kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Oct 19, 2024 #1 Tuweke kumbukumbu sawa yanga ashapigwa na simba 1.6-0 2.5-0 3.4-1 4.3-1 5.2-0 6.1-0 Yanga washakimbia kabla ya mechi mara mbili na moja kipindi cha pili wakaingia mitini hizi ni rekodi za simba kuinyanyasa yanga Uto tunaitaka rekodi kama hii tuione!
Tuweke kumbukumbu sawa yanga ashapigwa na simba 1.6-0 2.5-0 3.4-1 4.3-1 5.2-0 6.1-0 Yanga washakimbia kabla ya mechi mara mbili na moja kipindi cha pili wakaingia mitini hizi ni rekodi za simba kuinyanyasa yanga Uto tunaitaka rekodi kama hii tuione!
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Oct 19, 2024 Thread starter #2 Utopolo leteni rekodi zenu tuone!
Ms R JF-Expert Member Joined Jan 19, 2023 Posts 8,853 Reaction score 19,587 Oct 19, 2024 #3 tutakuja saa mbili, mapema mno saa hizi.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 19, 2024 #4 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Oct 19, 2024 Thread starter #5 Smart911 said: Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw Click to expand... Karibu sana usichoke kufuatilia taarifa zetu.......... ..!
Smart911 said: Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw Click to expand... Karibu sana usichoke kufuatilia taarifa zetu.......... ..!
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Oct 19, 2024 #6 Wewe huna tofauti na mfa maji! Ni mwendo wa kutapatapa tu.
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Oct 19, 2024 Thread starter #7 Tate Mkuu said: Wewe huna tofauti na mfa maji! Ni mwendo wa kutapatapa tu. Click to expand... Alaah saa moja kasoro uje hapa!
Tate Mkuu said: Wewe huna tofauti na mfa maji! Ni mwendo wa kutapatapa tu. Click to expand... Alaah saa moja kasoro uje hapa!