Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Mgahawa mzuri mwingine ulikuwa food world unaikumbuka

Ova
 
Mgahawa mzuri mwingine ulikuwa food world unaikumbuka

Ova
dah!...food world ulikuwa jirani na askari monument.

marehemu anko wangu alikuwa anafanya kazi TRA, akitusua tu madili yake alikuwa ananipeleka food world kupata lunch.
 
Juma Nyamihela alikuwa na ndugu yake akiitwa Ramadan Kiombile alikuwa rafiki yangu.Siku moja tumeenda Naye kwake Mbagala Kibonde maji,tulikuta umati wa watu wamekuja kuomba pesa na misaada mingine.Inaonekana jamaa alikuwa na utu sana.
 
Mgahawa mzuri mwingine ulikuwa food world unaikumbuka

Ova
Haswaaa Food World na kuna ingine Jamaa Fast food, ilikua hapa upenuni na hio pharmacy karibu na Empress na ingine watu wa customs tuliienda sana ilikua hapa opposite na ofisi ndogo za immigration Dar.
Mzee Sheta-RIP tena hakuna mtu wa long room alikua hamjui, nae alikua pouwa sana ukifanya nae deal la bandarini na rafiki yake akiitwa Discuss nasikia yupo UK. Ndama siku zingine alikua anakaa kwenye kijiwe cha hapo Azam Jamhuri street kwa hio round about wakifanya udalali na akina Amani na Mlelwa.
 
Nyie mnaelekea mlifanya sana vurugu florida bar town hapo [emoji1]

Ova
 
Hivi hio Florida bar bado ipo?? ina juu na chini, kule juu ilikua chaka fulani hivi kuna giza kidogo mkiwa wenyewe na demu unajipigia quickie fasta fasta. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sijapita kitambo hapo mara mwisho kupita nliona kama imejichokea
Hakuna amshaamsha kama zamani,sema pale palikuwa na utulivu
Watu wanaingia wanaongea mipango
Ila mbwa kala mbwa zanzibar hotel bado ipo hapo ndipo nlitongozaga dem wa kidosi alikuwa mchati na nkamlagaaa kwa mara kwqnza namla mhindi

Ova
 
Kuliko hiki kizaz cha wavuvi kemp mara barabeach na sehemu za starehe kibao [emoji2]
Siku hizi kuna makelele tu mkuu watu starehe hawajui [emoji1]
Enzi za ubaharia wangu nili3ndaga brazil nlikaaga huko miezi kama 14
Hilo bata na pipi nliyokula Acha tu
Fujo za copacabana hadi carnival ilinikuta huko .....Acha tu
Nashangaa bongo anakuja mtu anaanda kitu anaita carnival
Carnival ni hatariii aise,madem wakali aiseee
Kuna balaaa zinafanyika unasema hii dunia hiii

Ova
 
Kwanza umesahau msondo ngoma na sikinde. Walikuepo na hadi leo wapo ila hawakua na tabia kuwataja mapedeshee.
Christian bella juzi kwenye interview moja kasema kutaja mapedeshee ilikua pesa. Yaani ni mtaji ukiwataja wanakupa pesa.
Halafu pedeshee neno limetoholewa kutoka kifarannsa PDG, wanatamka pedejee. Ni sawa na CEO, yaani mkurugenzi mkuu wa kampuni. Kule congo ni watu noti sana. Ukiwataja kwenye wimbo enzi hizo wanakujaza manoti. Sijui siku hizi.
 
Wewe ulieenda huko ambako starehe zilipozaliwa lazm huku uone hamna kitu aisee kweli 😁
 
Ina maana hawa jamaa wamekula bata kuliko vijana wa sahv 😁
Sasa hivi hamna kitu, hamna raha yoyote au sie ndio tunaoona hivyo labda vijana wenyewe wanafurahia zaidi. Mimi nimekuja bongo naenda hizo bar zao hamna kitu naona zimepoa sana. Sijui kwa sababu nimekua muhenga na kunywa sinywi. Muziki sasa hivi daah siwezi kabisa hayo matamasha yao vurugu tupu. enzi zile tunaenda kumbi mbali mbali ziko vizuri sana.
 
Wanasema kila zama na mambo yake πŸ˜ƒ
 
Ni kweli unaweza kuta vijana wanafurahi bata zao, sema mitaa ya mjini ikifika saa za jioni inapoa sana watu wote wanarudi makwao huko sijui tegeta, kimara, mbagala etc. zamani hio mida ni ya vurugu mjini watu wanarejea huko giza tayari wanaanzia Florida bar au Georgis pale. daa vijiwe vya mjini vingine nimevisahau sasa kuna kingine kilikua huku karibu na lumumba ilikua hotel ya mzee wa kichaga ikiitwa Happy hotel ina mpaka summit bar., na ingine Keys Hotel na pale Railway station juu kulikua na ki bar hivi.
 
Newhappy kulikua na mbuzi choma nzuri sana,pia kulikua na fastfood zahir mitaa ya kitumbini...pia kulikua na mbuzi choma hapo mnazi mmpja jirani na nbc bank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…