balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Sayansi ni Vitendo
Sayansi ni majaribio
Sayansi ni kutatua changamoto
Sasa wana SAYANSI wakianza kulialia humu tena kwenye mitihani ambayo hata wanafunzi wa Std IV wa gugambige primary school wanatatua bila kuja kujaza maneno humu kwenye server, sasa kuna haja gani ya kuwaita wanasayansi??
Naomba uelewe hilo mapema SAYANSI ni somo linalojikita kwenye kutatua changamoto
Sayansi ni majaribio
Sayansi ni kutatua changamoto
Sasa wana SAYANSI wakianza kulialia humu tena kwenye mitihani ambayo hata wanafunzi wa Std IV wa gugambige primary school wanatatua bila kuja kujaza maneno humu kwenye server, sasa kuna haja gani ya kuwaita wanasayansi??
Naomba uelewe hilo mapema SAYANSI ni somo linalojikita kwenye kutatua changamoto
Ukiwa na uwezo mdogo wa kuchanganua na kujadili mambo ni heri ukae kimya kuliko kujizolea aibu ndogondogo zinazokwepeka