Pre GE2025 Tuwakumbushe: Mch. Gwajima ulitoa ahadi. Je, greda jembe kati lipo wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nimeshachukuwa passport ñasubili kukwea pipa Tu Mheshimiwa atupeleke USA.

Kuna Jamaa zangu nao wanasubili boti za uvuvi kutoka Japan kama walivyoahidiwa.
Askofu anaposimama hadharani kusema uongo anaiabisha kazi njema ya Mungu.

Gwajima akitubu atafika Mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…