Abraham Lincon
Member
- Oct 22, 2010
- 78
- 0
Well said....wakataeni tu ndio dawa
Kwa wanawake wakatwe nini?sheria mkononi tafuteni watu wawakate hizo nanihiii zao ili zisifanye kazi
Kusema kweli jambo hili linaniuma sana na linanikera hasa! Mtaani kwangu pengine hata mtaani kwako pia kuna watu tena watu wenye heshima zao pamoja na kujijua wazi kwamba wanaishi na HIV/VVU bado wanafanya ngono hovyo tena kwa makusudi huku wakijua kufanya hivyo kunachangia kusambaza vijidudu hivyo kwa wengine. Hivi hakuna sheria inayowagusa wanyama hawa? Tuwafanyaje hawa jamani?
Kusema kweli jambo hili linaniuma sana na linanikera hasa! Mtaani kwangu pengine hata mtaani kwako pia kuna watu tena watu wenye heshima zao pamoja na kujijua wazi kwamba wanaishi na HIV/VVU bado wanafanya ngono hovyo tena kwa makusudi huku wakijua kufanya hivyo kunachangia kusambaza vijidudu hivyo kwa wengine. Hivi hakuna sheria inayowagusa wanyama hawa? Tuwafanyaje hawa jamani?
Wanao fanya nao wanaponzwa na vihelehele vyao wengine wanaambiwa kabisa lakini aaah wapi anaenda kumpanulia
ehe!
Jamani mbona katika suala baya huwa tunawaonea sana wanyama?Kwa mfano mtu akiua tunasema ni tendo la kinyama,mbona wanyama hawauani wenyewe kwa wenyewe wala kuambukizana magonjwa yanayotamkwa mpaka tuwaite watu kwa majina yao?Kusema kweli jambo hili linaniuma sana na linanikera hasa! Mtaani kwangu pengine hata mtaani kwako pia kuna watu tena watu wenye heshima zao pamoja na kujijua wazi kwamba wanaishi na HIV/VVU bado wanafanya ngono hovyo tena kwa makusudi huku wakijua kufanya hivyo kunachangia kusambaza vijidudu hivyo kwa wengine. Hivi hakuna sheria inayowagusa wanyama hawa? Tuwafanyaje hawa jamani?
Jamani mbona katika suala baya huwa tunawaonea sana wanyama?Kwa mfano mtu akiua tunasema ni tendo la kinyama,mbona wanyama hawauani wenyewe kwa wenyewe wala kuambukizana magonjwa yanayotamkwa mpaka tuwaite watu kwa majina yao?
Ni mtazamo wangu tu.
Hata kama sheria zipo za kuwabana bado hakuna sheria ya kumtambua mtu kuwa ana ugonjwa fulani na hatakiwi kuwa katika mahusiano na mtu fulani na mbaya zaidi tendo lenyewe ni la siri kwa maana halifanyiki hadharani hivyo kutokuwa rahisi kulikomesha,cha msingi ni kuwalea watoto wetu katika maadili mazuri.
Hivi unaanzaje kufanya matusi na mtu kabla hata hamjapima ukimwi? unakua na haraka gani? .
Hivi kumbukumbu hii huwa unayo? ........!Hivi unaanzaje kufanya matusi na mtu kabla hata hamjapima ukimwi? unakua na haraka gani? Maisha yako yote hujawahi fanya? ukiwa unapenda kuchovya chovya ovyo, na kuonjesha onjesha hovyo wala usilalamike kwani unapata haki yako ya msingi kuambukizwa ukimwi.
Hivi unaanzaje kufanya matusi na mtu kabla hata hamjapima ukimwi? unakua na haraka gani? Maisha yako yote hujawahi fanya? ukiwa unapenda kuchovya chovya ovyo, na kuonjesha onjesha hovyo wala usilalamike kwani unapata haki yako ya msingi kuambukizwa ukimwi.
Hivi kumbukumbu hii huwa unayo? ........!
PUUUUUUU nakumbuka sana na niko makini katika hiliMaty tema mate juu kama kweli huwa unalikumbuka hili.
kwa nini nisiwe nayo na mtu nina akili zangu timamu, nishanusurika ujanani nije niupate uzeeni kisa?Hivi kumbukumbu hii huwa unayo? ........!
Hiyo dudu yako inakua ilikua na hamu muda huo na mimi huniitaji labda kama nakuuzia napo nitachukua hatua madhubutimpaka muende kupima mpate majibu dudu itakuwa imelala,.,.,... mzigo wenyewe wa fasta
Anafrahisha jukwaa tu hapa
Boldi:Eti ni nini hiyo:love::love:?Hivi unaanzaje kufanya matusi na mtu kabla hata hamjapima ukimwi?