Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Jitahidi sana tu.
Kwa kweli najitahidi sana kumsaidia Mama na msaada wangu mkubwa zaidi ni kwenye ushauri kama ushauri huu Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Nia na mawazo ya mtu hayajifichi kwenye maandiko,
Kwenye hili naomba nikupongeze sasa Dada yangu FaizaFoxy kwasababu wewe ni miongoni mwa members wachache humu wenye uwezo to read in between the lines, kwa kusoma maandishi, na kuijua kilichomo kwenye mawazo ya mwandishi, hii ni power kubwa sana na muhimu sana!.

Kitendo cha kuwa na power hii, kinaitwa possession, yaani you possess that power!. Possession of that powers is one thing, and using that power is another thing!. Kitendo cha ku posses powers fulani halafu kutozitumia, ni wasting such powers, ukiisha jitambua kuwa you possess such powers, the best thing to do ni kuzitumia, put them for a good use by impacting such powers kupitia maandiko hivyo you write very powerful pieces, mtu akisoma, kilichomo kwenye mawazo yako kinamuingia, hivyo kulisaidia taifa.

Wewe na kaka yako, Alamaa, ni watu very powerful. Nimekuwa nikosoma comments zako kuhusu Nyerere, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, kuna trends nimeiona, kwa vile mengine ni ya kale sii ndwele, keep up the good job you are doing now kumsaidia Mama kwasababu...
si lazima upinge wazi. Lini Nyerere aliwahi kuupinga Uislam wazi lakini vitendo vyake havikuwahi kuuficha ukweli.
Mwache apumzike
P
 
Kwa kweli najitahidi sana kumsaidia Mama na msaada wangu mkubwa zaidi ni kwenye ushauri kama ushauri huu Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Kwenye hili naomba nikupongeze sasa Dada yangu FaizaFoxy kwasababu wewe ni miongoni mwa members wachache humu wenye uwezo to read in between the lines, kwa kusoma maandishi, na kuijua kilichomo kwenye mawazo ya mwandishi, hii ni power kubwa sana na muhimu sana!.

Kitendo cha kuwa na power hii, kinaitwa possession, yaani you possess that power!. Possession of that powers is one thing, and using that power is another thing!. Kitendo cha ku posses powers fulani halafu kutozitumia, ni wasting such powers, ukiisha jitambua kuwa you possess such powers, the best thing to do ni kuzitumia, put them for a good use by impacting such powers kupitia maandiko hivyo you write very powerful pieces, mtu akisoma, kilichomo kwenye mawazo yako kinamuingia, hivyo kulisaidia taifa.

Wewe na kaka yako, Alamaa, ni watu very powerful. Nimekuwa nikosoma comments zako kuhusu Nyerere, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, kuna trends nimeiona, kwa vile mengine ni ya kale sii ndwele, keep up the good job you are doing now kumsaidia Mama kwasababu...

Mwache apumzike
P
Hana cha kupumzika huko, saa hizi anatamani arudi duniani kurekebisha makosa ya udhalim wake. Too late.

Waislam tunashangaa sana, kwanini alizificha pesa zetu za misikiti alizopewa na Ghaddafi mpaka alipokufa mkewe ndiyo akazitowa, tena haijulikani ngapi alishazifanyia mengine? Au hulijuwi hilo?
 
Tatizo wakati wa mwendazake mambo mengi yalifanyika gizani sawa na ishu ya kutumia kampuni zake kwenye ujenzi(Mayanja).

Ila haiondoi kua Mama hana uwezo na amefeli anapaswa ajiuzulu hata leo na pamoja na ubaya wa Magufuli ila hakua mjinga kwenye rasilimali za nchi.
 
Hana cha kupumzika huko, saa hizi anatamani arudi duniani kurekebisha makosa ya udhalim wake. Too late.
Sisi waumini wa after life, tunajua mtu akifa, anaendelea kuwepo kupitia waliopo wa kutumia kanuni ya reincarnation, JPM was reincarnation ya Nyerere Magufuli kama Nyerere: Ni mtu wa watu, hapapasi, hamung'unyi, ni kazi tuu, ila pia sio kama Nyerere!
Waislam tunashangaa sana, kwanini alizificha pesa zetu za misikiti alizopewa na Ghaddafi
Do you believe this?!. Wewe ni mmoja wa watu humu wenye powers za kuujua ukweli
mpaka alipokufa mkewe ndiyo akazitowa, tena haijulikani ngapi alishazifanyia mengine? Au hulijuwi hilo?
Kiukweli hili sikuwahi kulijua na ndio nakusikia wewe!. To start with, ni nani huyo aliyepewa pesa za misikiti na Gaddafi?. Is this true?.
P
 
Mkuu Father of All , kwenye hili la DPW na Bandari zetu, ni wanamuonea tuu Mama!. Niliwauliza humu DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?
Humo nilisema

hakuna mwenye jibu!.
P
hawawezi kujibu kwasababu watu ni wanafiki sana, roho zao zimejaa chuki kali dhidi ya mama.

hawahawa watu walimlaumu sana hayati JPM wakati anainyoosha nchi lakini leo hii bila hata haya wanampongeza!! hawa watu ni wanafiki walio bobea!!
wanafaa kupuuzwa.
Mama na Serikali yake wanapaswa wazibe masikio na wawapuuze hawa wanafiki wabobevu.
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Samia anaendeleza kile alichokianzisha JPM ndio maana ya KAZI IENDELEE.

Wakuu wale wale wa taasisi za umma waliokuwepo awamu ya tano wameendelea na kazi, Hamza TCAA Kadogosa TRC.

Kosa la DP World na Samia ni uarabu wa mwekezaji, lakini ukitaka kujua suala hili lina unafiki mwingi ndani yake hakuna anayeunganisha ule ukweli kwamba Magufuli huyu huyu aliyejenga SGR alihakikisha inaelekea kule Kigali, mahali palipojengwa dry port kubwa yenye uwezo wa kuchukua makontena 50,000 kwa wakati mmoja.

Na ni Kigali huko huko alipokwenda JPM mwaka 2015 kwa ajili ya kikao chake na Paul Kagame.

Haya masuala yatafika mwisho tu, na pia tukumbuke kwamba hizi kelele zinazopigwa muda huu zisingesikika iwapo JPM angekuwa hai na rais mpaka muda huu, miradi yote ingesainiwa pale ikulu kwa makofi mengi ya maaskofu, mashekhe na wadau wa vyama vya siasa.
 
Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.

Ndio maana licha ya kuwa na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.

Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake
JPM mlinzi wa mali ya nchi ndiye huyu aliyejenga SGR mpaka Kigali Rwanda ili mzigo wa DP World uweze kutoka huko kwa urahisi kuja bandarini Dar.

Tunashindwa kuunganisha nukta muda huu tukizongwa na roho mbaya na ubaguzi wa udini ndani yake.
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?

MNA Rais jiwe kwelikweli: Nani Angenyanyua mdomo: wanaopinga sasa wote waliufyata na walikimbia
 
hawawezi kujibu kwasababu watu ni wanafiki sana, roho zao zimejaa chuki kali dhidi ya mama.

hawahawa watu walimlaumu sana hayati JPM wakati anainyoosha nchi lakini leo hii bila hata haya wanampongeza!! hawa watu ni wanafiki walio bobea!!
wanafaa kupuuzwa.
Mama na Serikali yake wanapaswa wazibe masikio na wawapuuze hawa wanafiki wabobevu.
Naunga mkono hoja
P
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwanza isingeweza kuja by the way [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Tunamjua Magufuli alikuwa mzalendo na asingeweza kusign mkataba wa hovyo namna hiyo. Kama wa Bagamoyo aligoma sembuse na huu.

Alisha weka pale bandarini 1.3 Trilioni kufanya ukarabati. Asingefanya haya kama ana nia ya ku binafisisha.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
CCM ni ilieile sikuona jambo la mAana saana kipindi chamagu zaidi yavitisho nakuumizana napia simlaumu huyu Mdala samia kwalolote kwa maana mimi mwenyewe ningepata wadhifa ningejiandalia pepo yangu kama alivyo fanya Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli ningehakikisha hata vizazi20 vya Ukoo wangu bila kuhangaika vinakula bata lakusaza
Ushauli wangu tuwaache viongozi wapambanie walichokiwaza kwasababu wao ndio Dira kamili ya Taifa
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna Serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Magufuli alikua anashinda analia kuwa anapingwa mpaka akawa anawakamata wanaompinga na kuwapa kesi za ajabu.
Magufuli ndiye aliandaa kitita cha kurubuni wanaompinga na wengine akawapa teuzi.
Magufuli ndiye aliyeharibu Uchaguzi wa 2020 ili kuweka bunge la watu ambao hawatampinga.

So, Magufuli alipingwa katika maujinga yake na bado angepingwa katika hili.
 
Hapana, sisi hatuna ujinga wa funguo za pepo kushikwa na wahayudi kama ilivyo kwenye biblia.
Mambo haya tusiyachukulie kiushabiki kama lengo lako kuwaona hawa Waarabu sio kupata njia rahisi kufika peponi.Kwakua wewe nimmoja wapo kati ya wakongwe wenye ushawishi ungeitumia nafasi hiyo kuishawishi Serikali iuchunguze huo mkataba lalamikiwa naiyaondoe makosa ikiwemo ya ukomo namaslahi ya Taifa
Ukiifanya hii nakuhakikishia nawe ukiuacha mwili hapa duniani utaenda kua mmoja wa Hurulaini utaburudikha weeye nhe!
 
Mambo haya tusiyachukulie kiushabiki kama lengo lako kuwaona hawa Waarabu sio kupata njia rahisi kufika peponi.Kwakua wewe nimmoja wapo kati ya wakongwe wenye ushawishi ungeitumia nafasi hiyo kuishawishi Serikali iuchunguze huo mkataba lalamikiwa naiyaondoe makosa ikiwemo ya ukomo namaslahi ya Taifa
Ukiifanya hii nakuhakikishia nawe ukiuacha mwili hapa duniani utaenda kua mmoja wa Hurulaini utaburudikha weeye nhe!
IGA imeshafafanuliwa sana na wengi na mara nyingi na kesi ipo mahakama kuu, wala siyo issue sasa hivi.

Tunangoja mikataba ya uendeshaji bandari.
 
Back
Top Bottom