Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Nicky Menga Barcelone girlfriend wa zamani wa fally ipupa kipindi hicho fally sio mtu maarufu sana akijitafuta kwenye ramani ya mziki.

pic moja nzuri sana. sijui fally alighafirika nini akamuacha huyu mdada.
mwana mama bado anamwelewa fally ipupa...
 
Leo nlikutana na papa msofe nlikuwa mitaa ya golden folk mikocheni,tukapiga stori 1,2
Wakati natoka naye akawa anatoka akaingia ndani ya kibrevis kimechokchoka,nkamzingua mbn huko humu akacheka akasema ttz yale magari makubw yanachoresha 😄

Ova
😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃 mtu mzito.
 
mwaka 1996 kundi la wenge musica BCBG chini uongozi na usimamizi wa Werrason na JB mpiana liliachia album kali sana kwa jina pentagone.

nadhani baada ya hapo kundi lilisambaratika na kuzalisha mkundi mengine yaliyoshindana kimuziki.

ndani ya album hiyo kuna track inaitwa coco madimba.
coco madimba sio neno la kilingala bali ni jina la mtu,mdau wa muziki au tuseme sponsor mwenye fedha zake ambaye aliwalipa wanamuziki hao ili wamuimbe.

jina lake limesikika kwenye nyimbo nyingi za kundi hilo zilitoka miaka ya 90.

licha ya kwamba coco madimba ndio muhusika mkuu wa huu wimbo, ndani yake yametajwa majina ya wadau wengine wa muziki wa kikongo.

nakuwekea hapa kipande kifupu cha video ili uweze kuwafahamu.
Pajou simba na coco madimba walikuwa mabisho kinoma hata vijana wa sasa wanakaa kwa pigo zao.
 
jina lake linatajwa sana kwenye nyimbo za wanamziki wa congo dr.

huyu ndio Eric Mandala, tajiri mkubwa, mfanyabiashara na mfadhili wa mziki wa rumba.

eric ni mwekezaji katika biashara ya madini, kampuni yake ina deal na masuala ya kuchimba almas,kununua na kuuza. pia ni mwekezaji katika biashara ya real estate.

kampuni yake ina ofisi Kinshasa na Dubai .
Vipi Eric Kalume.....katajwa kwenye wimbo wa fally ipupa wa Associe...
 
Wakati huo mambo yalikuwa ni moto, pale Salender club pink coconut kuanzia ijumaa ni bolingo la kufa mtu, huku Radio one unakuta DJ Rankim Ramadhani Nyamka yuko hewani anaachia Bolingo za hatari.

Ukiwa na peugeot 504 umeifunga mziki mkubwa dunia yote ilikuwa ni yako na tiketi ya kuingia hadi kwa watoto wa kishuwa unawakula tu.

Ukumbuke kipindi hicho ukitaka kwenda Uingereza ni kama unaenda Kenya tu, unakata ticket unaruka tu unaenda kugongewa entry Heathrow London.
Broo mmekula maisha aloo natamani ningepitia hizo zama ila basi tu kila shetani na mbuyu wake
 
Back
Top Bottom