Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Hii ni kweli kabisa, yaani kwao mwarabu ni mtume kama sio 'mungu' kabisa.... unaweza kuona hata juhudi za 'ajuza' kukesha mitandaoni kushadadia hili jambo.....wakati wa Magufuli Mkataba wa kipumbavu huu asingekubali....shida ya wapemba wanadhani wakimkirimu Mwarabu wanadhani mamkirimu mtume