Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ban nyingi hutoka kijinga tu,Kuna fala aliniripoti nikala ban kisa kumuuliza 'wewe siyo Fulani!?..sikusema yeye ni Fulani,aliniripoti nikala ban,nadhani yeye ni miongoni mwa watoa ban,maana ana miaka zaidi ya 7 humu anatoa nyuzi dailyJitag mwana
Kanzu na talawanda mavazi ya yesuKwaresma ndiyo uvae kanzu,talawanda na kudai futari?😂
Mbona hujanitaja au kuna siku umeona nikila banGood Friday Kareem.
Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate.
Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au umkashifu kwa kashfa yoyote ile, atakuangalia, atakuelimisha, na akikuona ni kichwa ngumu atapita zake kando akuache na keyboard ⌨ yako.
Mzee huyu hajawahi kupewa adhabu yoyote, ila muda wote amekuwa akipokea zawadi za kuwa member bora zaidi hapa jukwaani.
Skylar, huyu ni mdada mwenye kichwa chake matata sana. Sio under dog ila ni underground member ambaye amekuwa akijificha kwenye majukwaa rahisi, na inapombidi huwa anaingia kwenye majukwaa magumu na kutema madini adhimu. Skylar hajawahi kuchezea ban.
Pascal Mayalla a.k.a MWANASHERIA msomi, mchambuzi wa kisiasa na mshauri na muonyesha njia wa taifa hili, bro wangu huyu ni miongoni mwa members wanaosakamwa na wakati mwingine kutukanwa matusi makubwa kabisa, lakini ana uvumilivu wa hali ya juu sana. Hekima anayoipata kutoka kwa yohana Mtebezi imemfanya awe very calm muda wote. Huyu braza ana ban moja
Mshana Jr, huyu ni member maarufu kuliko member mwingine yeyote, na pia amekuwa kioo kwa wengi hapa jukwaani. Tangu amejiunga, hajachezea mkasi wa ban.
Gwappo Mwakatobe, amekuwa mchangiaji wa muda mrefu na hajawahi kupatwa na hayo makitu.
Sky Eclat , mwanamama mwenye upeo wake, muhabarishaji ,muelimishaji na mchangamshajo. Kwake ban NO.
Wengine ni Nazjaz, Jemima Mrembo , Chakorii, ndyoko, Kipaji Halisi, Madame B na wengine wengi.
FaizaFoxy yeye kachezea sana ban enzi zile, na mwenzake Malaria Sugu alipigwa life ban.
Maisha ni mazuri sana aisee
Name calling kwa sherianza JF ni banBan nyingi hutoka kijinga tu,Kuna fala aliniripoti nikala ban kisa kumuuliza 'wewe siyo Fulani!?..sikusema yeye ni Fulani,aliniripoti nikala ban,nadhani yeye ni miongoni mwa watoa ban,maana ana miaka zaidi ya 7 humu anatoa nyuzi daily
Niliuliza sikusema yeye ni Fulani,alitakiwa kusema hapana Mimi siyeName calling kwa sherianza JF ni ban
Tayari ilikuwa ni kufichua usiri wa mtu. Ulistahili banNiliuliza sikusema yeye ni Fulani,alitakiwa kusema hapana Mimi siye
Umetisha19 December 2016, mpaka leo sijawahi kujua hata bani inafananaje.
Kiufupi sijawahi kumtusi, kejeli ama kumdhihaki mtu yeyote humu iwe mdogo ama mkubwa.
Nawasilisha.
Ulikutana naye wapi akiwa katupia hayo mavazi?Kanzu na talawanda mavazi ya yesu
Mavazi ya mashariki ya katiUlikutana naye wapi akiwa katupia hayo mavazi?
Umeelezea vizuri, ukweli hakuweka huruKweli mkuu hakika ni mfano wakuigwa.
Pongezi sana kwako19 December 2016, mpaka leo sijawahi kujua hata bani inafananaje.
Kiufupi sijawahi kumtusi, kejeli ama kumdhihaki mtu yeyote humu iwe mdogo ama mkubwa.
Nawasilisha.