Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni nadharia..kabla ya taarifa za MoU kwenda Bungeni ni mtandao gani uliweka jambo ili na kuanza kujadili?!Ni mkataba wa kimataifa ni lazima uende bungeni, na mkataba huu ulivuja kwenye mitandao baadae serikali ndiyo ikautoa
Yaani Kuna watu hawaoni utata wa mkataba huu kweli? MAGUFULI mwenyewe alisema: Ni kichaa peke yake anayeweza kuushabikia mkataba wa aina hii.Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kauli yako inadhihirisha unaunga mkono mkataba wa bandari kutokana na dini yako na Uzanzibar wako tu. Si kwa ajili ya uzuri wa mkataba. Unadiriki kusema Paskali asingempinga Msukuma na Mkristu mwenzake! Hivyo sivyo tunavyokuwa wengi wa wale tunaoupinga mkataba wa bandari. Hatupingi mkataba kwa kuwa Rais wetu wa sasa ni Muislamu na mkataba umetolewa kwa Waarabu ambao ni Waislamu. Mbona SGR inashughulikiwa na nchi ya Kiislamu ya Uturuki na bwawa la Nyerere linashughulikiwa na nchi ya Kiislamu ya Msri? Kama ingekuwa kupinga mradi kwa sababu ya dini, iweje hiyo miradi miwili niliyoitaja hatuipingi?Ungeacha kumuunga mkono msukuma na mkristo mwenzio ningeshangaa sana.
Usichekeshe utakaloliza bali tafakari taratibu!!Vipi kailinda? Mali asili? Tena ndiyo imemla vibaya kweli.
Watanzania tuna tatizo kubwa kwa sababu baadhi yetu ni wanafiki wanaongea mdomoni uzalendo wa nchi, usawa, umoja wa kitaifa lakini mioyoni wamejaa kinyongo na nongwa za hatari!!!Ungeacha kumuunga mkono msukuma na mkristo mwenzio ningeshangaa sana.
Wewe badala ya kuidai Tanganyika yako unataka Wazanzibari wakudaie?Kutokana na hili sakata la uporaji wa bandari za Tanganyika, ninawashauri Wazanzibari wajitahidi haraka sana wajitoe kwenye huu muungano feki.
Nionavyo mimi, endapo kutakuja kuibuka sintofahamu juu ya huu mkataba wa DP World, rais atakayekuwepo anaweza kuja kuiuza stone Town ya Zanzibar ili kuwalipa Wazanzibari madhambi na kufuru wanazotupitishia watanganyika bila ridhaa yetu.
Sisi tunachoona ni kuwa Wazanzibari wameamua kuuza rasilimali zetu kwa bei chee ili siku zijazo tusiwe na pa kushika.
Aamiin.Watanzania tuna tatizo kubwa kwa sababu baadhi yetu ni wanafiki wanaongea mdomoni uzalendo wa nchi, usawa, umoja wa kitaifa lakini mioyoni wamejaa kinyongo na nongwa za hatari!!!
Mungu atatusaidia baadhi yetu hawa wataelewa umuhimu wa kuwa wakweli na kuacha Unafiki. Aamin.
JPM hakuwa na papara na wawekezaji wa nje. Pili kabla mkataba haujaanza angeanza kutembelea bandari zote Dar, Mtwara,, Lindi, Mafia, Tanga, Bagamoyo, Tanganyika, Mwanza kisha katika majumuisho yake kuna watu wangeondoka kwanza na kesi mbalimbali za uhjumu uchumi zingefunguliwa.Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kusinya ndo nini tena?Ni mwendawazimu pekee anaweza kusinya mkataba wa namna hii....
Alisema!
Kusaini, kutia saini... signature.Kusinya ndo nini tena?
Lugha gani au mtohowo wa kifaransa, kirundi, kinyarwanda nk?Kusaini, kutia saini... signature.
....wakati wa Mafuli Mkataba wa kipumbavu huu asingekubali....shida ya wapemba wanadhani wakimkirimu Mwarabu wanadhani mamkirimu mtumeSitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwao OmaniWewe badala ya kuidai Tanganyika yako unataka Wazanzibari wakudaie?
Wazanzibari washasema, "ana kwao huyo".
mtajaza wenyewe.
Wana akili finyu sana....wakati wa Mafuli Mkataba wa kipumbavu huu asingekubali....shida ya wapemba wanadhani wakimkirimu Mwarabu wanadhani mamkirimu mtume
Ndugu hizo inge unaweza zipima.?Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Safi sana. Ma shaa Allah, kumbe ana kwao kweli?Kwao Omani