Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Kuitimiza torati ni kazi ngumu sanaMahnumbu kwa mbowoto?Au mbowoto haifai sababu ni zao la mnyama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuitimiza torati ni kazi ngumu sanaMahnumbu kwa mbowoto?Au mbowoto haifai sababu ni zao la mnyama?
Aisee, kwani hao JF wana rekodi za watu waliowahi kula ban?Sijawahi pigwa ban. JF wanipe tuzo. .
Umebatizwa upya mkuu?Hiyo B hapo mwisho ni kwa ajili/inasimamia nini?😂Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , kwanza asante sana, japo Ijumaa Kuu ni siku ya huzuni kwa sisi Wakristo Wakatoliki, lakini kuianza siku kwa maneno mazuri haya you have made my day!. Thanks.
Ila mimi niliwahi kupigwa mara moja by mistakes,, ban hiyo inaniuma mpaka kesho!.
Enzi hizo Chadema wametamalaki humu JF na kujiona kama jf ni mali yao.
Mwana JF Mkuu Molemo akapandisha utumbo fulani humu JF ya enzi zile za Chadema na mautumbo yao.
Akaibuka mwanajf fulani na kumtaja Molemo ni nani, na kulitaja jina lake halisi na cheo chake halisi pale Ufipa!, kumbe ni mtu very senior pale Chadema!.
Mimi nikachangia kwa kum quotes huyo member na ku comment kama ni kweli huyo aliyetajwa kuwa ndiye Molemo, nikashauri kwa mtu senior wa kiwango hicho sio busara kuleta utumbo wa hivyo humu!. Nikashauri matumizi ya pen names ni just a privilege to maintain anonymity for freedom of expression, watu humu wasiitumie vibaya privilege hiyo vibaya kwa kuleta humu kila utumbo kwasababu tuu ya pen names!.
Mkuu Molemo akanishitaki kwa mode kuwa ni mimi ndiye ni nimemtaja yeye ni nani hivyo ku breech name calling, nikapigwa ban.
Nilikasirika sana kwasababu Molemo alimshitaki a wrong person. Halafu yule aliyefanya name calling ya Molemo ni nani, hakufanywa kitu!.
Nililalamika kunakohusika ban zinaondolewa mkosaji akaadhibiwa thread ile ikafutwa jumla. That was it. Hivyo mimi sistahili kuingia kwa ambao hawajala ban
B.
HahahSijawahi pigwa ban. JF wanipe tuzo. .
Shukrani KakaPole sana aisee
Chawa wa nani mkuu? Kama kuna mtu ni chawa wangu nimjue mapemaDalili zote za uchawa naziona katika huu uzi
Umemsahau Rick boyGood Friday Kareem.
Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate.
Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au umkashifu kwa kashfa yoyote ile, atakuangalia, atakuelimisha, na akikuona ni kichwa ngumu atapita zake kando akuache na keyboard ⌨ yako.
Mzee huyu hajawahi kupewa adhabu yoyote, ila muda wote amekuwa akipokea zawadi za kuwa member bora zaidi hapa jukwaani.
Skylar, huyu ni mdada mwenye kichwa chake matata sana. Sio under dog ila ni underground member ambaye amekuwa akijificha kwenye majukwaa rahisi, na inapombidi huwa anaingia kwenye majukwaa magumu na kutema madini adhimu. Skylar hajawahi kuchezea ban.
Pascal Mayalla a.k.a MWANASHERIA msomi, mchambuzi wa kisiasa na mshauri na muonyesha njia wa taifa hili, bro wangu huyu ni miongoni mwa members wanaosakamwa na wakati mwingine kutukanwa matusi makubwa kabisa, lakini ana uvumilivu wa hali ya juu sana. Hekima anayoipata kutoka kwa yohana Mtebezi imemfanya awe very calm muda wote. Huyu braza ana ban moja
Mshana Jr, huyu ni member maarufu kuliko member mwingine yeyote, na pia amekuwa kioo kwa wengi hapa jukwaani. Tangu amejiunga, hajachezea mkasi wa ban.
Gwappo Mwakatobe, amekuwa mchangiaji wa muda mrefu na hajawahi kupatwa na hayo makitu.
Sky Eclat , mwanamama mwenye upeo wake, muhabarishaji ,muelimishaji na mchangamshajo. Kwake ban NO.
Wengine ni Nazjaz, Jemima Mrembo , Chakorii, ndyoko, Kipaji Halisi, Madame B na wengine wengi.
FaizaFoxy yeye kachezea sana ban enzi zile, na mwenzake Malaria Sugu alipigwa life ban.
Maisha ni mazuri sana aisee
Pascal unalianzisha tena, tangu lini Ijumaa Kuu ikawa siku ya huzuni kwa wakristu Wakatoliki na isiwe hivyo kwa wakristu wengine! Yesu hakuwahi kuwa na udugu na Wakatoliki alikuwa ni mkristu tu.Good Friday Kareem.
Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate.
Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au umkashifu kwa kashfa yoyote ile, atakuangalia, atakuelimisha, na akikuona ni kichwa ngumu atapita zake kando akuache na keyboard ⌨ yako.
Mzee huyu hajawahi kupewa adhabu yoyote, ila muda wote amekuwa akipokea zawadi za kuwa member bora zaidi hapa jukwaani.
Skylar, huyu ni mdada mwenye kichwa chake matata sana. Sio under dog ila ni underground member ambaye amekuwa akijificha kwenye majukwaa rahisi, na inapombidi huwa anaingia kwenye majukwaa magumu na kutema madini adhimu. Skylar hajawahi kuchezea ban.
Pascal Mayalla a.k.a MWANASHERIA msomi, mchambuzi wa kisiasa na mshauri na muonyesha njia wa taifa hili, bro wangu huyu ni miongoni mwa members wanaosakamwa na wakati mwingine kutukanwa matusi makubwa kabisa, lakini ana uvumilivu wa hali ya juu sana. Hekima anayoipata kutoka kwa yohana Mtebezi imemfanya awe very calm muda wote. Huyu braza ana ban moja
Mshana Jr, huyu ni member maarufu kuliko member mwingine yeyote, na pia amekuwa kioo kwa wengi hapa jukwaani. Tangu amejiunga, hajachezea mkasi wa ban.
Gwappo Mwakatobe, amekuwa mchangiaji wa muda mrefu na hajawahi kupatwa na hayo makitu.
Sky Eclat , mwanamama mwenye upeo wake, muhabarishaji ,muelimishaji na mchangamshajo. Kwake ban NO.
Wengine ni Nazjaz, Jemima Mrembo , Chakorii, ndyoko, Kipaji Halisi, Madame B na wengine wengi.
FaizaFoxy yeye kachezea sana ban enzi zile, na mwenzake Malaria Sugu alipigwa life ban.
Maisha ni mazuri sana aisee
Dah, nilikusahau Malafyale , afadhali u.enikumbusha kaka Lucas philipoKama hii list ya watu ambao hawajawahi kupigwa ban jina langu halipo basi list hii itakuwa biased, unfair.
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume re-check your list brother.
Just kidding but kudos kwao!
@Mshana Jr amewahi kupigwa ban japo sijui kaa ilikuwa halali yake. Namheshimu sanaGood Friday Kareem.
Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate.
Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au umkashifu kwa kashfa yoyote ile, atakuangalia, atakuelimisha, na akikuona ni kichwa ngumu atapita zake kando akuache na keyboard [emoji987] yako.
Mzee huyu hajawahi kupewa adhabu yoyote, ila muda wote amekuwa akipokea zawadi za kuwa member bora zaidi hapa jukwaani.
Skylar, huyu ni mdada mwenye kichwa chake matata sana. Sio under dog ila ni underground member ambaye amekuwa akijificha kwenye majukwaa rahisi, na inapombidi huwa anaingia kwenye majukwaa magumu na kutema madini adhimu. Skylar hajawahi kuchezea ban.
Pascal Mayalla a.k.a MWANASHERIA msomi, mchambuzi wa kisiasa na mshauri na muonyesha njia wa taifa hili, bro wangu huyu ni miongoni mwa members wanaosakamwa na wakati mwingine kutukanwa matusi makubwa kabisa, lakini ana uvumilivu wa hali ya juu sana. Hekima anayoipata kutoka kwa yohana Mtebezi imemfanya awe very calm muda wote. Huyu braza ana ban moja
Mshana Jr, huyu ni member maarufu kuliko member mwingine yeyote, na pia amekuwa kioo kwa wengi hapa jukwaani. Tangu amejiunga, hajachezea mkasi wa ban.
Gwappo Mwakatobe, amekuwa mchangiaji wa muda mrefu na hajawahi kupatwa na hayo makitu.
Sky Eclat , mwanamama mwenye upeo wake, muhabarishaji ,muelimishaji na mchangamshajo. Kwake ban NO.
Wengine ni Nazjaz, Jemima Mrembo , Chakorii, ndyoko, Kipaji Halisi, Madame B na wengine wengi.
FaizaFoxy yeye kachezea sana ban enzi zile, na mwenzake Malaria Sugu alipigwa life ban.
Maisha ni mazuri sana aisee