MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hili jina liko kwenye karibu nyimbo zote za Fallypumzika kwa Amani Gauthier Ewing, rafiki wa karibu wa Fally Ipupa tangu utotoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jina liko kwenye karibu nyimbo zote za Fallypumzika kwa Amani Gauthier Ewing, rafiki wa karibu wa Fally Ipupa tangu utotoni.
ni kweli, jina la marehemu Gauthier Ewing limetajwa sana na Fally katika nyimbo zake, hii imetokana na ukaribu wao tangu utotoni.Hili jina liko kwenye karibu nyimbo zote za Fally
Lishangazi liko vizuri 🔥🔥🔥🔥🔥anaitwa Nana Bafana Ketchup, mke halali wa mwanamuziki maarifu wa kikongo Fally Ipupa.
huyu ndio mwanamke aliyemfanya Fally Ipupa acheze mbali na bibie hamisa mobeto stejini kipindi kile mwanamuziki huyo alipofanya ziara nchini(video zipo mitandaoni, zitafute uone).
Fally anampenda sana mke wake, amemuimba na kumtaja kwenye nyimbo zake nyingi.mahusiano yao yana muda mrefu kabla hata Fally hajulikani.
Lakini kabla ya huyu Bafana alikuwepo Nicky Menga. Kwenye wimbo uliompa umaarufu sana Fally mwaka 2000, etternellement, featuring Koffi, alimuimba huyu Nicky Menga. Huwa anajiita Nicky Menga Barcelone. Ana watoto nae pia. Ila hawa wakongo wanajitahidi sana kwenye ishu za familia kutohusisha mambo yao ya muziki. Huwa wanaepusha sana drama za kisanii zisiingie kwenye familia.anaitwa Nana Bafana Ketchup, mke halali wa mwanamuziki maarifu wa kikongo Fally Ipupa.
huyu ndio mwanamke aliyemfanya Fally Ipupa acheze mbali na bibie hamisa mobeto stejini kipindi kile mwanamuziki huyo alipofanya ziara nchini(video zipo mitandaoni, zitafute uone).
Fally anampenda sana mke wake, amemuimba na kumtaja kwenye nyimbo zake nyingi.mahusiano yao yana muda mrefu kabla hata Fally hajulikani.
hilo jina la bercelona nimelikia kwenye baadhi ya nyimbo alizoimba Fally hususani kipindi kile akiwa kwenye kundi la koffi Olomide.Lakini kabla ya huyu Bafana alikuwepo Nicky Menga. Kwenye wimbo uliompa umaarufu sana Fally mwaka 2000, etternellement, featuring Koffi, alimuimba huyu Nicky Menga. Huwa anajiita Nicky Menga Barcelone. Ana watoto nae pia. Ila hawa wakongo wanajitahidi sana kwenye ishu za familia kutohusisha mambo yao ya muziki. Huwa wanaepusha sana drama za kisanii zisiingie kwenye familia.
Alikuwa mkewe. Tatizo wakongo pia wako makini sana kwenye ishu za familia. Wameziweka mbali familia zao na camera za media. Drama za JB Mpiana na Amida ndo zimekua zikisikika. Koffi nae pia amekuwa sometimes aki-trend na ishu za familia pamoja na mademu.hilo jina la bercelona nimelikia kwenye baadhi ya nyimbo alizoimba Fally hususani kipindi kile akiwa kwenye kundi la koffi Olomide.
kiukweli nilikuwa sifahamu kwamba alikuwa ni girlfriend/mke wa Fally.
Leo ndio nimejua, asante sana kwa taarifa.
shida ya content nyingi za maceleb wa kikongo zipo published kwa lugha ya kifaransa kiasi cha kuleta ugumu sisi kuzisoma na kuelewa. tumezoea kingereza na kiswahili.
Lina mwili mzuri japo lina watoto kadhaa kifua ni balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥😋Yuko vizuri mno.
Hamna sio msukuma 🤣sawa, ila usitumie neno Li. inakuwa ni kama unaongelea lidudu.
au wewe ni msukuma ndg yangu?.[emoji1787]
bhachu Hamed Bakayoko ameimbwa sana na Extra Music band naomba umelezee kwa upana nipate kumfahumu vemaTheodor Ngiama Obiang
Adolph Muteba Chilamwina
Jose Kongolo
Hamed Bakayoko
Pedeshee Dariol Mulongo
Adam Bombole
Fabrice Wasepe
Patricke Bolonya
Mohamed Munuo
Prof Tairol lubanga
Steve luemba
Sossu ngueso