Alishatoka kwenye 15 alikaa miaka 8 hivi....yuko tu tabata sahviFaraji alitoka gerezani kweli au bado yupo nyuma ya nondo??
Kupata pesa ni kazi ndogo sana! Tatizo kuitunza pesa ndo shida iko hapo!
Nakumbuka miaka ya 90 huko kulikua na matajiri wakubwa sana Kahama town!
1. SAS
2. Hindocha
3. Tajiri mmoja mtoto wake alichoma shile ya sekondary ya Wigehe
4. Saidi Makonyeza
5. Paul Msimba
6. Charles Kasuka
Hawa ni baadhi yao tu! Sijui wako wapi! Sijui wanafanya nini sasa hivi! Pesa ni shida sana
There you are mzeeila kahama ina bahati sana ya kuwa na watu wenye kipato kizuri. ile madhari tu ya mji wa kahama inakupa taswira kuhusu unafuu wa kipato cha mtu mmoja mmoja.
OkeyAlishatoka kwenye 15 alikaa miaka 8 hivi....yuko tu tabata sahvi
Ova
mwaka jana(2021)around december nilikuwa kahama,halafu usiku wa weekend moja nikaenda kula bata kwenye ile club maarufu yenye jina la magic 101.There you are mzee
Safi sanamwaka jana(2021)around december nilikuwa kahama,halafu usiku wa weekend moja nikaenda kula bata kwenye ile club maarufu yenye jina la magic 101.
that night at that club was epic and magical, nili enjoy sana. tangia hapo nikajenga mahaba na mji wa kahama.
pongezi kwa mmiliki wa hii club.uwekezaji wake umesimamia kucha. nasikia ni kijana mdogo tu mwenyeji wa hukohuko kanda ya ziwa.
View attachment 2401278View attachment 2401279View attachment 2401280View attachment 2401281
Yaan alichoma shule niliyosoma mie[emoji1787]shule ya jumuiya ya wazazi ccm,nilisikia hizi storyKupata pesa ni kazi ndogo sana! Tatizo kuitunza pesa ndo shida iko hapo!
Nakumbuka miaka ya 90 huko kulikua na matajiri wakubwa sana Kahama town!
1. SAS
2. Hindocha
3. Tajiri mmoja mtoto wake alichoma shile ya sekondary ya Wigehe
4. Saidi Makonyeza
5. Paul Msimba
6. Charles Kasuka
Hawa ni baadhi yao tu! Sijui wako wapi! Sijui wanafanya nini sasa hivi! Pesa ni shida sana
Huyu papaa king si ndo mmiliki wa hiyo tripple A club na radio pia?Unamsemea papaa king aliyekua anapenda kucheza pool table pale triple a..?
Ndio kakaamos makalla huyuhuyu RC wa dar?.
Mbn tushakuwa naye sana kwenye bendi hapo mawasilianoamos makalla huyuhuyu RC wa dar?.
Kama sikosei huyu alikufaKulikuwa na Juma Ngida akiimbwa sana ba akina Zli Choky
Yes, alishatangulia mbele ya haki.Kama sikosei huyu alikufa
Juma nyamihela
Ova
hivi karibuni niliwahi kupiga story na jamaa ambaye alikuwa ni fundi makenika kwenye gereji yake kule temeke.Kama sikosei huyu alikufa
Juma nyamihela
Ova