Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Tuwaombee simba wacheze CAF's competition kuliko Azam

Ndio ukweli wenyewe bora hata simba wakacheze
Yaani yanga na wao simba

Kule kunahitaji experience sana na figisu azam bado wale
Kwa io hata akichukua ubingwa wa NBC premier league asiende? Nini maana na kugombania nafasi ya kwanza au ya pili? Ni kupata privileges ya kushiriki michuano mikubwa Africa
 
Yanga hawakupaki yutong isipokuwa Mamelodi wana mpira wa kupiga pasi nyingi zisizo na faida. Angalia game zote mbili alizocheza Mamelodi dhidi ya Es Tunis ni zote mbili kaongoza kwa possession kw zaidi ya asilimia 60+ na unaweza sema Es Tunis alipaki yutong
Pasi zinaweza kuwa nyingi lakini isilete maana ya kupaki bus.

Kupaki bus ni kitendo cha timu kurudi nyuma kwenye eneo lake.

Mamelodi walikuwa wanavuka mstari wa kati wakiwa free bila kusumbuliwa kwasababu nyie wote mlikuwa eneo lenu mnawasubiri washambulie muokoe na kisha mpige counter attack.
 
Mkuu
Wakati walipokaa kikao juzi waliamua iwe kama agenda mojawapo kuwa itafutwa na ikawa ni breaking news

Lakini sasa wajumbe wamepinga na nadhani kikao kijacho ndio kitaamua wapi pasikilizwe .

Ila ni 50_50
Nikuulize swali mkuu, kwenye epl msimu huu Aston villa ana nafasi kubwa sana ya kumaliza nafasi ya nne itakayompa nafasi ya kucheza champions league baada ya muda mrefu sana, tukifata hizi taratibu zetu unaona itakua Haki apewe hiyo nafasi man UTD au Chelsea ambazo zipo chini yake kisa tu miaka ya nyuma zilikua na mafanikio na zina point nyingi?


Sasa ligi ikiianza, timu za chini zinajua kabisa hata nikimaliza nafasi ya kwanza, pili au tatu siwezi kushiriki michuano mikubwa ya kimataifa, unadhani watakua na hamasa Gani? Huku Kuna timu inasema hata nikishuka daraja kushiriki african football league ni uhakika..... Imekaaje Hio?
 
Elewa mkuu

Tunachomaanisha azam hata akienda basi ajipange sio asiende
Mpaka kufikia hatua ya kufuzu kwenda itakua hajajipanga? Mtu aki compete kwenye ligi akawa wa pili wewe ukawa na tatu nani kajipanga?
 
Nikuulize swali mkuu, kwenye epl msimu huu Aston villa ana nafasi kubwa sana ya kumaliza nafasi ya nne itakayompa nafasi ya kucheza champions league baada ya muda mrefu sana, tukifata hizi taratibu zetu unaona itakua Haki apewe hiyo nafasi man UTD au Chelsea ambazo zipo chini yake kisa tu miaka ya nyuma zilikua na mafanikio na zina point nyingi?


Sasa ligi ikiianza, timu za chini zinajua kabisa hata nikimaliza nafasi ya kwanza, pili au tatu siwezi kushiriki michuano mikubwa ya kimataifa, unadhani watakua na hamasa Gani? Huku Kuna timu inasema hata nikishuka daraja kushiriki african football league ni uhakika..... Imekaaje Hio?
Kwa kweli sio sawa kabisa
Na itakuwa inaua spirit sana

Mfano hizo kanuni hapo juu ina maana coastal na azam wanaweza wasiende kimataifa maana coastal ndio wa nne

Halafu sasa Tanzania si tunapeleka team 4? Sasa hapo kwa kanuni zao za kibwege hizo hapo ni simba na yanga tu basi

Mfano hiyo AFL kaizer chief atashiriki eti na anashika nafasi za chini huko ligi kuu why?
 
Mpaka kufikia hatua ya kufuzu kwenda itakua hajajipanga? Mtu aki compete kwenye ligi akawa wa pili wewe ukawa na tatu nani kajipanga?
Mimi nakupa ukweli wenyewe wala sio maneno

Simba walimaliza pia nafasi ya pili msimu uliopita angalia kimataifa waliishia robo

Azam na mwenzie biashara united ndiye aliyefanya hapa majuzi tukanyima nafasi ya kupeleka team 4 mpaka simba na yanga walivyokaza safari hii ndiyo tumepata tena

Alijipanga ndiyo lakini team zilimtoa mara mbili zote nj za hovyo kabisa wale waethiopia na walibya kweli?

Kujipanga kwenye ligi kuu sio sawa na CAF mkuu wetu
 
Kwa kweli sio sawa kabisa
Na itakuwa inaua spirit sana

Mfano hizo kanuni hapo juu ina maana coastal na azam wanaweza wasiende kimataifa maana coastal ndio wa nne

Halafu sasa Tanzania si tunapeleka team 4? Sasa hapo kwa kanuni zao za kibwege hizo hapo ni simba na yanga tu basi

Mfano hiyo AFL kaizer chief atashiriki eti na anashika nafasi za chini huko ligi kuu why?
Sidhani kama hii kitu inaweza pitishwa, niliona huku kuna mtu alileta kama official news akili yangu ikakataa nikaingia website ya CAF sikuona Hio habari, nikatafute kwenye official pages zao za social platform za maana zote sikuona pia, roho ikatulia maana nilianza kuhisi tushakua watu wa ovyo kwenye Kila kitu, hii kitu hata kichaa hawezi Kuona ni sawa
 
Sidhani kama hii kitu inaweza pitishwa, niliona huku kuna mtu alileta kama official news akili yangu ikakataa nikaingia website ya CAF sikuona Hio habari, nikatafute kwenye official pages zao za social platform za maana zote sikuona pia, roho ikatulia maana nilianza kuhisi tushakua watu wa ovyo kwenye Kila kitu, hii kitu hata kichaa hawezi Kuona ni sawa
Motsepe anafanya vitu kwa kuangalia team yake tu
Au nani alimshauri jambo hili?

Wao walisema CAFCC imepoteza mvuto na haileti faida
 
Mimi nakupa ukweli wenyewe wala sio maneno

Simba walimaliza pia nafasi ya pili msimu uliopita angalia kimataifa waliishia robo

Azam na mwenzie biashara united ndiye aliyefanya hapa majuzi tukanyima nafasi ya kupeleka team 4 mpaka simba na yanga walivyokaza safari hii ndiyo tumepata tena

Alijipanga ndiyo lakini team zilimtoa mara mbili zote nj za hovyo kabisa wale waethiopia na walibya kweli?

Kujipanga kwenye ligi kuu sio sawa na CAF mkuu wetu
Okay nimekuelewa, hypothetically(kwa mfano) tufanye sasa msimu ujao, mashujaa achukue kombe, coastal awe wa pili, jkt wa tatu, polisi Dodoma wa nne, Simba amalize wa 7, yanga amalize wa 10, utashauri Simba na Yanga ndo wawakilishe timu zetu kimataifa?
 
Motsepe anafanya vitu kwa kuangalia team yake tu
Au nani alimshauri jambo hili?

Wao walisema CAFCC imepoteza mvuto na haileti faida
Wanachotakiwa kujua ni kwamba wakifuta cafccl na wakaipa ufalme afl, CAF CL ndo inakuja kua cafccl mpya maana itakua na low tier teams, yaani ni kitu kile kile sema kanuni za kufuzu ndo zitakua za kibwege kweli
 
Okay nimekuelewa, hypothetically(kwa mfano) tufanye sasa msimu ujao, mashujaa achukue kombe, coastal awe wa pili, jkt wa tatu, polisi Dodoma wa nne, Simba amalize wa 7, yanga amalize wa 10, utashauri Simba na Yanga ndo wawakilishe timu zetu kimataifa?
Hapana
Kanuni lazima zitafuatwa
Lakini haiwezi kuzuia ukweli kuwa hao hawana exposure huko kimataifa ila wanatimiza wajibu wao tu kushiriki

Ndio yale yale ya biashara kugoma kwenda ugenini eti hawana nauli na wana mtaji wa goli 2 home...!
 
Wanachotakiwa kujua ni kwamba wakifuta cafccl na wakaipa ufalme afl, CAF CL ndo inakuja kua cafccl mpya maana itakua na low tier teams, yaani ni kitu kile kile sema kanuni za kufuzu ndo zitakua za kibwege kweli
Kwanini tu kusiwe na hizo competition zote tatu? Watapungukiwa nini?

Kuna motive gani na hii AFL?
 
Hapana
Kanuni lazima zitafuatwa
Lakini haiwezi kuzuia ukweli kuwa hao hawana exposure huko kimataifa ila wanatimiza wajibu wao tu kushiriki

Ndio yale yale ya biashara kugoma kwenda ugenini eti hawana nauli na wana mtaji wa goli 2 home...!
Mkuu, kanuni zipi sasa hizo, kanuni za kushiriki afl zinasema kinachoangaliwa ni point za caf, ambazo automatically Simba na Yanga zitakua juu kwa miaka hata mitano ijayo, ukifata kanuni Ina maana Simba ya 7 kwenye msimamo na Yanga ya 10 kwenye msimamo(hypothetically) ndo zitatuwakilisha kimataifa....... Itakua ni sahihi? Kwa club zilizoshika nafasi ya kwanza mpaka 6?
 
Kwanini tu kusiwe na hizo competition zote tatu? Watapungukiwa nini?

Kuna motive gani na hii AFL?
Atleast wafanya hivi au watoe Hio afl, mbona ulaya huu ujinga waliukataa kwa nguvu zote... Walitaka kuanzia European super league( ndo kama hii afl) maana ni elites teams za misimu iliyopita ndo zinashiriki, ila uzuri wenzetu Wana msimamo, timu ndogo zote zikakaa kikao wakaweka msimamo kua hizi timu kubwa wakianzisha michuano Yao mikubwa ya kuchaguana kutokana na historia za mafanikio za nyuma za club bila kujali misimamo ya ligi ya mwaka husika(haya haya ya afl) basi wao watajitoa kwenye ligi zote kuanzia timu ndogo za Spain, england, Italy, France, Germany walikubaliana hivi ili wawaache mpaka kwenye ligi wapambane wakubwa kwa wakubwa, ndo ikashindikana


Ni sawa na timu za NBC waweke msimamo kua CAF wakipitisha huu ujinga wote wasusie michuano ya ligi wawache simba na Yanga au na azam wacheze ligi Peke yao
 
Atleast wafanya hivi au watoe Hio afl, mbona ulaya huu ujinga waliukataa kwa nguvu zote... Walitaka kuanzia European super league( ndo kama hii afl) maana ni elites teams za misimu iliyopita ndo zinashiriki, ila uzuri wenzetu Wana msimamo, timu ndogo zote zikakaa kikao wakaweka msimamo kua hizi timu kubwa wakianzisha michuano Yao mikubwa ya kuchaguana kutokana na historia za mafanikio za nyuma za club bila kujali misimamo ya ligi ya mwaka husika(haya haya ya afl) basi wao watajitoa kwenye ligi zote kuanzia timu ndogo za Spain, england, Italy, France, Germany walikubaliana hivi ili wawaache mpaka kwenye ligi wapambane wakubwa kwa wakubwa, ndo ikashindikana


Ni sawa na timu za NBC waweke msimamo kua CAF wakipitisha huu ujinga wote wasusie michuano ya ligi wawache simba na Yanga au na azam wacheze ligi Peke yao
Nikiskia hili mapaka arsenal, City na wengine kibao waligoma

Ni pèrez ma Madrid yake ndiyo alikuwa anashupalia sana yule

Hii AFL ni wanawapa hela club zenye pesa tayari yaani
 
Nikiskia hili mapaka arsenal, City na wengine kibao waligoma

Ni pèrez ma Madrid yake ndiyo alikuwa anashupalia sana yule

Hii AFL ni wanawapa hela club zenye pesa tayari yaani
Club nyingi ziligoma,maana European super league ingekua inatoa pesa nyingi sana kwa club shiriki kushinda hata mshindi wa champions league (ila kumbuka kina Perez ni mamafia hii ESL ingekua inaingiza pesa nyingi sana kushinda inazotoa)

Hivyo club zikaona itakua mwisho wa ukubwa wa champions league kabisa (haya haya yanayotokea kwetu ya kuua CAF CL) sasa hizi club ndogo wakaona kama UCL inaenda kufa kisa michuano ambayo sisi hata tukimaliza nafasi za juu hatutaalikwa maana wameshachaguana club zote kubwa ndo washiriki, itakua na faida Gani kwetu sasa ndo wakaungana kuipinga


Yaani ujinga huo huo waliokata wazungu ndo Wanataka kuufanya huku
 
Back
Top Bottom