Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
na ndugu yake rose ,watoto wa oystebay policeKajala nmeanza kmjua tokea kanasoma kumbukumbu primary school...
Enzi hzo beach alikuwa na team yake wanasasambua tu,club asset pale wasasasambua sana...
Sema ndy hivyo Ana zali la watu kumzimikia...
Na maisha hya anayapenda ya spotlight .....bata
Kabla ya konde kumbuka aliolewa na smbdy faraji yule jamaa aliyekuwa na issue ya benki...na kilichomkuta nafikiri unakikumbuka...
Ova
jerome rugemalilaUzi huu sijaona watu wawili..
Rwegalulira ... nafikiri na mkewe Kama sikosei na kampuni Yao ya Heineken..
Halafu mishe town Rahim Zamunda ...jamaa alikuja nunua timu ya Mo dewji ya African Lyon
hv dalallas tajiri wa unuio yuko wapi? Katajwa humuAh sana nishamtumiaga sana kwenye mambo yangu,sema badaye akaja shtuka thamani yake akawa anataka dau kubwa [emoji1]
Ova
Halafu Rose alikuwaga mkali zaidi kuliko hata Kajala,sijui yupo wapi yule Binti daaahna ndugu yake rose ,watoto wa oystebay police
rose aisee cjui yuko wapi?Halafu Rose alikuwaga mkali zaidi kuliko hata Kajala,sijui yupo wapi yule Binti daaah
Yupo ununio tu kwaohv dalallas tajiri wa unuio yuko wapi? Katajwa humu
hahahaha,safiYupo ununio tu kwao
Kawa swala 5
Ova
Htrrose aisee cjui yuko wapi?
Kajala na rose walifanya balaa msasani beach pale ktk summer jam,sisahau mbunye zote nje
ila zamunda mtu mmoja mjanja-mjanja halafu smart sana.Uzi huu sijaona watu wawili..
Rwegalulira ... nafikiri na mkewe Kama sikosei na kampuni Yao ya Heineken..
Halafu mishe town Rahim Zamunda ...jamaa alikuja nunua timu ya Mo dewji ya African Lyon
Enzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....rose aisee cjui yuko wapi?
Kajala na rose walifanya balaa msasani beach pale ktk summer jam,sisahau mbunye zote nje
Langata/club asset alishavua sana pale ilikuwa ndiyo kama style yakeEnzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....
Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
hahahahaha nakumbuka snEnzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu..[emoji17]..[emoji17].... ukumbi wote ulizizima.....
Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo[emoji26]
πππ Kijana konde tangu nione amepelekwa mahakama kwa kushindwa kulipa Kodi la Ile ghorofa alilokua amepanga hua nampuuza tu akijifanya Ni don.Angekomaa na kuimba tu maana kipaji anacho.Wasanii wa bongofleva usiwaamini hata kidogo, huyo mmakonde hana uwezo wa kumnunulia kajala Range, hyo gari alipewa na tajiri mmoja kino mwenye yard ya magari amsaidie kumtafutia wateja.
Hivi hiyo Range aliyompa Kajala vipi??[emoji16][emoji16][emoji16] Kijana konde tangu nione amepelekwa mahakama kwa kushindwa kulipa Kodi la Ile ghorofa alilokua amepanga hua nampuuza tu akijifanya Ni don.Angekomaa na kuimba tu maana kipaji anacho.
πππ Nadhani ndio maana wakaitwa wasanii yaani Ni waongo waongo,waigizaji Maisha ,ππHivi hiyo Range aliyompa Kajala vipi??
Ile pesa aliyoambiwa kulipa Wasafi Label,sijui zaidi ya 500M kumbe zote ni kamba tu!
Hua nawaza kitu kimoja tu,kama mtu una pesa zaidi ya 500M iweje upange?? Jamani hapo dsm,kiwanja cha 30M, tena kikubwa kabisa unapata, unajenga house yako ya 200M na bado chenji inabaki
Labda nyota kwenye mambo ya kishirikina, wanayopita kwa wataalamKuna watu wasenge kweli. Yaani wewe mwanaume na pesa yako eti unaenda kumtafuta Wema mtu ambaye keshagongwa na watu kibao.
Mshamba mwingine ni Harmonize kumnunulia Range Rover Kajala halafu eti anaimba na wimbo kabisa wa kujisifia kwamba kamhonga Kajala. Kajala mwenzie P Funk kapiga mpaka kazalisha, na jamaa wengine kibao tu washapita mpaka jela alienda huko sijui kama walimwacha maafande.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asante mungu huu Uzi unanipa vya kuongea mbele za watu naonekana najua kumbe mzaliwa WA Itigi
Na uchumba kabisa na mimba juu Ila walishindwana alifunga busta balaa, engagement party yao!!mimba ilitokaga nadhan..