Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Daah basketball umenikumbusha Hunter - Rip.Kuna watu walikuwa na uwezo sana nashangaa hawakupata nafasi NBA
Au college hko USA
Wengi waliyokuwa na uwezo walienda USA walifanya mambo mengine naona walikosa nafasi au zali huko
Hasheem thabeet nasemaga siku zote
Hakuwa mchezaji wa kikapubsema alitengenezwa ,kapata bahati kaichezea
Kuna watu walikuwa nanuwezo sana
Sema talent ilipotea tu
Ova
Hivi huyu Andwew Fernandez yupo?? mtoto wa Kinondoni Lang'ata???Andrew FernΓ‘ndez au
Ova
Babu Sambeke aliimbwa na bendi gani?Pale moshi alikuwepo babu sambeke senior
Kajala kumbe amefanya mambo nchi hii paula akasome πEnzi hizo concert za wanafunzi zinafanyika Diamond jubilee,..... wakati wa fashion show kajala alipanda stejini alipofika katikati ya steji akavua khanga aliyojifunga kiunoni akabaki mtupu.... .... ukumbi wote ulizizima.....
Naona safari yake ya kuvua nguo stejini ndio ilianziaga hapo.....ikawa kila concert lazima awepo na lazima avue nguo
Wasanii wetu ni tofauti na wasanii wa hapo Congo, wale ni matajiri kweli na wamejenga majengo ya maana na watoto au wake zao wanaishi ulaya,[emoji1][emoji1][emoji1] Nadhani ndio maana wakaitwa wasanii yaani Ni waongo waongo,waigizaji Maisha ,[emoji1][emoji1]
Aise hyo sijaonana naye miaka mingi sana,mara ya mwisho kumuona alikuwa amedhoofu kdgHivi huyu Andwew Fernandez yupo?? mtoto wa Kinondoni Lang'ata???
Kajala anapenda life hiizi kujirusharose aisee cjui yuko wapi?
Kajala na rose walifanya balaa msasani beach pale ktk summer jam,sisahau mbunye zote nje
Kajala,Rose,Joan wa lyumba [emoji1]rose aisee cjui yuko wapi?
Kajala na rose walifanya balaa msasani beach pale ktk summer jam,sisahau mbunye zote nje
Wasanii matajiri hata wa uganda ni tofauti na wa kwetu hapa πWasanii wetu ni tofauti na wasanii wa hapo Congo, wale ni matajiri kweli na wamejenga majengo ya maana na watoto au wake zao wanaishi ulaya,
Hawa wasanii wetu hua wanaact tuu lakini hawana kitu
James Rugemalila, baba yake jerome.jerome rugemalila
Wasanii wa bongo maigizo mengi kuliko uhalisia, hebu muangalie tu huyo Uwoya anaonesha matanuzi ya mamilioni instagram lakini juzi tu kavujishiwa utupu wake, papuchi chafu utasema demu wa unga limited. Uje kwa watoto wao sasa sidhani hata kuna mtoto wa msanii wa bongo anasoma mamtoni. Huyo Diamond mwenyewe watoto wameganda South Africa, kwa mpunga wake watoto wake walitakiwa wasome high class school mamtoni. usanii mwingi sana kwa wasanii wa bongo wanasahau investment kubwa ni elimu bora kwa watoto wao ili waje wasimamie mali zao kwa weredi.Wasanii wetu ni tofauti na wasanii wa hapo Congo, wale ni matajiri kweli na wamejenga majengo ya maana na watoto au wake zao wanaishi ulaya,
Hawa wasanii wetu hua wanaact tuu lakini hawana kitu
Rugemalira banaUzi huu sijaona watu wawili..
Rwegalulira ... nafikiri na mkewe Kama sikosei na kampuni Yao ya Heineken..
Halafu mishe town Rahim Zamunda ...jamaa alikuja nunua timu ya Mo dewji ya African Lyon
Sidhan kama ameshawahi kuimbwa ila ni alikuwa bilionea wa pande za klm πBabu Sambeke aliimbwa na bendi gani?
Hahah watu walikua wanamkuza Sana aisee,Ile familia ilikua ya ajabu Sana Sambeke kibaka halafu Kaka yake Ni Padri na mtoto wa Sambeke ni Mwanajeshi yaani duh.Sidhan kama ameshawahi kuimbwa ila ni alikuwa bilionea wa pande za klm π
Familia ina kila mtu ile πHahah watu walikua wanamkuza Sana aisee,Ile familia ilikua ya ajabu Sana Sambeke kibaka halafu Kaka yake Ni Padri na mtoto wa Sambeke ni Mwanajeshi yaani duh.
Hahah ya kibabe Sana mzee.Familia ina kila mtu ile π
Unaambiwa Koffi Olomide kwake kuna petrol station yaan mafuta anaweka kwake, Fall Ipupa tajiri, Inos B kaanza juzi ila ni tajiri na fabrigas nae ni tajiri,Wasanii wa bongo maigizo mengi kuliko uhalisia, hebu muangalie tu huyo Uwoya anaonesha matamuzi ya mamilioni instagram lakini juzi tu kavujishiwa utupu wake, papuchi chafu utasema demu wa unga limited. Uje kwa watoto wao sasa sidhani hata kuna mtoto wa msanii wa bongo anasoma mamtoni. Huyo Diamond mwenyewe watoto wameganda South Africa, kwa mpunga wake watoto wake walitakiwa wasome high class school mamtoni. usanii mwingi sana kwa wasanii wa bongo wanasahau investment kubwa ni elimu bora kwa watoto wao ili waje wasimamie mali zao kwa weredi.