mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah!nafaham alikuwa mpigaji...sikujua kama walimtia ndani....niliona amepotea tu ghaflaSi walikuwa wapigaji wezi tu
Ova
Daa safi mkuu nimeona mambo ya bagamoyo, kweli umenichamshana mimi haswaa. Piga hizo tantalia vizuri 🤣 🤣 🤣Ndani ya Bagamoyo town
Nmekuja kuwaletea uzushi na kuwachangamsha wazaramo+wapwani kidogo
[emoji38]
Kuna mtu anapigwa tantalila huku
Carlitos Way
smarte_r
Ova
View attachment 2548891View attachment 2548892View attachment 2548894View attachment 2548895View attachment 2548896
Lazima niwaingize kingi hukuDaa safi mkuu nimeona mambo ya bagamoyo, kweli umenichamshana mimi haswaa. Piga hizo tantalia vizuri [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
🤣 🤣 🤣 si mchezo unatumia uzoefu wako wa kitambo.. kila la kheri sheikh.Lazima niwaingize kingi huku
Ashapangwa mtu huku tayari
Ashajaaa
Ova
Hahaha(hakuna dhuluma lkn)[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] si mchezo unatumia uzoefu wako wa kitambo.. kila la kheri sheikh.
umezungumza jambo la msingi sana. tuishi tukijua kesho hatutakuwepo kwenye nafasi tulizonazo sasa.Ila jamani wakati ni ukuta. Ukijiuliza kwenye hii dunia tunahangaika na nini hupati jibu. Kuna wazee wamepiga hela hapo mjini mpaka basi tena. Leo hata kwenda kwa Mangi apate beer mbili hawezi.
unfortunately kila zama na mambo yake. Tupendane na tufurahie maisha. Hakuna kipya chini ya jua. Zaidi kwa wenye dhamana na kazi za serikali au fursa nyinginezo……do your job well and try to be nice to people…hata usipowasaidia. Hii dunia ni ya ajabu mnooooo.
sidhani kama Ndugai na wenzake wangefikiria kwamba ipo siku watatoka kwenye reli kizembe namna hii.
vijana na wote ambao tuna pumzi bado….tuna mengi ya kujifunza.
Na Hilo ndo wengi tunalisahau. Ardhi imemeza miamba na miamba. Hakuna kipya chini ya jua.umezungumza jambo la msingi sana. tuishi tukijua kesho hatutakuwepo kwenye nafasi tulizonazo sasa.
lakini pia tufahamu itafika wakati miili yetu itadhoofika na kupoteza nguvu kwasababu mbalimbali, ikiwemo maradhi na umri.
Tupe storyHahahaha umenikumbusha enzi za best yangu Amos Makalla enzi hizo mweka hazina wa CCM!!
Makalla ana bahati ya kuzaliwa niishie hapo!!
Haha si unajuwa mabaharia stori haziishagi,masekeseke mengimrangi umetisha sana! Kwenye huu uzi umeonekana nikijana wa zamani sana!
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mahita Mzee wa (Ngunguli)Na Hilo ndo wengi tunalisahau. Ardhi imemeza miamba na miamba. Hakuna kipya chini ya jua.
nikikumbuka wenye vyeo na kejeli….Salmini aka komandoo…IGP Mahita, Sumaye…list ni ndefu. Leo wako wapi?
mzee fanya yako. Furahia maisha. Kikubwa upunguze regrets uzeeni.
Pita na pale nyumbani kwao na Kikwete! Jamaa ile nyumba kajenga yakawaida sana! Sijui aliogopa kurogwa??Ndani ya Bagamoyo town
Nmekuja kuwaletea uzushi na kuwachangamsha wazaramo+wapwani kidogo
[emoji38]
Kuna mtu anapigwa tantalila huku
Carlitos Way
smarte_r
Ova
View attachment 2548891View attachment 2548892View attachment 2548894View attachment 2548895View attachment 2548896
Palm beachNaikumbuka hio pub ilikua maarufu kwa utengenezaji wa supu na sausages, asubuhi mtu unapaki pembeni unapiga chap chap unateremka mjini, hapo naishi kinondoni, squad na kina marehemu Swetu Fundikira, Charles Sanga -rip na wengineo. Kulikua na bar ingine hapo mbele opposite na soko la ma TX ikiitwa Kontena nayo ilitisha sana. Viongozi wengi kama kina mkwere, marehemu Ben Mkapa na wengineo baa yao tulikua tunawakuta hapo Seaview karibu na Salender Police station nimeisahau jina lake ndio viongozi wengi kilikua kijiwe chao. ilikua inamilikiwa na shirika la umma. Hatari sana mkuu.
Mwamba mbona madini Yuko wizara ya madini ni dereva pale au alihama? maana ni mtu wa karibu kwa sasaFikiri Madinda Mimi ndiyo Boss wake hapa Kilimo na Ushirika Dodoma. Ni Dereva wa Wizara ya Kilimo na Ushirika, hataki kabisa umuite Papaaa Fikiri Madinda NI swahiba mkubwa Sana na RC wa DSM wa Sasa hivi
Yuko wizara ya madini hata Leo nilikuwa naeMkuu wizara moja wapo ni ipi hiyo wakati anajulikana yuko Tamisemi. Unaficha ficha nini sasa, ama unaona ni jambo la siri saaana.
Katisha sanashukrani mdigo[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]