Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wazee wako?kwani uongo??kama wazee wako unao ambao walipigana na mjerumani wataje hapa tuwajue
Kila kitu mnakiangalia kwenye miwani ya udini.Hopeless kbs!Wewe si uwataje wengine wa hiyo dini isiyopigiwa promo?
Hakwenda kuhiji mkwawaUMESAHAU KUWEKA JINA HAPO MBELE LA ALHAJJ CHIFU MKWAWA,MPE HESHIMA YAKE
sasa unakasirika nini??ndiyo wapigania uhuru wenyewe haoKila kitu mnakiangalia kwenye miwani ya udini.Hopeless kbs!
KILA MZEE MUISLAM NI MZEE WANGU,NITAJIE WEWE WAZEE WAKO WALIOPIGANA NA WAKOLONI KAMA HAO KINA MKWAWAHao ni wazee wako?
Wewe ndio uliyeangalia kwa miwani ya udini na ukaja na comment kwamba kuna dini inapigiwa promo unapojibiwa unajifanya"saint" wakati udini umeuleta mwenyewe. Poor soul.Kila kitu mnakiangalia kwenye miwani ya udini.Hopeless kbs!
Huyo hakuwa muislam🤣🤣Mbona hujamtaja kinjekitile ngwalee mzee wa maji maji?
Jifunze historia wacha kukurupuka na kusikiliza stori za vijiweni.Field Marshall John Okello.Bila huyu Mwamba Zanzibar wala urojo hadi kesho ingekuwa inatawaliwa na Waarabu wa Oman.
KAMA KUWAKUMBUKA WAZEE WETU KAMA MKWAWA NI UDINI BASI WACHA TUWAKUMBUKE TUHUdini kama kawaida yako
Bila Mgalatia Okello Zanzibar mngekuwa mnaongea kiarabu.Sifunze historia wacha kukurupuka na kusikiliza stori za vijiweni.
Uza hapo Bondeni Arusha hujui historia unajua stori za kwenye mbege.Bila Mgalatia Okello Zanzibar mngekuwa mnaongea kiarabu.
Tulia kijana bila Okello Zanzibar ingekuwa koloni la Oman.Uza hapo Bondeni Arusha hujui historia unajua stori za kwenye mbege.
Hao wazee wako waliodanganya watu wajipake madawa risasi hazitawaingia ndo unajivunia.watu walioshindwa vita kwa kuamini ushirikina?Mimi mzee wangu ni Julius Nyerere kiboko ya waswahiliKILA MZEE MUISLAM NI MZEE WANGU,NITAJIE WEWE WAZEE WAKO WALIOPIGANA NA WAKOLONI KAMA HAO KINA MKWAWA
Hao wazee wako waliodanganya watu wajipake madawa risasi hazitawaingia ndo unajivunia.watu walioshindwa vita kwa kuamini ushirikina?Mimi mzee wangu ni Julius Nyerere kiboko ya waswahiliKILA MZEE MUISLAM NI MZEE WANGU,NITAJIE WEWE WAZEE WAKO WALIOPIGANA NA WAKOLONI KAMA HAO KINA MKWAWA
Hao wazee wako waliodanganya watu wajipake madawa risasi hazitawaingia ndo unajivunia.watu walioshindwa vita kwa kuamini ushirikina?Mimi mzee wangu ni Julius Nyerere kiboko ya waswahili
Ngoja na mimi nibakie na Mtakatifu NyerereBAKIA NA WAZEE WAKO,NA MIMI NABAKIA NA WAZEE WANGU HAWA KINA ALISONGEA MBANO,ABDUL HAMID MFARANYAKI.NA KADHALIKA