Bususwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 468
- 1,116
Kupata pesa ni kazi ndogo sana! Tatizo kuitunza pesa ndo shida iko hapo!
Nakumbuka miaka ya 90 huko kulikua na matajiri wakubwa sana Kahama town!
1. SAS
2. Hindocha
3. Tajiri mmoja mtoto wake alichoma shile ya sekondary ya Wigehe
4. Saidi Makonyeza
5. Paul Msimba
6. Charles Kasuka
Hawa ni baadhi yao tu! Sijui wako wapi! Sijui wanafanya nini sasa hivi! Pesa ni shida sana
Nakumbuka miaka ya 90 huko kulikua na matajiri wakubwa sana Kahama town!
1. SAS
2. Hindocha
3. Tajiri mmoja mtoto wake alichoma shile ya sekondary ya Wigehe
4. Saidi Makonyeza
5. Paul Msimba
6. Charles Kasuka
Hawa ni baadhi yao tu! Sijui wako wapi! Sijui wanafanya nini sasa hivi! Pesa ni shida sana