Tuwapongeze Bibi zetu ( Wazazi wa Wazazi wetu) Kwa malezi yao bora na ya kudekeza wakati Mwingine.

Tuwapongeze Bibi zetu ( Wazazi wa Wazazi wetu) Kwa malezi yao bora na ya kudekeza wakati Mwingine.

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Mtu yeyote ambaye amekua katika maeneo ya vijijini hata mjini kwa kiasi kidogo anaweza kuelezea uzuri wa malezi ya bibi.
Bibi ni mtu mwenye huruma sana hata mzazi akitaka kukuadhibu ukikimbilia kwa bibi basi utakuwa salama kabisa.
Lakini Bibi ni mtu ambaye hutanguliza mbele wajukuu zake washibe kisha yeye afuatie baadaye.
Bibi ni mtu mpole sana na mnyenyekevu hata akigombezwa hunyamaza kimya.
Kwa kijijini Bibi ni mtu masikini sana asiye na kipato ni mtu wa kusaidiwa.
Bibi anaweza kukusaidia pesa yake yote ya mwisho ili mradi usiteseke.
Bibi nampenda sana ingawa alishatangulia mbele za haki.
Tuwakumbuke Bibi zetu kijijini kwa kuwatumia chochote ikiwa ni sambamba na kuboresha makazi yao.
 
Mtu yeyote ambaye amekua katika maeneo ya vijijini hata mjini kwa kiasi kidogo anaweza kuelezea uzuri wa malezi ya bibi.
Bibi ni mtu mwenye huruma sana hata mzazi akitaka kukuadhibu ukikimbilia kwa bibi basi utakuwa salama kabisa.
Lakini Bibi ni mtu ambaye hutanguliza mbele wajukuu zake washibe kisha yeye afuatie baadaye.
Bibi ni mtu mpole sana na mnyenyekevu hata akigombezwa hunyamaza kimya.
Kwa kijijini Bibi ni mtu masikini sana asiye na kipato ni mtu wa kusaidiwa.
Bibi anaweza kukusaidia pesa yake yote ya mwisho ili mradi usiteseke.
Bibi nampenda sana ingawa alishatangulia mbele za haki.
Tuwakumbuke Bibi zetu kijijini kwa kuwatumia chochote ikiwa ni sambamba na kuboresha makazi yao.
Nikifikiria bibi yangu anazeeka na sina cha maana ninachomiliki..

Mungu anijaalie bibi yangu awe hai mpaka nitoboe ili na yeye afaidi matunda ya mjukuu wake safuher.

Sina maana kwamba najua taanza kufa yeye ila naamini nature ndio ilivyo na yeyote anawez tangulia kufa.

Roho inaniuma sana na Mungu anijalie mafanikio wakati huu wa ujanani ili wazee wangu wote wayafaidi na mimi pia nifaidi kwani hakuna faida ya kutajirika uzeeni wakati ambao hauna nguvu ya kutumia vyema.
 
Nikifikiria bibi yangu anazeeka na sina cha maana ninachomiliki..

Mungu anijaalie bibi yangu awe hai mpaka nitoboe ili na yeye afaidi matunda ya mjukuu wake safuher.

Sina maana kwamba najua taanza kufa yeye ila naamini nature ndio ilivyo na yeyote anawez tangulia kufa.

Roho inaniuma sana na Mungu anijalie mafanikio wakati huu wa ujanani ili wazee wangu wote wayafaidi na mimi pia nifaidi kwani hakuna faida ya kutajirika uzeeni wakati ambao hauna nguvu ya kutumia vyema.
Mungu amekusikia na atatenda sawasawa na mapenzi yake
 
Nikifikiria bibi yangu anazeeka na sina cha maana ninachomiliki..

Mungu anijaalie bibi yangu awe hai mpaka nitoboe ili na yeye afaidi matunda ya mjukuu wake safuher.

Sina maana kwamba najua taanza kufa yeye ila naamini nature ndio ilivyo na yeyote anawez tangulia kufa.

Roho inaniuma sana na Mungu anijalie mafanikio wakati huu wa ujanani ili wazee wangu wote wayafaidi na mimi pia nifaidi kwani hakuna faida ya kutajirika uzeeni wakati ambao hauna nguvu ya kutumia vyema.
Ameen
 
Njia nzuri ya kumjali bibi yako ukipata mimba jitahidi ulee mwenyewe usipeleke mtoto kijijini ili alelewe na bibi
 
Back
Top Bottom