Tuwatambue Wanaopotosha Ajenda kuhusu Katiba Mpya

Nonsense
 
Ushauri wa bure.
Wale wanaodai katba mpya nje ya CCM rudini wote CCM mkaidai katiba mpya mkiwa huko ndo mtafanikiwa.
Vinginevyo mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu.
 
Yani we jamaa ndio mpotoshaji sasa.
 
Unaongea lakini ulivoanza kuweka utimu kwenye maslahi ya taifa nikaona ww huna tofauti na mshabiki wa yanga au simba. Unapoongelea nchi jaribu kutoa umagufuli, usamia na uchama
 
Unaongea lakini ulivoanza kuweka utimu kwenye maslahi ya taifa nikaona ww huna tofauti na mshabiki wa yanga au simba. Unapoongelea nchi jaribu kutoa umagufuli, usamia na uchama

Kuna ka wimbi ka wajumbe wapya JF:



Karibu JF bwana Monster. Jina lako la kawaida ni lipi vile au wale wengine? jingalao au Wakudadavuwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…