Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Upande wa pili huku shughuli imeambatana na mvua masheikh wanakula wima.
View attachment 2974947
Mamelodi kakutana na kichaa mwenzake yani pale pale ambapo Yanga alipaki Yutong ndio hapo hapo Es Tunis alipokuja kumuadhibu.
Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshinda
 

Attachments

  • IMG_20240427_001023.jpg
    IMG_20240427_001023.jpg
    238 KB · Views: 2
Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshinda
Sasa wenzako walipaki basi wakiwa na advantage ya goli Moja away.

Wewe ulipaki basi Kwa advantage ipi?
 
Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshinda
AZizi naye aeleweshwe kistaarabu tu asigongeshe miamba mechi muhimu.
 
Mlipoamuwa kuwaingiza kwenye uongozi watu wa ccm mlitegemea nini?

Ccm na maendeleo wapi na wapi?
Wote tunatambua sio Mimi Wala wewe mwenye nguvu ya kuwaweka viongozi wa Club wenye mtizamo unaopingana na CCM

Labda kama unataka tuzungumze unafki ndio tutasema Yanga Haina viongozi wenye common interests na CCM
 
Wakuu
Mimi nikiwa kama mwananchi kindakindaki kabisa

Nakiri binafsi na naomba tuwaombee watani zetu hawa mbumbumbu wajitahidi hata waishie nafasi ya pili ili sisi na wao tucheze huko CAF kuliko azam.

Hawa azam hawatabiriki kimataifa zaidi wataenda kufanya tu point zetu zikwame tu

Kama msimu ule walipotolewa na kitimu kidogo cha Libya..

Angalau basi hawa ndugu zetu mwakarobo wao wamezoea kidogo Wataishia hata makundi safari hii au kubabatiza robo, wakati yanga ataenda nusu au final kabisa.

I UNDERSTAND..
Kwamba kanuni za CAF zimebadilika baada ya mashindano ya CAF confederation kufutwa kwamba itakuwa

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE. ⛏️watashiriki simba na yanga wote .
Hii ni kutokana na kuongezwa team mpaka 24..

CAF CHAMPION LEAGUE
hapa napo kumebadilika kidogo
⛏️ Bingwa wa ligi kuu
⛏️nafasi ya pili.

⛏️Pia kama bingwa wa ligi ambaye ni yanga akichukua na FA basi ataenda yanga na yule wa pili .

Na kama yanga akichukua ligi tu halafu FA [crdb] akachukua mwengine .
Basi ataenda yanga na bingwa wa crdb fa cup..!

Ingawa simba watacheza AFL pasipo kuangalia nafasi ya kwenye ligi yao maana hata huko south Africa kaizer chief atashiriki.

Na huko no problem kwamba simba watatolewa mapema sana
Hivyo nafasi yao ni huko CCL..


Tuwaombee hawa mbumbumbu wajameni ..

Nakaribisha criticism
Its Pancho
Sasa hapa ni swala la kuwaombea au wapambane? Inabidi wenyewe Simba wacheze vizuri ili waweze kufuzu na sio maombi
 
Beki za Al Ahly ndio zilichomesha?
Sijui nikuulize wewe unayesema credit wasipewe Al Ahly kwavile beki zilichomesha.
Hizo beki zilijishambulia?
Hizo beki ni wa timu yako mwenyewe.
 
Wanataka penalty halafu miguu mibovu aa hiyo ndio nini?
Kabisa na ndio maana hatukutaka kumfunga Mashujaa aliyekuwa pungufu ili tukamfungie kwenye penati. Hakika miguu mibovu ni janga kubwa sana kwa wachezaji wa Simba hadi Mashujaa!
 
Sijui nikuulize wewe unayesema credit wasipewe Al Ahly kwavile beki zilichomesha.
Hizo beki zilijishambulia?
Hizo beki ni wa timu yako mwenyewe.
Kwani beki za timu Yako haziwezi kufanya makosa ya kizembe?

Beki ikimpasia mshambuliaji wa timu pinzani katikati ya box na huyo mpinzani akafunga goli.

Kwa maelezo gani yanayoweza kufaa kuelezea tukio hilo pasipo kutaja neno uzembe?
 
Kabisa na ndio maana hatukutaka kumfunga Mashujaa aliyekuwa pungufu ili tukamfungie kwenye penati. Hakika miguu mibovu ni janga kubwa sana kwa wachezaji wa Simba hadi Mashujaa!
Simba ilipaki basi mechi na Mashujaa?
 
Nlikua nawashabikia Mazembe walivyo anza kupoteza mda kijinga nikahamia Al Ahly
 
Mtoa mada alikuwa na mawenge yake

Afu kwani tuongee mara ngapi kuhusiana na tatizo la mashabiki wa Yanga?

Si unajua Tena ukishakuwa shabiki wa Yanga vitu kama hivi vya kukengeuka ni kawaida.

Kutokana na kwamba sisi tunawajua tunajiongeza tu, hatupati shida nao ndio maana unaona Uzi unatembea Kwa live updates.

Tsh Dakika ya ngapi huko? Vurugu zimeisha au bado Kuna sintofahamu?
Pokea maelekezo wewe kolo
Point iko pale pale
 
Back
Top Bottom