Tuwaheshimu wana JamiiForums ambao hawajawahi kupigwa ban

Tuwaheshimu wana JamiiForums ambao hawajawahi kupigwa ban

Kuna wengine wamefutiwa account kabisa kwa sababu ya kuendekeza upuuzi i.e cocastic

wazee hao waheshimiwe sana huko juu
 
cocastic kafutiwaje account?
Huyu hii nilishaiona toka zamani,walau kwa mpwayungu village alikua na hoja zake ila namna ya uwasilishaji ndio ilikua ya kuudhi kwa wenye taaluma/kada yao,ila huyu (Coca) ye alijitanabaisha kabisa kushabikia mambo ya upinde kitu ambacho kwa jamii yetu si sawa hata kidogo....Wapo wanaosema anasoma moja ya taaluma ngumu tena kwenye chuo kongwe kuliko vyote hapa kwetu,najiuliza ndio wataalamu wetu hawa tunazalisha waje na mawazo chanya kukomboa taifa.....?
Anyways ana deserve ban
 
Sasa kumbe JF inaweza kuwaadhibu wote wanaoenenda kinyume na sheria,kanuni,taratibu na mazoea ya JF, kwa nini serikali inashindwa kuwaadhibu hawa wanaoiba hela za wananchi na kuenenda kinyume na miongozo yao ya kazi!!??

Mh. Rais Samia tafadhali waombe wana JF wakutengenezee mfumo rafiki wa kuwaadhibu wote wanaoenda kinyume na taratibu za nchi (kama huo mfumo haupo) ili taifa na wananchi tupone.
 
Sasa kumbe JF inaweza kuwaadhibu wote wanaoenenda kinyume na sheria,kanuni,taratibu na mazoea ya JF, kwa nini serikali inashindwa kuwaadhibu hawa wanaoiba hela za wananchi na kuenenda kinyume na miongozo yao ya kazi!!??

Mh. Rais Samia tafadhali waombe wana JF wakutengenezee mfumo rafiki wa kuwaadhibu wote wanaoenda kinyume na taratibu za nchi (kama huo mfumo haupo) ili taifa na wananchi tupone.
Chama cha Majizi
Chanzo cha Matatizo
 
Good Friday Kareem.

Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate.

Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au umkashifu kwa kashfa yoyote ile, atakuangalia, atakuelimisha, na akikuona ni kichwa ngumu atapita zake kando akuache na keyboard ⌨ yako.

Mzee huyu hajawahi kupewa adhabu yoyote, ila muda wote amekuwa akipokea zawadi za kuwa member bora zaidi hapa jukwaani.

Skylar, huyu ni mdada mwenye kichwa chake matata sana. Sio under dog ila ni underground member ambaye amekuwa akijificha kwenye majukwaa rahisi, na inapombidi huwa anaingia kwenye majukwaa magumu na kutema madini adhimu. Skylar hajawahi kuchezea ban.

Pascal Mayalla a.k.a MWANASHERIA msomi, mchambuzi wa kisiasa na mshauri na muonyesha njia wa taifa hili, bro wangu huyu ni miongoni mwa members wanaosakamwa na wakati mwingine kutukanwa matusi makubwa kabisa, lakini ana uvumilivu wa hali ya juu sana. Hekima anayoipata kutoka kwa yohana Mtebezi imemfanya awe very calm muda wote. Huyu braza ana ban moja


Mshana Jr, huyu ni member maarufu kuliko member mwingine yeyote, na pia amekuwa kioo kwa wengi hapa jukwaani. Tangu amejiunga, hajachezea mkasi wa ban.

Gwappo Mwakatobe, amekuwa mchangiaji wa muda mrefu na hajawahi kupatwa na hayo makitu.

Sky Eclat , mwanamama mwenye upeo wake, muhabarishaji ,muelimishaji na mchangamshajo. Kwake ban NO.

Wengine ni Nazjaz, Jemima Mrembo , Chakorii, ndyoko, Kipaji Halisi, Madame B na wengine wengi.

FaizaFoxy yeye kachezea sana ban enzi zile, na mwenzake Malaria Sugu alipigwa life ban.

Maisha ni mazuri sana aisee
Kwahiyo mimi nilishawahi kuchezea Ban lini?
 
Back
Top Bottom