Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Wewe kwa akili yako unafikiri magufuli angeweza kuingiza nchi mkataba wa kijinga kama huu wa dubai? Tiscs tu alikua anatamani kuwatimua kabla ya mkataba kumaliza sema wakakubali kuzidisha mara mbili kiasi walichokua wanailipa serikali. Hapo ndio kukawepo makubaliano wamalizie miaka michache iliyokua imebakia kwenye mkataba wao.
 
IGA imeshafafanuliwa sana na wengi na mara nyingi na kesi ipo mahakama kuu, wala siyo issue sasa hivi.

Tunangoja mikataba ya uendeshaji bandari.
Unangojea wewe mikataba sio sisi. Sisi tuko tayari kwenda mahakama ya rufaa kuliko kuona bandari zeu wanapewa waarabu kumiliki kama mali yao. Hatuko tena enzi ya slave traders kina tippo tipo.
 
Watu tuliokuwa tunawaona hawagusiki na kuogopwa aliwadhalilisha na wakaufweta,Maaskofu zilichukuliwa passports zao,sasahiv wanajifanya wana masharubu.watu wangetulia kama wananyolewa
 
Unangojea wewe mikataba sio sisi. Sisi tuko tayari kwenda mahakama ya rufaa kuliko kuona bandari zeu wanapewa waarabu kumiliki kama mali yao. Hatuko tena enzi ya slave traders kina tippo tipo.
Hilo kweli kabisa, tupo tunaoungoja kwa hamu kubwa sana.

Nyinyi mnaoenda mahakamani mngeanza kujichangisha kabisa pesa za gharama ya kesi.
 
IGA imeshafafanuliwa sana na wengi na mara nyingi na kesi ipo mahakama kuu, wala siyo issue sasa hivi.

Tunangoja mikataba ya uendeshaji bandari.
Tatizo sio IGA tatizo nijinsi mnavyo lishabishabikia hili jamboutafikili hii nchi imeshushwa na DPW yaani tusipo fanya nao biashara tutadhulika
Inatakiwa utambue wewe @pascalayala ,Mshana Jr na wakongwe wengine hamtakiwi kua mashabiki kwasababu mnainfluence kubwa na niwatu mnafuatiliwa so ukibwata ujinga unahalibu kundi kubwa
Asante kwa ukarimu wako
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Thubutuuuu !! Mwamba alikuwa ni habari nyingine 😅🙏 Hata Johnthebabtist anajua hivyo 😂😂

Hakuna mtu angekohoa !! 😅
 
Niliwahi kushauri humu, kuwa wale wote walionyamazia uovu wa enzi zile, waendelee kunyamaza.
P
@pascal mayalla
Tufanye kuwa tuna IQ tofauti, tunamitazamo tofauti, pia na uelewa tofauti, ila kuna mtu aliwahi kusema kuwa hata kama hujui kusoma je hata picha huoni? Basi tuseme utakuwa unahitaji miwani pascal,

Mkataba sijui makubaliano vyovyote utakavyouita chanzo chake ni wale walio Usain kuuvujisha, na hapo ndipo mazagazaga yote haya yakaibuka,

Sasa magu na udhaifu wake wote alishasema akizungumzia mkataba wa bagamoyo kuwa ni kichaa tu ndiyo anaweza kuukubali, sasa swali je kile kilichoandikwa kule kinaweza kuwa tofauti na hiki? Au unadhani watu wamesahau?

Kinachoendelea kwa sasa ni watu wenye umaarufu kwenye media kujizima data na kuona kuwa wao wana thinking capacity kubwa than others, yaani wao wanatazama positive than wengine,

P, siamini kama huoni ila unaona na kujizima data, ni aheri unyamaze au uwe msomaji tu kuliko hizi dreamers
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Weka mkataba aliousaini wakikuda
 
@pascal mayalla
Tufanye kuwa tuna IQ tofauti, tunamitazamo tofauti, pia na uelewa tofauti, ila kuna mtu aliwahi kusema kuwa hata kama hujui kusoma je hata picha huoni? Basi tuseme utakuwa unahitaji miwani pascal,
Mkuu Boniphace Bembele Ng'wita , no one is perfect, hivyo ni kweli inawezekana nina uhitaji wa miwani.
Mkataba sijui makubaliano vyovyote utakavyouita chanzo chake ni wale walio Usain kuuvujisha, na hapo ndipo mazagazaga yote haya yakaibuka,
Waliovujisha sio waliosaini, cha muhimu sio nani bali nini!. As long as the cat is out of basket, let's deal with it.
Sasa magu na udhaifu wake wote alishasema akizungumzia mkataba wa bagamoyo kuwa ni kichaa tu ndiyo anaweza kuukubali, sasa swali je kile kilichoandikwa kule kinaweza kuwa tofauti na hiki? Au unadhani watu wamesahau?
It's not the same!
Kinachoendelea kwa sasa ni watu wenye umaarufu kwenye media kujizima data na kuona kuwa wao wana thinking capacity kubwa than others, yaani wao wanatazama positive than wengine,

P, siamini kama huoni ila unaona na kujizima data, ni aheri unyamaze au uwe msomaji tu kuliko hizi dreamers
Jee umewahi kunisoma nikizungumzia hii IGA? Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! huku ni kujizima data?
P
 
Mkuu Boniphace Bembele Ng'wita , no one is perfect, hivyo ni kweli inawezekana nina uhitaji wa miwani.

Waliovujisha sio waliosaini, cha muhimu sio nani bali nini!. As long as the cat is out of basket, let's deal with it.

It's not the same!

Jee umewahi kunisoma nikizungumzia hii IGA? Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! huku ni kujizima data?
P
Tafuta miwani mkuu
 
FaizaFoxy, post:
Vipi kailinda? Mali asili? Tena ndiyo imemla vibaya kweli.
changudoa wa kimanga mwaka utumia sana
 
Magufuli alikua na AKILI lakini pia alikua mzalendo. Huwezi kumlinganisha magufuli na Mbarawa.
 
Back
Top Bottom