UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hivi huyo Magufuli unayefikiria kuwa angeweza kusaini mkataba wa ovyo kama huu ni Magufuli yupi kweli? Ni huyu huyu tunayemjua sote, au kuna mwingine?
Tatizo ni kwamba tunapozungumzia mkataba wa ovyo, nyie walamba asali mnafikiria DP World. Tatizo siyo Dp World, TATIZO NI MKATABA WA OVYO.
Tatizo ni kwamba tunapozungumzia mkataba wa ovyo, nyie walamba asali mnafikiria DP World. Tatizo siyo Dp World, TATIZO NI MKATABA WA OVYO.