Tuwataje Madereva wa Mabasi wanaobet kwa kuendesha magari ovyo ili wawahi kufika Stendi wapewe 100,000

Na Mabasi Yao Ili watu wasipande

Sauli
Newforce
 
Nakumbuka kuna siku nilitoka tunduma to dar kampuni kapuni yani siitaji kuna jamaa alikuwa anapita kuchangisha mchango wa buku mbili mbili kwaajiri ya faini za toch nazile ela akakabiziwa konda yani tunduma to dar tuliingia saa11 niliflai sana
Wapumbavu ndio wanaweza kutoa huo ujinga,hiyo inafanyika sana Magari ya Tunduma, kampuni ni hao hao Newforce/Golden Deer
 
Shida sio gari kukimbia ila ni kukimbia kwa kufuata sheria na taratibu za barabarani ili kulinda hali za abiria na watumiaji wengine wa barabara husika.
Taratibu za barabarani hasa magari ya Abiria speed ni max of 80km/hr
 
Na speed ni 80-100 tu.
Masaa 6 anakabidhi kwa mwingine aendelee
 
Kwakweli nilichogundua raia hawajali,yaani juzi nilipanda gari toka arusha kuja dar,gari inakula kona balaa abiria wakiulizwa na askari wanasema tumeridhika na mwendo,nikaona watanzania wao wanasubiri ajali itokee ndo waanze lawama wao kama wao hawawezi kuchukua hatua.


Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kweli kiazi. Sasa umeshasema msafara wa rais wao barabara inakua nyeupe. Hakuna kizuizi. Naona kujichosha kukujibu kwa maelezo mengi. Cha kukusaidia soma post ya Kalpana #12 ili usiwe unadhihirisha ujinga.
 
Shida sio gari kukimbia ila ni kukimbia kwa kufuata sheria na taratibu za barabarani ili kulinda hali za abiria na watumiaji wengine wa barabara husika.
Mtanzania ataona kibao 50km/h yeye anaona walioweka hivyo mataahira ila yeye ndio mwenye akili ataenda 180.
Baadaye akikatika miguu aanze kusumbua ndugu hawamuhudumii au akiitwa tumbili na mwarabu au mzungu anakasirika 😬.
 
Mtanzania ataona kibao 50km/h yeye anaona walioweka hivyo mataahira ila yeye ndio mwenye akili ataenda 180.
Baadaye akikatika miguu aanze kusumbua ndugu hawamuhudumii au akiitwa tumbili na mwarabu au mzungu anakasirika 😬.
wana shida ya umeme kichwani unaingia mdogo.
 
Chawa huna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Tanzania speed ni 80kmh juu ya hapo ni umevunja sheria tena hiyo ni maporini.. Mjini top speed ni 60kmph na mtaani ni 30kmph

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha majungu,gari zimetengenezwa zikimbie.Watu wawahi waendako.Mimi sipendi.gari liendalo taratibu nataka linalokimbia hasa
Ndomana zikitokeq ajali watu wakavuta,wakaibiwa Mali zao
Wakati imetokea ajali wala sinaga huruma

Ova
 
Unajua Tanzania speed ni 80kmh juu ya hapo ni umevunja sheria tena hiyo ni maporini.. Mjini top speed ni 60kmph na mtaani ni 30kmph

Sent using Jamii Forums mobile app
Km speed max ni 80kmh basi wabadilishe vibati vya mabasi visome mwisho 80-90 b4 imported.tofauti na hapo wao wako wrong.ni sawa useme matumizi yako ya siku ni laki alafu nikwambie usitumie zaidi ya elf 40 kwasiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…