunye zote nje
Enzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....

Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
 
Enzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....

Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
Langata/club asset alishavua sana pale ilikuwa ndiyo kama style yake

Ova
 
Enzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....

Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
hahahahaha nakumbuka sn
 
Wasanii wa bongofleva usiwaamini hata kidogo, huyo mmakonde hana uwezo wa kumnunulia kajala Range, hyo gari alipewa na tajiri mmoja kino mwenye yard ya magari amsaidie kumtafutia wateja.
😁😁😁 Kijana konde tangu nione amepelekwa mahakama kwa kushindwa kulipa Kodi la Ile ghorofa alilokua amepanga hua nampuuza tu akijifanya Ni don.Angekomaa na kuimba tu maana kipaji anacho.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Kijana konde tangu nione amepelekwa mahakama kwa kushindwa kulipa Kodi la Ile ghorofa alilokua amepanga hua nampuuza tu akijifanya Ni don.Angekomaa na kuimba tu maana kipaji anacho.
Hivi hiyo Range aliyompa Kajala vipi??

Ile pesa aliyoambiwa kulipa Wasafi Label,sijui zaidi ya 500M kumbe zote ni kamba tu!

Hua nawaza kitu kimoja tu,kama mtu una pesa zaidi ya 500M iweje upange?? Jamani hapo dsm,kiwanja cha 30M, tena kikubwa kabisa unapata, unajenga house yako ya 200M na bado chenji inabaki
 
Hivi hiyo Range aliyompa Kajala vipi??

Ile pesa aliyoambiwa kulipa Wasafi Label,sijui zaidi ya 500M kumbe zote ni kamba tu!

Hua nawaza kitu kimoja tu,kama mtu una pesa zaidi ya 500M iweje upange?? Jamani hapo dsm,kiwanja cha 30M, tena kikubwa kabisa unapata, unajenga house yako ya 200M na bado chenji inabaki
😄😄😄 Nadhani ndio maana wakaitwa wasanii yaani Ni waongo waongo,waigizaji Maisha ,😄😄
 
Kuna watu wasenge kweli. Yaani wewe mwanaume na pesa yako eti unaenda kumtafuta Wema mtu ambaye keshagongwa na watu kibao.

Mshamba mwingine ni Harmonize kumnunulia Range Rover Kajala halafu eti anaimba na wimbo kabisa wa kujisifia kwamba kamhonga Kajala. Kajala mwenzie P Funk kapiga mpaka kazalisha, na jamaa wengine kibao tu washapita mpaka jela alienda huko sijui kama walimwacha maafande.
Labda nyota kwenye mambo ya kishirikina, wanayopita kwa wataalam
 
Back
Top Bottom