Tuwaseme mpaka wabadilike: Wanaume wa Dar

Tuwaseme mpaka wabadilike: Wanaume wa Dar

Umesahau nyngne wanapenda kulelewa hao kazi hawataki sasa mtu bora ulelewe atulie nae kutwa mademu ilihali analelewa[emoji23]
 
Aliyekwambiya kisa mwanaume... Ndy unuke kma BEBERU nani?au kisa mwanaume upake MAFUTA YA CHEREHANI..Badala ya lotion nani?kisa mwanaume basi huogi..nani?kisa mwanaume hubadilishi chupi hadi UINUSE kama inanuka ndy uibadilishe nani? Kisa mwanaume UPIGE mswaki na MKAA badala ya Dawa ya meno? huo ni uzamani ..uliokuwa nao..
 
Wakinywa konyagi wanapata vidonda vya tumbo, wao ni heinekein na mountain dew kwa sana
 
Mleta mada mpk leo unalima kwa jembe!?cku hizi watu wanalima kwa vibarua na trekta,mtu anakwambia mkulima lln mikono laini,ndo karne ya 21 hii.
 
Mwanaume kuchunguza maisha ya mwanaume mwenzako napata ukakasi kukuelewa!?
 
Bas kaa kimya mkuu maana anaefumuliwa marinda hana alama uson na huwez kumjua labda kama na wewe mmoja wao.
Wa "daslamu"wanaoneka hata ukiwa juu angani.sasa kama huko kote wanaonekani halafu nikae kimya.thubutu yao
 
Wa "daslamu"wanaoneka hata ukiwa juu angani.sasa kama huko kote wanaonekani halafu nikae kimya.thubutu yao
Kwahyo wa mikoan hawaonekan huon kama ni hatar zaid maana unaweza ukamuona mtu anakula sembe kilo 100 kumbe sio mwenzio bora shetan unaemjua kuliko malaika usiemfahamu
 
Walugaluga bwana mwanaume anayejiamini hapati muda wa kujadili ushababi wa wanaume wengine.Nyuzi za sampuli hii zinaviashiria vya inferiority complex kwa upande wa waletaji.

-Hali ya hewa ya dar unaijua hizo deodorant na perfumes ndio zinazotusitiri tusinuke vikwapa.
-Mjini kazi zakutumia nguvu hazilipi na mashamba hakuna sasa unalazimishaje watu wawe na mikono iliyokomaa,huku kinachomata ni pesa,na utafutaji wake ni wakutumia akili zaidi na sio nguvu.
-Eti tunapenda shopping,are u serious?,hao unaowasema wewe wenye access ya kwenda kununua vitu kwenye malls na super market on a regular basis ni asilimia chache sana ya wanaume wa huku.huku uswahilini ni kwa mangi tu na gengeni,so umefanya over-generalisation
-Kama umbeya basi nawewe ni mmoja wapo manake hyo story ya lina ndo kwanza naiskia kwako,na wewe ulijuaje kama sio umbea.?
-Kupenda kula vitu laini again hyo ni over generalisation,kwanza chocolate ni snack sio chakula,alafu huwezi mpangia mtu nini ale wakati anatumia gharama zake mwenyewe ni dalili ya ushakunaku.Mnadhani kula ugali kila siku ndo uwanaume eeh?.kinachomata kwenye chakula ni nutritional content,sio ugumu.chakula kinatakiwa kiwe mlo kamili.
Kwakifupi acheni ushamba
Kamanda umeandika english kali sana sijui kama kakuelewa au atakuwa kashaenda shamba kufukuza ngedere kwenye mikorosho
Eti nawashwa sana umejuaje

kichwa ninaniwasha sana

nitumie dawa gani ya uwasho

nimekuja dar kuwaleteeni karoti zile mnazokula. Karoti zote mnazokula huko kwenu zinatoka kijiji chetu.

nishukuruni sana nikija tena nakuja na kachumbari matata ya kumaliza nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom