Tuwataje Madereva wa Mabasi wanaobet kwa kuendesha magari ovyo ili wawahi kufika Stendi wapewe 100,000

Tuwataje Madereva wa Mabasi wanaobet kwa kuendesha magari ovyo ili wawahi kufika Stendi wapewe 100,000

Kwakweli nilichogundua raia hawajali,yaani juzi nilipanda gari toka arusha kuja dar,gari inakula kona balaa abiria wakiulizwa na askari wanasema tumeridhika na mwendo,nikaona watanzania wao wanasubiri ajali itokee ndo waanze lawama wao kama wao hawawezi kuchukua hatua.


Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ukitaka waseme hawaridhiki.kwani gari ya kwao? Kama hawataki spidi kubwa wangepanda treats

Kama serikali hairuhusu mabasi kutimka mbio mpaka speed limit waruhusu matrekta yajengewe bodi za mabasi yaanze kusafirisha abiria masafa marefu ya mikoani.Waanze kutoa.leseni kwa matrekta
 
Nakumbuka kuna siku nilitoka tunduma to dar kampuni kapuni yani siitaji kuna jamaa alikuwa anapita kuchangisha mchango wa buku mbili mbili kwaajiri ya faini za toch nazile ela akakabiziwa konda yani tunduma to dar tuliingia saa11 niliflai sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Msisahau hizi coaster za kutoka Mbeya kwenda Tukuyu/Kyela mwendo wao si sawa hta kidogo.
Kwa dereva mwenye akili timamu ile barabara siyo ya kukimbiza gari hata kidogo, ni nyembamba, ina miteremko ya kufa mtu ukiwa unaelekea Tukuyu na kona kali za kishtukiza.
 
Back
Top Bottom