Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

"Kwanza unajiuliza, haya yanayosemwa ni sahihi? Kama siyo sahihi unayapuuza" JK
 
Yule alikuwa Simba, tena mwenye Sharubu na sio paka.😂
Asingekubali haya. Na hivyo ndio kusema kusinge kuwepo na mjadala wa kupinga au kuunga mkono. Alishawahi kusema, msubiri akiondoka ndio mfanye ujinga_upuuzi. yaliyotokea ni Upuuzi.
 

Attachments

  • IMG-20230718-WA0013.jpg
    IMG-20230718-WA0013.jpg
    88.7 KB · Views: 3
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Magufuli asingeweza kusaini huu ujinga ambao hauitaji kusoma Law ndio uuelewe👇
 

Attachments

  • A8C4E89D-9C1E-4850-8A3E-91D19E27D696.jpeg
    A8C4E89D-9C1E-4850-8A3E-91D19E27D696.jpeg
    32 KB · Views: 3
  • E68C9B43-7D2C-4A1D-9FCD-9020A591DF24.jpeg
    E68C9B43-7D2C-4A1D-9FCD-9020A591DF24.jpeg
    55.3 KB · Views: 3
  • C4B0D8A1-187C-4842-B0D5-D0B816650B79.jpeg
    C4B0D8A1-187C-4842-B0D5-D0B816650B79.jpeg
    150.5 KB · Views: 2
  • 55DE1F3F-A0D9-4EA6-826D-101F81A9AFA1.jpeg
    55DE1F3F-A0D9-4EA6-826D-101F81A9AFA1.jpeg
    131.1 KB · Views: 3
  • F2C270B3-2262-43C6-8682-67EF28FE50A6.jpeg
    F2C270B3-2262-43C6-8682-67EF28FE50A6.jpeg
    75.7 KB · Views: 3
  • 2EA12DA9-33B2-4E93-9A7E-C29FCC472C75.jpeg
    2EA12DA9-33B2-4E93-9A7E-C29FCC472C75.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Hapana. Tatizo ni Nini? Tatizo ni masharti yalipo kwenye mkataba, hata angekuwa Rais gan,angetuletea mkataba kama huu lazima tungepinga tu. Naomba hapa tusifanye comparison Magufuli na Samia. Issue ni mkataba mbovu katika zama za serikali hii ya Samia
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Wewe utakuwa upo kwenye siku zako...inamaana hausikiii ata midahalo inafanyika kila siku na Tunajadili nini?.
Kwani Magufuri hii nchi ilikuwa ya Baba yake?,hapa hatuangalii kaleta nani tunachokiangalia ni huo mkataba Unachangamoto zipi kama hauna changamoto umejaa faida tu,ata angeleta Juma nature poa tu.
Mwambie huyo Mama huu mkataba haufai hatuutaki kama kashakula hela za watu atamfte namna ya kurudisha waarabu wanaruhusiwa kuoa ata wanawake 10.
 
Wewe uko mbwinde huko unasimuliwa na Mauridi kitenge...sisi tulioko huku Dar tunafukuzana nao na vichwa Vya nguruwe hapa Bandarini.
Sasa kama bandari zote wamepewa Waarabu mbona hatuwaoni?
.
Wengine tunawangoja kwa hamu kubwa sana.
 
Mzilankende
Chuma

JIWE
Ngosha, Baba Jesca
Asingeyuletea Majizi


Angesema Win Win Situation
 
Isingepingwa na main reason ni sababu jamaa alikuwa amenyooka, alikuwa akikupiga anakupiga na anakwambia nakupiga. Hawa wateule wa Mungu wanajifanya wameshika dini na mambo yao ndo yamejaa unafki na mapindo pindo kibao.
 
Hakuna anaetegemea Yule Bingwa wa dunia angekuja na vipengere rubbish kama vilivyomo sasa.akikuwa anasoma ndo maana alikuwa halali .negotiation team aliiaisolate na jamii wakati inaendelea hadi akainyang'anya hata mawasiliano. So alikuwa anawajua watanzania vyema and he was always working in interest of the public .hii awamu ya Sita inajichimbia kaburi yenyewe na inachokitafuta itakipata.
 
Jitahidi sana tu.


Nia na mawazo ya mtu hayajifichi kwenye maandiko, si lazima upinge wazi. Lini Nyerere aliwahi kuupinga Uislam wazi lakini vitendo vyake havikuwahi kuuficha ukweli.

Moja ya vilaza wa JF ni wewe bibi.

Watu hawapingi uwekezaji wanapinga vipengele vya mkataba vimekaa kimangungo,
Wajinga wachache ukiwemo wewe mnahamisha hilo suala kulijadili kijini kisa hamtaki mwarabu asemwe vibaya kwamba anataka kutuibia uhuru na rasilimali zetu.

Acheni uboya bibi rekebisheni mkataba tujue time frame, tujue ni kiasi gani tutafaidika, lakini pia asipewe bandari zote apimwe kwa ufanisi wa bandari moja tu ya Dar es salaam
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Magu asingeweza kuleta mkataba kama huo asilan!
 
Nabii Magu alikuwa MZALENDO

Kamwe asingekubali LAANA hii Kwa Taifa lake.
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwa taarifa yako Magufuli hakuwa mpumbavu katika kusaini mikataba inayohusu raslimali za taifa,
Asingepingwa kwa sababu kanyoosha mikataba mingi ya kijinga ya awamu ya nne
Amekufa mmerudia yaleyale,shenzi nyie
 
DP World ingeletwa na JPM isingepingwa kwa sababu JPM alikuwa na akili nyingi za Kuzaliwa na za darasani pia alikuwa Mzalendo wa kweli kwa Nchi yetu hivyo asingekubali upuuzi kama huu.
 
Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.

Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.

Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake

Aisee,leo Pombe amegeuka mtu wa mungu tena??

Ya kwamba ukipigia kura wapinzani siwaletei maendeleo ni mtu wa mungu??

Kagera mmezoea majanga,kila majanga ni nyinyi,na kwamba hapa sitaleta chakula cha msaada na asietaka kufanya kazi na afe??

Ya kwamba huyu atake asitake tutamuongezea muda anakuwa mtu wa mungu??acha mahaba yako wewe sukuma gang
 
Jitahidi sana tu.


Nia na mawazo ya mtu hayajifichi kwenye maandiko, si lazima upinge wazi. Lini Nyerere aliwahi kuupinga Uislam wazi lakini vitendo vyake havikuwahi kuuficha ukweli.

Hii imeenda,hii imeenda...!!!

Naongezea sauti,nasemaje hii imeenda.
 
Back
Top Bottom