Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.

Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.

Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake
Mwabudu mizimu wewe
 
Ndio haikuletwa naye , sasa ni vigumu kutoa maoni , lakini alipoleta udikteta hakupingwa ?
Hakupingwa popote aliponajisi uchaguzi.
Kwa mujibu wa mleta mada inaonekana ni afadhali uchafue uchaguzi kama alivyofanya Magu hakutokuwa na kelele kuliko uuze bandari
 
Kwanza rekebisha uelewa wako. Bandari zote za Tanganyika zimenyakuliwa bila malipo. Hazijauzwa bali zimekabidhiwa kwa mwarabu milele bila ukomo.

Pili, acha kuwaandama wafu. Magufuli alishafariki siku nyingi. Usitake kumbambikia uchafu wako wa mikataba ya kitapeli.
Kufa kwa Magufuli hakuondoi ukweli kuwa alikuwa jitu ovu na katili sana. Lazima tuseme
 
Bali kuchezea uchaguzi kwenu ni jambo dogo sana
Sentensi hiyo inayonesha ufinyu wa akili yako katika kujadili mambo; nadhani wewe una addiction fulani inayopunguza uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja.
 
DP World wapo Durban,SA muda wamepewa ICD ila serikali imekacha kuwapa waendeshe bandari ya Durban badala yake imewapa wafilipino wa ICTSI miaka 25 ya kuanzia.

Wenzenu walitangaza tenda wazi (na kila kitu kipo wazi) wakajitokeza 18 huku 9 ni international companies,10 wakawa shortlisted na hatimaye 6 bidders waka- submit proposals na ICTSI wameula.

Nyie mmeenda Dubai Expo mmerushwa Burj khalifa tayari mkarudi na jina mfukoni.
 
naona huelewi kitu, au kama unaelewa, basi ni mwendelezo ule ule wa upotoshaji wa maksudi kabisa unaofanywa na baadhi ya watu kwenye sakata hili la Bandari kwa sababu wanazozifahamu wao.

Unalinganisha mambo ambayo ni tofauti kabisa; uchafuzi wa uchaguzi na ugawaji wa mali za nchi kwa watu toka nje kwa sababu wasizozielewa waTanzania. Utafanya mlinganisho gani hapo?

Unalinganisha Magufuli, ambaye pamoja na ukichaa wake, lakini kundi kubwa sana la waTanzania waliyaona baadhi ya mambo muhimu sana aliyokuwa akiyafanya waliyaelewa kuwa ni kwa manufaa ya nchi; halafu unamlinganisha huyo na Samia ambaye amejipambanua waziwazi kabisa kwamba yeye maslahi yake yapo kwenye kundi maalum la watu, ambao ndio wanaomhimiza kuingia kwenye mipango ya kuinajisi nchi hii.
Hapo kama unazo akili timamu utalinganisha vipi

Badala ya kuziona tofauti hizo zilizo wazi kabisa unaamua kukimbilia kwenye hitimisho potofu kabisa kuhusu sababu zinazowafanya watu wakatae uhujumu huu wa taifa lao, kwa vile anayeyafanya haya siyo Magufuli!

Hovyo Kabisa.
Uuzwaji wa bandari kama mnavyodai, ni zao la ufisadi mkubwa alioufanya Dikteta lile. Waliopitisha jambo hili wote waliwekwa na shetani lile.
That's why tunasema kelele kubwa ilifaa ifanyike wakati shenzi lile linanajisi sanduku la kura.

Na ht sasa binafsi msimamo wangu ni kuona wapiga kelele hawa wangejikita kwenye katiba mpya kwa nguvu kama hii kuliko kuhangaika na bandari ambayo hakuna wanachoweza kubadili
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Rule 1. Isingeletwa

Rule2. Hata kama ingeletwa isingekuwa na mashariti ya kipumbavu.

Rule3. Kama mashariti ya kijinga yangekuwepo see Rule1
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwa kuwa Magufuli alifanikiwa kuiba uchaguzi wote then inampata uhalali Maza kuuza bandari zetu... Are you serious!!?
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Ingepingwa kama kungekuwa na mkataba wa kitapeli kama huu wa Mwamvua. Ieleweke hapa haipingwi DP World unapingwa mkataba, mkataba ukiwa mzuri na wenye kulinda maslahi ya taifa hata wakija Mwamvua na nduguze investment hakuna mtu atapinga.
 
Let's be a wee bit realistic and serious. Hivi inaingia akilini kujadili mkataba huu wenye utata bila kumhusisha aliyekasimu madaraka yake kwa waziri aliyesaini mkataba husika au kuna zaidi? Mbona bunge la CCM lilifichua kuwa ni mkataba wa Samia? Hili nalo unaliweka wapi mwanangu?
Hujanipata vizuri ndugu, ulichokiongelea ndio maoni yangu ila Mimi napinga tabia ya kumuita mkuu wa nchi "mama" yeye sio mama kwetu ni rais wetu na hivyo tumkosoe na kumpongeza kama rais wala sio mama. Hiyo tabia ya kuitana mama inaenda kutupeleka pabaya kama ulivyoona Lissu anatishwa na Nape eti kamkosoa "mama" bila staha.
 
Back
Top Bottom