Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Pamoja na kuwa verefeidi yuza waliwahi nipiga ban.🥹🥹🥹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....asingeweza kuwakumbuka wote, hongereni wote kwakweli, kwa kero za humu, kuepuka ban sio swala dogo......Mimi SIJAWAHI KUPIGWA BAN MBONA HUJANITAJA?
Asante sanaShukrani mkuu, karibu tusherekee pasaka
Jamani ehhh, jukwaaa zima sikieni hukuuuuu Kashishi yetu hajawahi kupigwa banMimi SIJAWAHI KUPIGWA BAN MBONA HUJANITAJA?
Asante kwa masahihisho na marekesho. Dah, alikukera sana aisee, huwa nakuona wewe una kiwango cha juu sana cha uvumilivu. AsanteMkuu Bujibuji Simba Nyamaume , kwanza asante sana, japo Ijumaa Kuu ni siku ya huzuni kwa sisi Wakristo Wakatoliki, lakini kuianza siku kwa maneno mazuri haya you have made my day!. Thanks.
Ila mimi niliwahi kupigwa mara moja by mistakes,, ban hiyo inaniuma mpaka kesho!.
Enzi hizo Chadema wametamalaki humu JF na kujiona kama jf ni mali yao.
Mwana JF Mkuu Molemo akapandisha utumbo fulani humu JF ya enzi zile za Chadema na mautumbo yao.
Akaibuka mwanajf fulani na kumtaja Molemo ni nani, na kulitaja jina lake halisi na cheo chake halisi pale Ufipa!, kumbe ni mtu very senior pale Chadema!.
Mimi nikachangia kwa kum quotes huyo member na ku comment kama ni kweli huyo aliyetajwa kuwa ndiye Molemo, nikashauri kwa mtu senior wa kiwango hicho sio busara kuleta utumbo wa hivyo humu!. Nikashauri matumizi ya pen names ni just a privilege to maintain anonymity for freedom of expression, watu humu wasiitumie vibaya privilege hiyo vibaya kwa kuleta humu kila utumbo kwasababu tuu ya pen names!.
Mkuu Molemo akanishitaki kwa mode kuwa ni mimi ndiye ni nimemtaja yeye ni nani hivyo ku breech name calling, nikapigwa ban.
Nilikasirika sana kwasababu Molemo alimshitaki a wrong person. Halafu yule aliyefanya name calling ya Molemo ni nani, hakufanywa kitu!.
Nililalamika kunakohusika ban zinaondolewa mkosaji akaadhibiwa thread ile ikafutwa jumla. That was it. Hivyo mimi sistahili kuingia kwa ambao hawajala ban
B.
Hata kikwetu piaMyangu kikwetu ni mwenzangu
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , kwanza asante sana, japo Ijumaa Kuu ni siku ya huzuni kwa sisi Wakristo Wakatoliki, lakini kuianza siku kwa maneno mazuri haya you have made my day!. Thanks.
Ila mimi niliwahi kupigwa mara moja by mistakes,, ban hiyo inaniuma mpaka kesho!.
Enzi hizo Chadema wametamalaki humu JF na kujiona kama jf ni mali yao.
Mwana JF Mkuu Molemo akapandisha utumbo fulani humu JF ya enzi zile za Chadema na mautumbo yao.
Akaibuka mwanajf fulani na kumtaja Molemo ni nani, na kulitaja jina lake halisi na cheo chake halisi pale Ufipa!, kumbe ni mtu very senior pale Chadema!.
Mimi nikachangia kwa kum quotes huyo member na ku comment kama ni kweli huyo aliyetajwa kuwa ndiye Molemo, nikashauri kwa mtu senior wa kiwango hicho sio busara kuleta utumbo wa hivyo humu!. Nikashauri matumizi ya pen names ni just a privilege to maintain anonymity for freedom of expression, watu humu wasiitumie vibaya privilege hiyo vibaya kwa kuleta humu kila utumbo kwasababu tuu ya pen names!.
Mkuu Molemo akanishitaki kwa mode kuwa ni mimi ndiye ni nimemtaja yeye ni nani hivyo ku breech name calling, nikapigwa ban.
Nilikasirika sana kwasababu Molemo alimshitaki a wrong person. Halafu yule aliyefanya name calling ya Molemo ni nani, hakufanywa kitu!.
Nililalamika kunakohusika ban zinaondolewa mkosaji akaadhibiwa thread ile ikafutwa jumla. That was it. Hivyo mimi sistahili kuingia kwa ambao hawajala ban
B.
Pamoja na kuwa verefeidi yuza waliwahi nipiga ban.🥹🥹🥹
😆😆😆 nitakuletea umfuge
Atakuwa ananisuuuuuuuta😆😆😆 nitakuletea umfuge
Naamini sikuwa mbali na alinielewa.It's high time now,nawe jiite "nyamtutu"!😂Myangu kikwetu ni mwenzangu
Humu kuna watu na binadamu.Mimi pia sina bani hata moja, mbona hujanisema?
Mahnumbu kwa mbowoto?Au mbowoto haifai sababu ni zao la mnyama?Manhumbu Breakfast takatifu ya Ijumaa TakatifuView attachment 2579304
Pole sana aiseeNimeshachezea Ban ambayo haikua na maana yoyote nikairipoti ikawa lifted with immediate effect