Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
AISHA ulimbukeni wa uzuri ulimzuzuaLuiza alikuwa machine
Sema mm bado naliaga na aisha
Ova
alivyokuwa mnenguaji TWANGA kila pedeshee alimtaka yeye sas alivyoingia kwenye madawa ndio kabisa akaanza kupoteza
analetwa MWANANYAMALA HOSPITAL hoi taabani hakuna pedeshee hata mmoja aliyekuja hata wanamuziki pia mana walimsaidia mpk wakamchoka mpaka KIFO kikamchuka ni cha kudhadhalilika sana
sema nini MUNGU ndio anapanga KIFO
ingekuwa EDHI ya sasa kunywa madawa kidogo ingekuwa ahueni na hili la kunywa madawa ndio lilimsaidia RAY C ama sivyo angekufa KIFO KIBAYA sana kama cha AISHA
ila watoto wa siku hizi ukiwaambia Edhi zetu za dansi
wanenguaji walikuwa wanasajiriwa na kuhama kwa DAU kubwa la uhamisho kama wachezaji mpira
na MNENGUAJI aliyewahi kuvunja RECORD kwa dau kubwa la uhamisho ni QUEEN SUZY
hio ilikuwa ni jeuri ya mapedeshee bwana