ney wa mitego alishasema ukishakuwa na dada yako ambaye ni msanii wa kike mashemeji zako ni producers na watangazaji...
back to the topic....
v hanakitu, atakuwa anahongwa tu huyo. kulingana na ukubwa wa jina lake she deserves more.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi ndivyo ninavyowapenda wabongo, katika maswala ya kuchambua mambo ya watu wapo vizuri kweli kweli..
Hapo hatuna mpinzani kabisa.Hivi ndivyo ninavyowapenda wabongo, katika maswala ya kuchambua mambo ya watu wapo vizuri kweli kweli..
Hiyo ndiyo show kubwa zaidi ya wasanii wa Africa duniani. Mwanadada Vanesa mdee ana perform kwenye miji miwili ambayo unaweza kuwa unaota kwenda hata kuzuga tu, ila yeye anaenda kupiga kazi. Kwa statistic za nanjilinji na sengerema zinambeba sana aslay, na ndio mwisho wa information mnazozipata ndio maana sishangai hii post yako. Inamaana haujui kuwa huyu bi dada juzi tu katoka kuperform kwenye Nigerian awards. Anyway, kwa upeo wako unaamini kuwa wanao perfom Dar live ndio mziki unawalipa.1.Vanessa mdee
Huyu pamoja na kuwa na jina kubwa ila hana lolote kiukweli anaboronga sababu nyimbo nyingi anajifanya anaimba kizungu. Huyu dada ukisikia ameenda nje ya nchi ni kutafuta collabo au kufanya video
Tofauti na fiesta huwezi sikia amefanya show ya kujitegemea hata matombo na kwa kujiamini anasema album yake imegharimu milion 100 swali je amezitoa wapi? Au atasema kutokana na kulipwa youtube?
Hapa tunapata wasiwasi na ile skendo makonda alhusisha nayo mwaka jana ya ngada
Ntarudi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi ndivyo ninavyowapenda wabongo, katika maswala ya kuchambua mambo ya watu wapo vizuri kweli kweli..
1.Vanessa mdee
Huyu pamoja na kuwa na jina kubwa ila hana lolote kiukweli anaboronga sababu nyimbo nyingi anajifanya anaimba kizungu. Huyu dada ukisikia ameenda nje ya nchi ni kutafuta collabo au kufanya video
Tofauti na fiesta huwezi sikia amefanya show ya kujitegemea hata matombo na kwa kujiamini anasema album yake imegharimu milion 100 swali je amezitoa wapi? Au atasema kutokana na kulipwa youtube?
Hapa tunapata wasiwasi na ile skendo makonda alhusisha nayo mwaka jana ya ngada
Ntarudi
hahahaaaHivi ndivyo ninavyowapenda wabongo, katika maswala ya kuchambua mambo ya watu wapo vizuri kweli kweli..
Hahaha mkuu, umenifurahisha. Pole kwa kukuchanganya kidogo.. ile inatisha kidogo hahahahahaaa
halafu aliykwambia uchange avatar nani ...umenichanganya ujue
HII LIST SIMUONI BABU WA KARIAKOO AU NAE LEVEL ZAKE NI FIESTA???AU NAE ANAFANYA KWA HASARA NINI???View attachment 696604 View attachment 696606
Hiyo ndiyo show kubwa zaidi ya wasanii wa Africa duniani. Mwanadada Vanesa mdee ana perform kwenye miji miwili ambayo unaweza kuwa unaota kwenda hata kuzuga tu, ila yeye anaenda kupiga kazi. Kwa statistic za nanjilinji na sengerema zinambeba sana aslay, na ndio mwisho wa information mnazozipata ndio maana sishangai hii post yako. Inamaana haujui kuwa huyu bi dada juzi tu katoka kuperform kwenye Nigerian awards. Anyway, kwa upeo wako unaamini kuwa wanao perfom Dar live ndio mziki unawalipa.
View attachment 696606
hahaa watoto wazuri ndio wamekwambia hvyo ..kuwa ile inatisha ..daahhh kweli akitakacho binti mwanaume lazima utanunuaHahaha mkuu, umenifurahisha. Pole kwa kukuchanganya kidogo.. ile inatisha kidogo haha
Mkuu hawa viumbe wananguvu sana, mcheki ata samson alizidiwa kete na mrembo delilah ..hahaa watoto wazuri ndio wamekwambia hvyo ..kuwa ile inatisha ..daahhh kweli akitakacho binti mwanaume lazima utanunua
Mi sipendi anavyokaa uchi tu yaani mapaja na matiti yake yaliyolala ni "mali ya umma"ney wa mitego alishasema ukishakuwa na dada yako ambaye ni msanii wa kike mashemeji zako ni producers na watangazaji...
back to the topic....
v hanakitu, atakuwa anahongwa tu huyo. kulingana na ukubwa wa jina lake she deserves more.