Tuwatambue Wanaopotosha Ajenda kuhusu Katiba Mpya

Tuwatambue Wanaopotosha Ajenda kuhusu Katiba Mpya

Katiba iliyopo ina mazuri mengi tu.....

Wanasiasa wanajaribu kuupotosha umma kwa maslahi yao ya uchu wa madaraka.....

Wako wale wanaoitaka TANGANYIKA......
Wako wale wasioutaka huu MUUNGANO......
Wako wanaozitaka Serikali 3 kwa udi na uvumba.....

Ni uroho tu wa MADARAKA.....

Katiba iliyopo IMEUNDWA VYEMA SANA ,inaakisi DEMOKRASIA TUITAKAYO....Tanzania si nchi ya KILIBERALI ,ukitaka uige demokrasia ya nchi nyinginezo basi ni sawa na kutaka KUIFUTA HISTORIA YA TAIFA HILI.....

#KatibaMpyaSiHitajiLaWatanzaniaWote
#KaziIendelee
Ila wakati ule nyinyi wenyewe mlikuwa mnalilia mabadiliko ya katiba ya kuongeza muda wa urais na mliona hayo ni sawa ninyi hao hao leo ninyi hao hao hamtaki katiba iguswe.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ila wakati ule nyinyi wenyewe mlikuwa mnalilia mabadiliko ya katiba ya kuongeza muda wa urais na mliona hayo ni sawa ninyi hao hao leo ninyi hao hao hamtaki katiba iguswe.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Wangapi walilia hayo?!!!

Binafsi siungi mkono kuongezwa muda wa UTAWALA kwa kiongozi na mtawala awaye yeyote.....

Tunazisoma historia na nyendo za maisha ya walimwengu.....

Dunia haijaanza Jana.....

Ninapinga ujaji wa KATIBA MPYA kama nilivyopinga kuongezwa nyongeza ya kutawala kwa Rais wa awamu ya 5.......

#KaziIendelee
#CCMFikra
 
Basi kaa kimya huna mawazo ya maana!
Unaonesha kiasi gani si mwelewa wa nyendo za maisha ya ulimwengu.....

Huku migundini Kuna BODABODA wenye shahada nzito tu....endelea tu KUWADHARAU kwa kuwaona wajinga wanaotafuta kwa jasho lao huku mkiamini ninyi BAVICHA ni werevu kupambana na SERIKALI YA CCM.....

Uwerevu wenyewe ni kudakwa na kupelekwa SEGEDANSE kila uchao .....🤣

Mathalani Kenya na Nigeria Kuna SUNGUSUNGU walio mpaka na elimu ya UZAMILI.....kalaghabaho.....

Endelea KUKARIRI ya UFIPANI.....

#NaziHaishindaniNaJiwe


#KaziIendelee
 
Unaonesha kiasi gani si mwelewa wa nyendo za maisha ya ulimwengu.....

Huku migundini Kuna BODABODA wenye shahada nzito tu....endelea tu KUWADHARAU kwa kuwaona wajinga wanaotafuta kwa jasho lao huku mkiamini ninyi BAVICHA ni werevu kupambana na SERIKALI YA CCM.....

Uwerevu wenyewe ni kudakwa na kupelekwa SEGEDANSE kila uchao .....🤣

Mathalani Kenya na Nigeria Kuna SUNGUSUNGU walio mpaka na elimu ya UZAMILI.....kalaghabaho.....

Endelea KUKARIRI ya UFIPANI.....

#NaziHaishindaniNaJiwe


#KaziIendelee

Kuna mateja hudhani Obama ni mshikaji wao. Hongera zenu enyi mateja wenye shahada nzito nzito!
 
Kuna mateja hudhani Obama ni mshikaji wao. Hongera zenu enyi mateja wenye shahada nzito nzito!
Umeamua kunitukana mkuu wangu....

Ila mdomo ni wako kaka.....

Endelea kujiona mwerevu kama MDUDE NYAGALI anayepambania YASIYOPO.....🤣

Binafsi meza za akina "OBAMA" Wala siwezi kuziona.....

Hisia na uhalisia ni vitu viwili tofauti.....
 
Kuna upotoshaji mkubwa dhidi ya hoja za wanaoitisha kurejelewa kwa mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.

Mama wamemfanya kuamini kuwa hizo ni chokochoko:

Katiba ni haki ya raia. Kudai katiba mpya dhidi ya iliyopo yenye mapungufu hakuwezi kuwa ni chokochoko.

Hoja hupingwa kwa hoja.

Katiba bora haiwezi kupatikana kama hisani toka kwa watawala ambao ni wanufaika wa iliyopo na wenye vingi vya kupoteza kwa kuja kwa mpya.

Tuzifahamu tabia za wapotoshaji hawa, kwa maslahi ya mwendelezo wa kudai katiba mpya iliyoboreshwa kama jambo la haki:

1. Wengi wao ni wakereketwa wa awamu ile
2. Wengi wao ni wale wale waliokuwa wakimzunguka JPM na kutaka apewe mitano tena kinyume cha katiba
3. Wengi wao ndiyo hao hao wanaomzunguka mama leo
4. Ajenda yao kuu ni kuendeleza ya JPM bila kuwapo JPM
5. Ndiyo walio waasisi wa ile salamu yetu pendwa "kwa jina la JMT"
6. Ndiyo walio waasisi wa kuwa Samia = JPM
7. Misingi ya hoja zao ni ile ile ya JPM, rejea misimamo kuhusu Corona, Chanjo, na hata mahusiano ya kisiasa ndani ya nchi
8. Wote ni CCM
9. Nk

Hawa ndiyo waliotufikisha hapa kwenye chokochoko:

View attachment 1845508

Kuwafahamu wanyoa viduku hawa kunatuweka katika hatua bora zaidi za kuyasimamia mahitajio yetu ya kupata katiba mpya sasa.
Mkianza dhambi ya ubaguzi mjue nanyi hamtosalimika. Suala la katiba linamhusu kila Mtanzania, na KIKATIBA, Mtanzania mwenye mawazo tofauti juu ya takwa la katiba mpya si msaliti wala hakwamishi mchakato huo.

Tatizo lililopo ni suala hilo kufanywa la genge flani tu - Chadema na wanaharakati wa mtandaoni - na si la Watanzania wote. Kama ni letu sote basi mjadala usibinafsishwe kuwa wa kundi la waunga mkono tu, kwa sababu kila Mtanzania ana haki KIKATIBA kukubali au kukataa wazo la katiba mpya.

Majuzi Profesa Shivji kadhalilishwa kaambiwa akili zake zinaathiriwa na umri huku wengine wakidai anataka u-DC, "kosa" lake pekee ni kutahadharisha kuwa katiba mpya sio mwarobaini wa changamoto mbalimbali zinazowakabili Watanzania.

Ni muhimu mnaotaka Katiba mpya mkatambua pia kwamba ili ajenda hiyo ifanikiwe sio tu mtahitaji sapoti ya makundi mengine yasiyo ya kisiasa au kiharakati bali pia yaweza kuwalazimu kufanya kazi na watu msioafikiana nao kimtazamo.

Kama kweli kiu ni katiba kwa ajili ya Watanzania wote, hii desperation (na pengine uhuni kabisa) ya kunyoosheana vidole inatoka wapi? Au kuna mnalojua tusilojua?
 
Umeamua kunitukana mkuu wangu....

Ila mdomo ni wako kaka.....

Endelea kujiona mwerevu kama MDUDE NYAGALI anayepambania YASIYOPO.....🤣

Binafsi meza za akina "OBAMA" Wala siwezi kuziona.....

Hisia na uhalisia ni vitu viwili tofauti.....

Umeamua kujidanganya kuwa umetukanwa?

Kwa tabia hizo huwa tunawasajili kwenye list pendwa kama huyu aliko:

IMG_20210708_171608_996.jpg


Hapo kila mtu anapumzika kwa amani. Kila mtu anabaki na m@vi yake.

Kwa nini kupigishana kelele na vyawa wasiokuwa na logic?
 
Mkianza dhambi ya ubaguzi mjue nanyi hamtosalimika. Suala la katiba linamhusu kila Mtanzania, na KIKATIBA, Mtanzania mwenye mawazo tofauti juu ya takwa la katiba mpya si msaliti wala hakwamishi mchakato huo.

Tatizo lililopo ni suala hilo kufanywa la genge flani tu - Chadema na wanaharakati wa mtandaoni - na si la Watanzania wote. Kama ni letu sote basi mjadala usibinafsishwe kuwa wa kundi la waunga mkono tu, kwa sababu kila Mtanzania ana haki KIKATIBA kukubali au kukataa wazo la katiba mpya.

Majuzi Profesa Shivji kadhalilishwa kaambiwa akili zake zinaathiriwa na umri huku wengine wakidai anataka u-DC, "kosa" lake pekee ni kutahadharisha kuwa katiba mpya sio mwarobaini wa changamoto mbalimbali zinazowakabili Watanzania.

Ni muhimu mnaotaka Katiba mpya mkatambua pia kwamba ili ajenda hiyo ifanikiwe sio tu mtahitaji sapoti ya makundi mengine yasiyo ya kisiasa au kiharakati bali pia yaweza kuwalazimu kufanya kazi na watu msioafikiana nao kimtazamo.

Kama kweli kiu ni katiba kwa ajili ya Watanzania wote, hii desperation (na pengine uhuni kabisa) ya kunyoosheana vidole inatoka wapi? Au kuna mnalojua tusilojua?
Hakika Komredi!

Labda watueleze nasi tuyajue wanayoyajua......
 
Umeamua kujidanganya kuwa umetukanwa?

Kwa tabia hizo huwa tunawasajili kwenye list pendwa kama huyu aliko:

View attachment 1845944

Hapo kila mtu anapumzika kwa amani. Kila mtu anabaki na m@vi yake.

Kwa nini kupigishana kelele na vyawa wasiokuwa na logic?
🤣🤣🤣
Nawe umepaniki kaka.....

Unaniita mimi chawa....sawa....

Wewe ni kunguni wa UFIPA ama?!!!

Relax mkuu....
 
walilia katiba ni mambumbumbu na wapumb*^u... kwanin nasema hvo? kwa sababu huwezi kulazimisha mtu akubaliane na hoja zako wakati haoni umuhimu wake na akitaka kuhoji au kupingana na ww unamshambulia kwa matusi na maneno ya kejeli... ndo maana mama kawaita waleta chokochoko sababu hamueleweki mnadai kitu gani..!!!
 
walilia katiba ni mambumbumbu na wapumb*^u... kwanin nasema hvo? kwa sababu huwezi kulazimisha mtu akubaliane na hoja zako wakati haoni umuhimu wake na akitaka kuhoji au kupingana na ww unamshambulia kwa matusi na maneno ya kejeli... ndo maana mama kawaita waleta chokochoko sababu hamueleweki mnadai kitu gani..!!!
Swadaktaa.....👍

Hao ni waleta CHOKOCHOKO....

#KaziIendelee
 
Katiba inhekuwa hoja ya ushawishi CHADEMELA wasongetanguliza shinikizo wakati wanajua kabisa huo uwezo wa kushinikiza chochote hawana.
Nonsense [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Katiba iliyopo ina mazuri mengi tu.....

Wanasiasa wanajaribu kuupotosha umma kwa maslahi yao ya uchu wa madaraka.....

Wako wale wanaoitaka TANGANYIKA......
Wako wale wasioutaka huu MUUNGANO......
Wako wanaozitaka Serikali 3 kwa udi na uvumba.....

Ni uroho tu wa MADARAKA.....

Katiba iliyopo IMEUNDWA VYEMA SANA ,inaakisi DEMOKRASIA TUITAKAYO....Tanzania si nchi ya KILIBERALI ,ukitaka uige demokrasia ya nchi nyinginezo basi ni sawa na kutaka KUIFUTA HISTORIA YA TAIFA HILI.....

#KatibaMpyaSiHitajiLaWatanzaniaWote
#KaziIendelee
Nonsense [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mkianza dhambi ya ubaguzi mjue nanyi hamtosalimika. Suala la katiba linamhusu kila Mtanzania, na KIKATIBA, Mtanzania mwenye mawazo tofauti juu ya takwa la katiba mpya si msaliti wala hakwamishi mchakato huo.

Tatizo lililopo ni suala hilo kufanywa la genge flani tu - Chadema na wanaharakati wa mtandaoni - na si la Watanzania wote. Kama ni letu sote basi mjadala usibinafsishwe kuwa wa kundi la waunga mkono tu, kwa sababu kila Mtanzania ana haki KIKATIBA kukubali au kukataa wazo la katiba mpya.

Majuzi Profesa Shivji kadhalilishwa kaambiwa akili zake zinaathiriwa na umri huku wengine wakidai anataka u-DC, "kosa" lake pekee ni kutahadharisha kuwa katiba mpya sio mwarobaini wa changamoto mbalimbali zinazowakabili Watanzania.

Ni muhimu mnaotaka Katiba mpya mkatambua pia kwamba ili ajenda hiyo ifanikiwe sio tu mtahitaji sapoti ya makundi mengine yasiyo ya kisiasa au kiharakati bali pia yaweza kuwalazimu kufanya kazi na watu msioafikiana nao kimtazamo.

Kama kweli kiu ni katiba kwa ajili ya Watanzania wote, hii desperation (na pengine uhuni kabisa) ya kunyoosheana vidole inatoka wapi? Au kuna mnalojua tusilojua?

Katika nyakati zote kufanya tathmini ni noble duty. Tathmini zinasaidia kuwafahamu washirika na mahasimu pia.

Katika mahasimu kuna vyawa na wenye issues au mambo ya uelewa.

Kuwatambua washirika ni nani, wanaoweza kuwa washirika ni nani na vyawa ni nani huo hauwezi kuitwa ni ubaguzi, bali huo ndiyo uhalisia wenyewe.

Walichofanya Chadema ni kuratibu na kuongoza hatua hii ya mwanzo kabisa ya kuanza kudai kurejelewa kwa mchakato wa katiba mpya. Kumbuka kuna tofauti ya katiba mpya na mchakato wa katiba mpya.

Hivyo si sahihi kudai kuwa Chadema wamemtenga au kumbagua yeyote mwenye nia kama yao kwenye jitihada hizi.

Kuanza kudai kurejelewa kwa mchakato wa kudai katiba mpya hakuwezi kuanza spontaneously kama mvua. Kulihitaji mwenye ujasiri wake kufanya hivyo. Washukuriwe Chadema kwa hilo.

Labda wewe ulipendelea nani angeuanzisha? Au kuuanzisha Chadema kuna tatizo gani?

Kulikuwa na uzi humu kuhusiana na kuwatambua wanachama wa vyama mbalimbali mitandaoni:

Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

Sina hakika kwanini unarukia kudai kuwa suala hili limefanywa kuwa la Chadema na hao unaowaita wana harakati wa mitandaoni.

Umekutana wapi na Chadema au wanachama wake kukupa msimamo huu unaoujengea hoja kuwa hii ni ajenda yao peke yao?

IMG_20210708_205003_342.jpg


Huyo naye ni Chadema?

Hakuna anayenyooshewa kidole asiyekuwa chawa. Hawa walionyoa viduku pichani hatuwezi kuacha kuwanyooshea vidole:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Kumekuwa na nyuzi kadhaa kuhusu wao. Maridhiano gani unaweza kuwa nayo na jingalao, Magonjwa Mtambuka au aliyekuwa "bia yetu?" Kikamilifu hao ni wasaliti na wamechagua iwe hivyo. Tuna options gani zaidi ya kuwakubalia?

Hakuna anayekataa kujadiliana kwa hoja. Ndiyo maana Chadema waliomba kukutana na Mama Samia pamoja na kuwa viduku wako kazini kulihujumu hilo.

Kuhusu Prof. Shivji kuna nyuzi kuhusu yeye na hata maoni ya mzee Warioba kumhusu yeye. Unaweza zirejea nyuzi hizo kuona wapi anaweza kuwa aliwa irk watu.

Prof Shivji aliwahi kusema yeye si mwana Muziki akimaanisha si kila akisemacho kitawapendeza watu. Sentensi hiyo ina ukakasi wake.
 
Wangapi walilia hayo?!!!

Binafsi siungi mkono kuongezwa muda wa UTAWALA kwa kiongozi na mtawala awaye yeyote.....

Tunazisoma historia na nyendo za maisha ya walimwengu.....

Dunia haijaanza Jana.....

Ninapinga ujaji wa KATIBA MPYA kama nilivyopinga kuongezwa nyongeza ya kutawala kwa Rais wa awamu ya 5.......

#KaziIendelee
#CCMFikra
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Unaonesha kiasi gani si mwelewa wa nyendo za maisha ya ulimwengu.....

Huku migundini Kuna BODABODA wenye shahada nzito tu....endelea tu KUWADHARAU kwa kuwaona wajinga wanaotafuta kwa jasho lao huku mkiamini ninyi BAVICHA ni werevu kupambana na SERIKALI YA CCM.....

Uwerevu wenyewe ni kudakwa na kupelekwa SEGEDANSE kila uchao .....[emoji1787]

Mathalani Kenya na Nigeria Kuna SUNGUSUNGU walio mpaka na elimu ya UZAMILI.....kalaghabaho.....

Endelea KUKARIRI ya UFIPANI.....

#NaziHaishindaniNaJiwe


#KaziIendelee
[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Umeamua kunitukana mkuu wangu....

Ila mdomo ni wako kaka.....

Endelea kujiona mwerevu kama MDUDE NYAGALI anayepambania YASIYOPO.....[emoji1787]

Binafsi meza za akina "OBAMA" Wala siwezi kuziona.....

Hisia na uhalisia ni vitu viwili tofauti.....
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom