Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Dk ya 87. Hly wamerudi nyuma. TPM bado haina madhara.
 
Dk ya 90. Fujo kidogo uwanjani. Mchezaji wa TPM amefanya faul Al hly wakaja juu. Refa katuliza presha, kadi za njano zimetoka kwa mchezaji wa Al hly na TPM.
 
Huu uzi mbona si uelewi elewi mara update mara Azam
 
KIBOKO YA UTOPOLO ANAPITIA MATESO HUKO

JKT🐸🐸😂😂🔥🔥🔥
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
DK 12 zimeongezwa. Mbili zimeshatumika.
 
Tp Mazembe walitangulia kupata goli VAR imelikataa goli lao halali kabisa. Wanasema kuna mchezaji kaushika mpira wakati hakuna kitu kama hicho
Too bad. Ila hata likihesabiwa matokeo bado hayawabebi.
 
Huu uzi mbona si uelewi elewi mara update mara Azam
Mtoa mada alikuwa na mawenge yake

Afu kwani tuongee mara ngapi kuhusiana na tatizo la mashabiki wa Yanga?

Si unajua Tena ukishakuwa shabiki wa Yanga vitu kama hivi vya kukengeuka ni kawaida.

Kutokana na kwamba sisi tunawajua tunajiongeza tu, hatupati shida nao ndio maana unaona Uzi unatembea Kwa live updates.

Tsh Dakika ya ngapi huko? Vurugu zimeisha au bado Kuna sintofahamu?
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Huu uzi mbona si uelewi elewi mara update mara Azam
Ni mechi ya AHL na TPM. Mpaka sasa ni AHLY wanaongoza 2 kwa sifuri, Dk 90 zimeisha zikaongezwa dk 12, saba zishatumika.
 
Mtoa mada alikuwa na mawenge yake

Afu kwani tuongee mara ngapi kuhusiana na tatizo la mashabiki wa Yanga?

Si unajua Tena ukishakuwa shabiki wa Yanga vitu kama hivi vya kukengeuka ni kawaida.

Kutokana na kwamba sisi tunawajua tunajiongeza tu, hatupati shida nao ndio maana unaona Uzi unatembea Kwa live updates.

Tsh Dakika ya ngapi huko? Vurugu zimeisha au bado Kuna sintofahamu?
Dk 8 zinaondoka kati ya zile 12 za nyongeza.
 
Too bad. Ila hata likihesabiwa matokeo bado hayawabebi.
Usichukulie matokeo haya ya Al Ahly kutangulia, embu fikiria lile goli lingekubalika Tp Mazembe wangecheza kwa mbinu tofauti kwasababu ana advantage ya goli la ugenini, angeshikilia bomba haswa. Kukataliwa kwa goli kumeifanya Tp Mazembe wachezaji kwa mbinu ile ile waliokuwa wanacheza kabla ya kupata goli. Lile goli lingekubalika Al Ahly angeaga
 
Wapo waliosema Al Ahly akifika hizi hatua anabadilika, watu hapo walidharaulika ila sasa nadhani tumeanza kuwaelewa
Mimi ndio nilisema, mkasema hawa mshakutana nao sana mnawajuwa, nikawatahadharisha Al Ahaly wakishafika knock out stage wanabadirika complitely.

Ndio ile aggregate ya 3 bila mlioiona, hizo ndio zao.
 
Usichukulie matokeo haya ya Al Ahly kutangulia, embu fikiria lile goli lingekubalika Tp Mazembe wangecheza kwa mbinu tofauti kwasababu ana advantage ya goli la ugenini, angeshikilia bomba haswa. Kukataliwa kwa goli kumeifanya Tp Mazembe wachezaji kwa mbinu ile ile waliokuwa wanacheza kabla ya kupata goli. Lile goli lingekubalika Al Ahly angeaga
Unaweza kuwa sawa mkuu. Ila goli lilishakataliwa haina maana kulililia, bado dakika 2 mpira uishe
 
Usichukulie matokeo haya ya Al Ahly kutangulia, embu fikiria lile goli lingekubalika Tp Mazembe wangecheza kwa mbinu tofauti kwasababu ana advantage ya goli la ugenini, angeshikilia bomba haswa. Kukataliwa kwa goli kumeifanya Tp Mazembe wachezaji kwa mbinu ile ile waliokuwa wanacheza kabla ya kupata goli. Lile goli lingekubalika Al Ahly angeaga
Makao makuu ya CAF yapo Cairo, ilo lazima ulielewe.

Hawa kama waliweza kuwafanya Waisrael watumwa usiwachukulie powa.
 
Back
Top Bottom