Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

duh..umenirudisha mbali sana mzee. nitaandika machache ninayoyakumbuka kuhusu huyo jamaa.

well, merey balhabou alikuwa ni mimiliki wa timu ya mpira ya moro united ya morogoro.

pia alikuwa ni mjasiriamali mkubwa tajiri aliyewekeza ktk sector ya nishati ya mafuta. ana undugu wa damu na tajiri namba moja nchini, salim bakhresa, nahisi anamuita mzee bakhresa mjomba(sina uhakika).

huyu jamaa ni mfaidika mkubwa yale mabilioni ya aliyewahi kuwa rais wa libya muamar ghadaf aliyokuwa anayatuma hapa tz ili kuwekeza ktk miradi mbalimbali.

yeye na wenzie waliokuwa kwenye system wakati huo ndio walikuwa wanayapiga yale mabilioni.

alifilisika baada ya kuwa na madeni mengi aliyoshindwa kulipa. pale tabata tioti zilizopo ofisi za azamtv, ilikuwa ni yard yake ya malori. alimuuzia mjomba wake mzee bakhresa ili kupata fedha ya kulipa madeni aliyokuwa anadaiwa.

kwa sasa sidhani kama yupo nchini, nahisi anaishi dubai au south africa.

hayo mengine sijui ya kulawiti wananume wenzie mimi siyajui, nilikuwa nayasikia tu. nawaachia wajuzi wa mambo watiririke.
....kikubwa cha Balhabou, mali zao zisikufanye upagawe, ukaniweka roho juu...

Kassim Mganga.
 
Yule mama mpaka miaka ya 2016 alikuwa na duka la kuuza tairi za magari mitaa ya Swahili na Twiga pale Kariakoo ila siku hizi simuoni.

Alikuwa na yule dogo mdogo wake Chicago kwa baba mwengine but siku hizi namuona huyo dogo tu kageuka winga wa spare.
Maisha yanachange maza alikua na duka hapo mbele ya AM mtaa wa swahili,naona bdae mtaji ulikata ila maza ananyumba zake za kutosha
 
duh..umenirudisha mbali sana mzee. nitaandika machache ninayoyakumbuka kuhusu huyo jamaa.

well, merey balhabou alikuwa ni mimiliki wa timu ya mpira ya moro united ya morogoro.

pia alikuwa ni mjasiriamali mkubwa tajiri aliyewekeza ktk sector ya nishati ya mafuta. ana undugu wa damu na tajiri namba moja nchini, salim bakhresa, nahisi anamuita mzee bakhresa mjomba(sina uhakika).

huyu jamaa ni mfaidika mkubwa yale mabilioni ya aliyewahi kuwa rais wa libya muamar ghadaf aliyokuwa anayatuma hapa tz ili kuwekeza ktk miradi mbalimbali.

yeye na wenzie waliokuwa kwenye system wakati huo ndio walikuwa wanayapiga yale mabilioni.

alifilisika baada ya kuwa na madeni mengi aliyoshindwa kulipa. pale tabata tioti zilizopo ofisi za azamtv, ilikuwa ni yard yake ya malori. alimuuzia mjomba wake mzee bakhresa ili kupata fedha ya kulipa madeni aliyokuwa anadaiwa.

kwa sasa sidhani kama yupo nchini, nahisi anaishi dubai au south africa.

hayo mengine sijui ya kulawiti wananume wenzie mimi siyajui, nilikuwa nayasikia tu. nawaachia wajuzi wa mambo watiririke.
We jamaa kweli born town,unajua mishe nyingi sana za Jiji la Amos Makala! Nakupa salute! Sijawahi jua kama Merey Balhabou ana undugu na Mzee Azam!

Hawa watoto wa mjini,aka mapedeshee watarudi kwa kasi sana kipindi hiki! Jack Pemba alikimbilia Uganda awamu ya Tano,nasikia karudi town!
 
duh..umenirudisha mbali sana mzee. nitaandika machache ninayoyakumbuka kuhusu huyo jamaa.

well, merey balhabou alikuwa ni mimiliki wa timu ya mpira ya moro united ya morogoro.

pia alikuwa ni mjasiriamali mkubwa tajiri aliyewekeza ktk sector ya nishati ya mafuta. ana undugu wa damu na tajiri namba moja nchini, salim bakhresa, nahisi anamuita mzee bakhresa mjomba(sina uhakika).

huyu jamaa ni mfaidika mkubwa yale mabilioni ya aliyewahi kuwa rais wa libya muamar ghadaf aliyokuwa anayatuma hapa tz ili kuwekeza ktk miradi mbalimbali.

yeye na wenzie waliokuwa kwenye system wakati huo ndio walikuwa wanayapiga yale mabilioni.

alifilisika baada ya kuwa na madeni mengi aliyoshindwa kulipa. pale tabata tioti zilizopo ofisi za azamtv, ilikuwa ni yard yake ya malori. alimuuzia mjomba wake mzee bakhresa ili kupata fedha ya kulipa madeni aliyokuwa anadaiwa.

kwa sasa sidhani kama yupo nchini, nahisi anaishi dubai au south africa.

hayo mengine sijui ya kulawiti wananume wenzie mimi siyajui, nilikuwa nayasikia tu. nawaachia wajuzi wa mambo watiririke.
Kuna Mzee mmoja mmasai alikua chuga,pesa alikua nayo yakutosha sana,alikua ana miliki timu ya mpira wa miguu ya Parison ya Arusha,Mzee alikua anapanda juu ya ghorofa anaanza kugawa pesa! Sasa hivi sijui yuko wapi,pesa ilikata!

Mwanza kulikua na Pedeshee Mteka teka, Mhasibu wa Polisi Mwanza,jamaa alikua anakula wanawake balaa
 
Charles Mtawali nimemfahamu toka 2002 alikuwa anafanya biashara na bro wangu muuza spare used ni mmoja wa waanzilishi wa mwanzo mwanzo kabisa wa yards za magari barabara ya Kawawa show room yake ilikuwa pale Morocco alikuwa mtu mmoja peace sana nahisi mpaka sasa ipo.

Kipindi hiko ukiingia show room hakuna cha kusema niagizie sijui Subaru sijui Mazda hiyo itafika mwakani ulikuwa unakutana na machaguo kadhaa tu either uchukue MarkII Grand Kisu,MarkII Mayai au Chaser Avante single glass or double glass (Balloon bado hazijafika bongo),Corolla Limited au Corona ST 150 hizi ni gari za 80/90s huko ukitaka SUV uchukue Suzuki Vitara 5 doors au Land Cruiser Prado II au VX ya Mrema ambazo ni gari walikuwa wananunua wachache kutokana na ukubwa wa bei.

Said Mukuu wa Lumumba na Omar Tolu hawa nao niliwahi kuwaona walikuwa wauza magari na wapokea bond wa magari wadau wakikwama mpunga town maskani yao ilikuwa pale Lumumba wanaowajua waliowahi kufanya nao kazi wanasema hawa jamaa hata urudishe mkopo wote ibaki laki hiyo hela huipati mpaka siku mkataba wenu unaisha na gari wanachukua.

Salum Chicago yeye alikuwa na show room yake town pale ilipo clock tower round about ya kwanza ukitoka Mnazi Mmoja kuelekea town mkewe wakati wa Kikwete aliukwaa ubunge viti maalumu,huyu mkewe alikuwa na scandal ya kutembea na driver wao jamaa mmoja akiitwa Mwinyi muhuni wa Manzese Chicago akamfukuza kazi,waya ulimchukua huyu dereva kwenye mwaka 2015/16.
...Wanawake! Unaupata Ubunge wa Kuteuliws na une Mume kama huyo Zimemtembelea, halafu unaishia kutembea na Dereva Wako!!
Yuko wapi' Sasa?
Alikuwa anaitwa Mbunge nani?
 
Charles Mtawali nimemfahamu toka 2002 alikuwa anafanya biashara na bro wangu muuza spare used ni mmoja wa waanzilishi wa mwanzo mwanzo kabisa wa yards za magari barabara ya Kawawa show room yake ilikuwa pale Morocco alikuwa mtu mmoja peace sana nahisi mpaka sasa ipo.

Kipindi hiko ukiingia show room hakuna cha kusema niagizie sijui Subaru sijui Mazda hiyo itafika mwakani ulikuwa unakutana na machaguo kadhaa tu either uchukue MarkII Grand Kisu,MarkII Mayai au Chaser Avante single glass or double glass (Balloon bado hazijafika bongo),Corolla Limited au Corona ST 150 hizi ni gari za 80/90s huko ukitaka SUV uchukue Suzuki Vitara 5 doors au Land Cruiser Prado II au VX ya Mrema ambazo ni gari walikuwa wananunua wachache kutokana na ukubwa wa bei.

Said Mukuu wa Lumumba na Omar Tolu hawa nao niliwahi kuwaona walikuwa wauza magari na wapokea bond wa magari wadau wakikwama mpunga town maskani yao ilikuwa pale Lumumba wanaowajua waliowahi kufanya nao kazi wanasema hawa jamaa hata urudishe mkopo wote ibaki laki hiyo hela huipati mpaka siku mkataba wenu unaisha na gari wanachukua.

Salum Chicago yeye alikuwa na show room yake town pale ilipo clock tower round about ya kwanza ukitoka Mnazi Mmoja kuelekea town mkewe wakati wa Kikwete aliukwaa ubunge viti maalumu,huyu mkewe alikuwa na scandal ya kutembea na driver wao jamaa mmoja akiitwa Mwinyi muhuni wa Manzese Chicago akamfukuza kazi,waya ulimchukua huyu dereva kwenye mwaka 2015/16.
niseme tu wewe ni mwana der es alaam. borntown wa nyota tano. umefunguka vizuri.

naikumbuka vizuri sana ile showroom ya salim chicago. ilikuwa mitaa ile ya clock tower/station, inatazamana na jengo la tanesco.
 
Hawa walianza ujanja tu toka zamani
Alipotoka bukoba alipokelewa na ndg
Yake,akamuwekaga kwenye duka la dawa kino studio
Alijua mambo ya mjinimjini
Msofe naye wote walianzia salamander mjini...mambo ya mihuri,pport etc
Huko ndiko walijua michongo mingine
Kwa mtoto wa mjini zamani lazima uende salamander,azam kutega ujue na kupata a,b,c,d
Nashanga sahv mtoto wa mjini anaonekana na kutambulika
Kisa anaenda kidimbwi
Mtoto wa mjini maana yake huko mjini
Unakutana na watu,viongozi wanakupata connection au wanakupa mchongo kwa kukutumia wewwe nk
Siku mtu kwenda Juliana kidimbwi
Anaonekana umjini

Ova
...Na Coffee Bar ilivyokuwa chili Extecomms. Siku hizi ni Ofisi!
 
Mkuu
1.Fikiri Madinda
2.Pedeshee Mudi Nondo
3.Moris Mariaga
Hapa pedeshee kidogo ni #3,hao 1&2 walikua ni janja janja tu,tuliowahi kuishi nao Sinza_Madukani tunawajua vizuri
Huyo Mudi Nondo BSS aliyoshinda Jumanne Iddi,nafikiri ilikua ndio BSS ya kwanza,siku ya Fainali aligawa pesa hatari,cha kushangaza nyumba aliyopanga ilikatiwa umeme kwa kushinda kulipa bili kwa wakati(enzi hizo hakuna LUKU) [emoji38][emoji38][emoji38]
Fikiri Madinda aliishi kwenye upangaji na nyumba ya kawaida mno tofauti na jina alilokuwa nalo mjini.
1.Fikiri Madinda
2.Pedeshee Mudi Nondo
3.Moris Mariaga
Hapa pedeshee kidogo ni #3,hao 1&2 walikua ni janja janja tu,tuliowahi kuishi nao Sinza_Madukani tunawajua vizuri
Huyo Mudi Nondo BSS aliyoshinda Jumanne Iddi,nafikiri ilikua ndio BSS ya kwanza,siku ya Fainali aligawa pesa hatari,cha kushangaza nyumba aliyopanga ilikatiwa umeme kwa kushinda kulipa bili kwa wakati(enzi hizo hakuna LUKU) [emoji38][emoji38][emoji38]
Fikiri Madinda aliishi kwenye upangaji na nyumba ya kawaida mno tofauti na jina alilokuwa nalo mjini.
Mkuu mitaa ya sinza star iyo, mudi nondo kabebesha Sana watu bwimbi, morisi mtu wa kazi kazi
 
Ni neno moja tu Hidaya na hedaya. Labda tusaidie huyo mtoto amezaa naye mwaka gani ili upewe full kisa ndipo ujue wabongo wanajua kuchangamkia fursa. Sikatai kwamba huyo Hidaya wa Pepe Kale kama mnavyomuita alikuwepo, ila kilichoimbwa kwenye wimbo sio Hidaya mwanamke. Ila wabongo kwa kuchangamkia fursa mko vizuri. Stori ndefu kidogo na muda hautoshi.
...Na Wewe eleza Pepe Kalle alisema lini na wapi hayo unayoyasema kuhusu wimbo wa Hidaya kwamba una maana hio unayoisema wewe?...
 
baba diana alikuwa ni mpiga drum wa kutegemewa kwenye band ya twanga pepeta, alifariki kwa ajari ya pikipiki yake mwenye miaka kadhaa iliyopita.
Bab diana
images.jpeg-2.jpg
 
Hawa walianza ujanja tu toka zamani
Alipotoka bukoba alipokelewa na ndg
Yake,akamuwekaga kwenye duka la dawa kino studio
Alijua mambo ya mjinimjini
Msofe naye wote walianzia salamander mjini...mambo ya mihuri,pport etc
Huko ndiko walijua michongo mingine
Kwa mtoto wa mjini zamani lazima uende salamander,azam kutega ujue na kupata a,b,c,d
Nashanga sahv mtoto wa mjini anaonekana na kutambulika
Kisa anaenda kidimbwi
Mtoto wa mjini maana yake huko mjini
Unakutana na watu,viongozi wanakupata connection au wanakupa mchongo kwa kukutumia wewwe nk
Siku mtu kwenda Juliana kidimbwi
Anaonekana umjini

Ova
Kweli nakubali
 
Hayo mengine sawa, ila kuhusu kukosa umaarufu kwa mziki wa dansi napingana na wewe.

Mziki wa dansi ulikuja kukosa umaarufu baada ya kuvuma kwa bongo fleva kuanzia miaka ya 2010 hivi.

Kabla ya mwaka 2010 ilikuwa ni nusu kwa nusu, yaani mziki wa dansi na bongo fleva ulikuwa unachuana katika mashabiki.

Chuma kimeingia ikulu 2015 huku mziki wa dansi ukiwa hoi bin taabani.

Hilo ni suala la kawaida katika fasihi. Nafikiri tunakumbuka kuna kipindi miaka ya 2000 hivi taarabu ilikuwa juu kuliko bongo fleva, enzi za Hadija Kopa na yule mama sijui alikuwa naitwa nani mpinzani wa kopa.
Marehemu Nasm Khamis Kidogo
 
baraka kapuya alikuwa anatajwa sana na wanamuziki wa kundi la akundo sound.

mmiliki wa akudo alikuwa ni prof. juma kapuya ambaye wakati fulani aliwahi kuwa waziri wa elimu na mbunge.

inawezekana huyu baraka ni family member au mtoto wa mzee kapuya. wajuzi wa mambo watajazia nyama.
Baraka Kapuya ni mtoto wa Prof.Kapuya.Alivyotoka Marekani ndo akawa meneja wa bendi ya baba yake.Wakifanyia mazoezi Kinondoni shamba.
 
Una leseni ya kuendesha hizi freightliner?
Kuna dada mmoja, Zulfa Said Seif kule bukoba (marehem) size hizi mwanamme asipomridhisha anamlamba makofi!
Hata handsome ex president anamjua!
Leseni ninayo Kaka😁, dah huyo alimlamba makofi Mzee Nini ?
 
Back
Top Bottom