mwaka jana niliandika wasifu wa marehemu Hemed Bakayoko hapahapa kwenye uzi huu.bhachu Hamed Bakayoko ameimbwa sana na Extra Music band naomba umelezee kwa upana nipate kumfahumu vema
hamed bakayoko is no more, alifariki last year kwa Covid . koffi olomide aliomboleza sana msiba wake. yeye na koffi walikuwa ni marafiki wa karibu sana.
bakayoko alikuwa ni raia wa ivory coast. a politician, rich businessman, music promoter, influencer and prominent figure in francophone countries.
nilikuwa nafatilia sana habari zake wakati angali hai.
View attachment 2273735
😢 Asante sana mkuumwaka jana niliandika wasifu wa marehemu Hemed Bakayoko hapahapa kwenye uzi huu.
rejea post hii hapa chini.[emoji1427][emoji1427]
mapedeshee wa kitanzania hawana guarantee ya kubaki kileleni mda mrefu.Sijawahi kuwa mkazi wa Dar, ila nimekuwa mfuatiliaji, mpenzi na mdau wa muziki wa dansi toka miaka ya 90 mwishoni hadi unaporomoka Miaka ya 2010. Lakini hadi leo mimi ni mdau wa muziki huu, huku nikiwa mfuasi wa Cheza Kidansi iliyopo chini ya Benard James.
Band ambayo nimeifahamu kwa kina ni Akudo, toka ikiwa chini ya Ramadhani Kahumbila (kaka yake kapuya) ikiimba nyimbo za kitamaduni na hamasa ya siasa zake na baadae kufanyiwa Mapinduzi kwa kuletwa wakongo. Wanamuziki wa kongo AKUDO waliishi bila shida kwa msaada wa mzee mwanjali aliyekuwa wizara ya kazi. Baraka kapuya baada ya kutoka Marekani alipokuwa akifanya kazi petrol station. Kwa sasa Baraka anasimamia biashara za Mzee wake hasa Tabora ambapo mzee ana majumba mtaa wa kanyenye (sinza au Kirumba ya Tabora) na hotel kama Frankman.
Maisha ya ma-pdg ni funzo kubwa la nidhamu ya fedha na uwekezaji.
Wimbo wa Jaydee uitwao Historia unafaa sana kuusindikiza huu uzi ambao ni very nolstalgic!
Ila majamaa ni matajiri sana ingawa kweye list za matajiri huwa hawatokei. Kuna pedeshee Mike Mosisi wa Lubumbashi nae sio poa yaani balaa zito. Juzijuzi hapa kulikuwa na hali ya sintofahamu Lubumbashi akaipeleka familia yake nzima ikaishi Morocco kwa muda hadi hali ya hewa ikae sawa. Mapedeshee wengi wa DRC wana nyumba nyingi nje ya Congo.mapedeshee wa kitanzania hawana guarantee ya kubaki kileleni mda mrefu.
jina la pedeshee likivuma sana ni miaka miwili au mitatu. baada ya hapo hasikiki tena. ukiuliza unaambiwa jamaa alishafirisika.
pale congo kuna matajiri majina yao yanaimbwa tangu 80s na 90s. mfano ni Adam Bombole, Tchatcho Mbala, Alita Tchamala nk.
huyu Alita Tchamala ni businessman na mwanasiasa. ameanza kuimbwa tangu miaka ya 80 na kundi la TP OK jazz. mpaka leo bado anaimbwa na wasanii wa kizazi cha sasa akina Ferre na Fally
View: https://youtu.be/tbRn8GH52Bg?si=zIG2bBsjrTduxBIi
View: https://youtu.be/ZttiHdXir1M?si=G_tRRh-x-qGbZ472
Wa kibongo wengi ni matapeli so hawana chance ya kudumu kwa muda mrefu, tofauti na hao wafanyabiashara wa kongo au wanasiasa.mapedeshee wa kitanzania hawana guarantee ya kubaki kileleni mda mrefu.
jina la pedeshee likivuma sana ni miaka miwili au mitatu. baada ya hapo hasikiki tena. ukiuliza unaambiwa jamaa alishafirisika.
pale congo kuna matajiri majina yao yanaimbwa tangu 80s na 90s. mfano ni Adam Bombole, Tchatcho Mbala, Alita Tchamala nk.
huyu Alita Tchamala ni businessman na mwanasiasa. ameanza kuimbwa tangu miaka ya 80 na kundi la TP OK jazz. mpaka leo bado anaimbwa na wasanii wa kizazi cha sasa akina Ferre na Fally
View: https://youtu.be/tbRn8GH52Bg?si=zIG2bBsjrTduxBIi
View: https://youtu.be/ZttiHdXir1M?si=G_tRRh-x-qGbZ472
jina la Mike Mosisi sio geni kwenye masikio yangu. nimelisikia mara nyingi kwenye nyimbo za Koffi Olomide na Ferre Gola.Ila majamaa ni matajiri sana ingawa kweye list za matajiri huwa hawatokei. Kuna pedeshee Mike Mosisi wa Lubumbashi nae sio poa yaani balaa zito. Juzijuzi hapa kulikuwa na hali ya sintofahamu Lubumbashi akaipeleka familia yake nzima ikaishi Morocco kwa muda hadi hali ya hewa ikae sawa. Mapedeshee wengi wa DRC wana nyumba nyingi nje ya Congo.
Dah binadamu tunapanga yetu, na Mungu nae anapanga yake.Tunamkumbuka kama Shujaa wetu na mtu mwenye mapenzi ya kweli na kisarawe alikuwa mkurugenzi wa Bandarini ila Faida yake mpk Leo baadhi vizazi bado ipo sio yule bwana waziri anafaida yeyote zaidi ya kuongeza wake... Tunamsubiri kwa Hamu 2025...
Aisee lkatika kuzunguka kwangu mjini sijawahi kukutana na tajiri down to earth kama Mzee Janguo. Nilisoma na mtoto wake Mohammeed. Huyu mzee ana moyo wa kipekee sana na anajitoa bila kuangalia dini au kabila.Mzee Janguo baada ya kutoka Bandari alikuwa mbunge wa Kisarawe.
Duuuh! R.I.PDah binadamu tunapanga yetu, na Mungu nae anapanga yake.
Pumzika kwa amani brother Rubawa.
Eric mandara Huyu ni mchaggajina lake linatajwa sana kwenye nyimbo za wanamziki wa congo dr.
huyu ndio Eric Mandala, tajiri mkubwa, mfanyabiashara na mfadhili wa mziki wa rumba.
eric ni mwekezaji katika biashara ya madini, kampuni yake ina deal na masuala ya kuchimba almas,kununua na kuuza. pia ni mwekezaji katika biashara ya real estate.
kampuni yake ina ofisi Kinshasa na Dubai .
Afu nasikiaga wanawake wa Kongo huwa wanafuga nywele za Vuzi, kuna dereva wa lorry alinipaa storyanaitwa Nana Bafana Ketchup, mke halali wa mwanamuziki maarufu wa kikongo Fally Ipupa.
huyu ndio mwanamke aliyemfanya Fally Ipupa acheze mbali na bibie hamisa mobeto stejini kipindi kile mwanamuziki huyo alipofanya ziara nchini tz(video zipo mitandaoni, zitafute uone).
Fally anampenda sana mke wake, amemuimba na kumtaja kwenye nyimbo zake nyingi.mahusiano yao yana muda mrefu kabla hata Fally hajulikani.
Ndiyo msiba uliyotokea A TOWNR.I.P Patrick Kessy (Kilimo Kwanza)
Mdau alikuwa kwa kipindi hiki anasapoti sana muziki wa dance
madereva wa malori sio wa kuwaamini. story zao nyingi ni chai, hawana tofauti na mabaharia wa zamani.Afu nasikiaga wanawake wa Kongo huwa wanafuga nywele za Vuzi, kuna dereva wa lorry alinipaa story
Ni marehemu kwa sasa.Alikuwa waziri mkuu wa Ivory coast.Alikufa huko Ujerumani akiwa kwenye matibabu ,aliugua Ini.Ilisemekana alipewa sumu maana alikuwa na ndoto ya kugombea Urais.bhachu Hamed Bakayoko ameimbwa sana na Extra Music band naomba umelezee kwa upana nipate kumfahumu vema