Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Zamani sheria za mpira ziliwataka wachezaji wa mpira wa miguu wawapo uwanjani basi hawana budi kuwa wamechomekea jezi zao ndani ya bukta zao. Ika baadae FIFA wakaja wakaifuta sheria ile.
Bado kuna wachezaji wachache wamesalia na mtindo huo wa kuchomekea jezi muda wote wa mchezo. Hebu leo tuwakumbuke wanandinga hao.
Mimi naanza na hawa wafuatao:
1. Simon Francis wa Bournemouth
2. Scott Parker
Bado kuna wachezaji wachache wamesalia na mtindo huo wa kuchomekea jezi muda wote wa mchezo. Hebu leo tuwakumbuke wanandinga hao.
Mimi naanza na hawa wafuatao:
1. Simon Francis wa Bournemouth
2. Scott Parker