Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwabudu mizimu weweSikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.
Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.
Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake
Hakupingwa popote aliponajisi uchaguzi.Ndio haikuletwa naye , sasa ni vigumu kutoa maoni , lakini alipoleta udikteta hakupingwa ?
Nguvu hii kwa nini haikutumika wakati dikteta la Chato lilipochafua uchaguIHatuipingi DP WORLD tunapinga contents zilizomo kwenye mkataba
Bali kuchezea uchaguzi kwenu ni jambo dogo sanaDP World siyo tatizo kabisa; tatizo ni mktaba unaowaleta. JPM hangekubali mktaba huo wa kijinga hivyo.
Kufa kwa Magufuli hakuondoi ukweli kuwa alikuwa jitu ovu na katili sana. Lazima tusemeKwanza rekebisha uelewa wako. Bandari zote za Tanganyika zimenyakuliwa bila malipo. Hazijauzwa bali zimekabidhiwa kwa mwarabu milele bila ukomo.
Pili, acha kuwaandama wafu. Magufuli alishafariki siku nyingi. Usitake kumbambikia uchafu wako wa mikataba ya kitapeli.
Mbona hamkupinga namna hii ushenzi aloufanya kwenye uchaguziTungeipinga kama angeleta mkataba wa kishenzi kama huu.
Tulimpinga yule mwovu kwa mambo mengi tu.
Sentensi hiyo inayonesha ufinyu wa akili yako katika kujadili mambo; nadhani wewe una addiction fulani inayopunguza uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja.Bali kuchezea uchaguzi kwenu ni jambo dogo sana
Uuzwaji wa bandari kama mnavyodai, ni zao la ufisadi mkubwa alioufanya Dikteta lile. Waliopitisha jambo hili wote waliwekwa na shetani lile.naona huelewi kitu, au kama unaelewa, basi ni mwendelezo ule ule wa upotoshaji wa maksudi kabisa unaofanywa na baadhi ya watu kwenye sakata hili la Bandari kwa sababu wanazozifahamu wao.
Unalinganisha mambo ambayo ni tofauti kabisa; uchafuzi wa uchaguzi na ugawaji wa mali za nchi kwa watu toka nje kwa sababu wasizozielewa waTanzania. Utafanya mlinganisho gani hapo?
Unalinganisha Magufuli, ambaye pamoja na ukichaa wake, lakini kundi kubwa sana la waTanzania waliyaona baadhi ya mambo muhimu sana aliyokuwa akiyafanya waliyaelewa kuwa ni kwa manufaa ya nchi; halafu unamlinganisha huyo na Samia ambaye amejipambanua waziwazi kabisa kwamba yeye maslahi yake yapo kwenye kundi maalum la watu, ambao ndio wanaomhimiza kuingia kwenye mipango ya kuinajisi nchi hii.
Hapo kama unazo akili timamu utalinganisha vipi
Badala ya kuziona tofauti hizo zilizo wazi kabisa unaamua kukimbilia kwenye hitimisho potofu kabisa kuhusu sababu zinazowafanya watu wakatae uhujumu huu wa taifa lao, kwa vile anayeyafanya haya siyo Magufuli!
Hovyo Kabisa.
Muulize Zitto uone kama atakosa jibu! Kama alisema Serikali ya Magufuli haijanunua Boieng ila Terrible Tine ndo asingepinga kweli?Ni wanamuonea tuu Mama!. Niliwauliza humu DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?
Humo nilisema
hakuna mwenye jibu!.
P
Rule 1. IsingeletwaSitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kaka mkubwa achana na FaizaFoxy utaumwa kichwa bure kubishana NayeSijawahi muunga mkono mtu yoyote kwa sababu ya ukabila wala udini!, ndio maana japo mimi ni Mkristo lakini nakupenda wewe swala 5!.
P
Kwa kuwa Magufuli alifanikiwa kuiba uchaguzi wote then inampata uhalali Maza kuuza bandari zetu... Are you serious!!?Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Jirekebishe. Umepinda akiliKufa kwa Magufuli hakuondoi ukweli kuwa alikuwa jitu ovu na katili sana. Lazima tuseme
Ingepingwa kama kungekuwa na mkataba wa kitapeli kama huu wa Mwamvua. Ieleweke hapa haipingwi DP World unapingwa mkataba, mkataba ukiwa mzuri na wenye kulinda maslahi ya taifa hata wakija Mwamvua na nduguze investment hakuna mtu atapinga.Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Hujanipata vizuri ndugu, ulichokiongelea ndio maoni yangu ila Mimi napinga tabia ya kumuita mkuu wa nchi "mama" yeye sio mama kwetu ni rais wetu na hivyo tumkosoe na kumpongeza kama rais wala sio mama. Hiyo tabia ya kuitana mama inaenda kutupeleka pabaya kama ulivyoona Lissu anatishwa na Nape eti kamkosoa "mama" bila staha.Let's be a wee bit realistic and serious. Hivi inaingia akilini kujadili mkataba huu wenye utata bila kumhusisha aliyekasimu madaraka yake kwa waziri aliyesaini mkataba husika au kuna zaidi? Mbona bunge la CCM lilifichua kuwa ni mkataba wa Samia? Hili nalo unaliweka wapi mwanangu?