Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Bado dk 1Mechi ndio ishaisha hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado dk 1Mechi ndio ishaisha hivyo
Upande wa pili huku shughuli imeambatana na mvua masheikh wanakula wima.Bado dk 1
Hawa Waarabu ni wa kuwapangia mkakati hata hatua za makundi wasiguse.Goool la tatu
Bora Simba hatukufungwa 3 awayGoool la tatu
Hahahaha. Shida ya Mame naye akishapakiwa basi anakosa namna.Upande wa pili huku shughuli imeambatana na mvua masheikh wanakula wima.
Mamelodi kakutana na kichaa mwenzake yani pale pale ambapo Yanga alipaki Yutong ndio hapo hapo Es Tunis alipokuja kumuadhibu.
Utajifunza nini ukimkuta Ahmed Ally anaizungumzia Simba utajuwa ni Real Madrid kumbe magoli unayategemea wafunge Saido na Kibu Denis.Al hly wana mahesabu hawa jamaa. Tuna mengi ya kujifunza kwao.
Muarabu yule ni half mzunguAl hly wana mahesabu hawa jamaa. Tuna mengi ya kujifunza kwao.
FT. ALH 3-0 TPMBora Simba hatukufungwa 3 away
Na hilo Moja ilikuwa ni penalty
Na Tp Mazembe nao watasema bora sisi nyumbani kwetu hatukuwa wanyongeBora Simba hatukufungwa 3 away
Na hilo Moja ilikuwa ni penalty
Sheikh ile ndio kazi yakeUtajifunza nini ukimkuta Ahmed Ally anaizungumzia Simba utajuwa ni Real Madrid kumbe magoli unayategemea wafunge Saido na Kibu Denis.
Hivi ni kweli Mzize timu ya England inamtaka?Muarabu yule ni half mzungu
Wana mpira wa kwenye vitabu sio kanyaga twende kama kina Mzize na Saido
TP ni bora mara 100 wametolewa semi final, tena timu imetoka kwenye mapito, bado haijawa TP yenyewe ila ya kina Tressou Mputu.Bora Simba hatukufungwa 3 away
Na hilo Moja ilikuwa ni penalty
AU Guede.Utajifunza nini ukimkuta Ahmed Ally anaizungumzia Simba utajuwa ni Real Madrid kumbe magoli unayategemea wafunge Saido na Kibu Denis.
Sisi tutasema beki zilichomesha Kwa hiyo credit za ubora huwezi kupeleka upande wa Al AhlyNa Tp Mazembe nao watasema bora sisi nyumbani kwetu hatukuwa wanyonge
Naunga mkono hoja.Sisi tutasema beki zilichomesha Kwa hiyo credit za ubora huwezi kupeleka upande wa Al Ahly
Sawa sawa chambuziTP ni bora mara 100 wametolewa semi final, tena timu imetoka kwenye mapito, bado haijawa TP yenyewe ila ya kina Tressou Mputu.
Ukifika England ukashuhudia zile Academy pale huwezi kuambiwa huu upuuzi.Hivi ni kweli Mzize timu ya England inamtaka?
Yap naskia timu za England Zina uhaba sana wa wapishi.Hivi ni kweli Mzize timu ya England inamtaka?