TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kha !! Mtu wa vurugu vipi tena!!!tena!?Mtu yeyote aliyefariki kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964, hajawahi kuwa Mtanzania.
hapana ni baba yake mwalim Lazaro BomaniMkuu hivi Paul Bomani na Mark Bomani ni ndugu wa damu?
Je kuna ukweli kwamba Paul Bomani alifadhili harakati nyingi za Mwalimu Nyerere kudai uhuru?
Mkuu hivi Paul Bomani na Mark Bomani ni ndugu wa damu?
Je kuna ukweli kwamba Paul Bomani alifadhili harakati nyingi za Mwalimu Nyerere kudai uhuru?
Kuwa raisi wa Tanzania tayari ni sifa tosha ya kuwepo kwenye orodha.amalize kwanza awamu yake ndio tupime mchango wake kwa taifa
Jamaa alikuwa noma sana,Chaka lake lilikuwa Mapango ya Amboni Tanga.Kiboko ya wakoloni... Alikuwa anachukua Mali zao kishirikina na kugawa kwa maskini
Kashfa ya rushwa ina muondoa kwenye listKwa Asha-Rose Migiro nakukatalia.
Professor Anna Tibaijuka ndo alimtangulia kufikia cheo kikubwa UN.
Kwa hii orodha na huu mwandiko yawezekana nikawa nakujua ama tuna share one thing in commonTOP 15 yangu ambao hawajatajwa kabisa
1. Jenerali Ulimwengu
2. Richard Mabala
3. Rugemalira Mutahaba
4. Samwel Sitta
5. Mohammed Dewji
6. Muhammed Said Abdulla
7. John Kaduma
8.John Msimbe Simbamwene
9. Aristablis Elvis Musiba
10.Maria Tsehai Sarungi
11. Hussein Tuwa
12. Prof. Joyce Ndalichako
13. Asha Baraka
14. Kelvin Twisa
15. Happiness Magese
Sidhani JF ina members wengi sanaKwa hii orodha na huu mwandiko yawezekana nikawa nakujua ama tuna share one thing in common
Sent using Jamii Forums mobile app
Juma Kilaza "ngoma iko huku, ukitaka chacha chachaStatesmann,
Hii ni fikra nzuri sana lakini inahitaji umakini mkubwa sana.
Mathalan umewataja Abdul na Ally Sykes na hii nadhani katika kategori ya
wanasiasa.
Umemsahau baba yao Kleist Sykes.
Kleist Sykes anao wenzake waliofanya makubwa katika wakati wao kama
Martin Kayamba, Erika Fiah kwa kuwataja wachache.
Hapo hapo ikiwa utawataja Abdul, Ally na Nyerere lazima umtaje na Hamza
Mwapachu.
Hamza Kibwana Mwapachu
Umemtaja mwanamuziki Diamond,,,
Itabidi uwataje wanamuziki ''pioneers,'' kama Frank Humplink, Salum Abdallah,
Ahmed Kipande, Mbaraka Mwinshehe, na wengine...
View attachment 1170795
Salum Abdallah na Cuban Marimba Cha Cha Band
Hii si kazi nyepesi itahitaji umakini wa hali ya juu sana.
Kwani Mandela anapowekwa juu kila kitu alifanya peke yake.Mbona alipata msaada mkubwa tu.Nashukuru mkuu umekuja
Mkuu mimi nmchanga sana katika historia yetu ya nchi hivyo nimetoa kama mwongozo ila nategemea zaidi mawazo ya wadau kama nyie kuboresho orodha.
Halaf sikujua Kleist sykes ni baba yao Abdul na Ally, halafu hivi hawa watu wameenziwa kwa lolote? hawa watu walipaswa wawe amongo the Founder's fathers of our Nation!